johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,886
- 141,818
Wakati CCM ilipokuwa inafuata itikadi ya Ujamaa nyakati ngumu za kiuchumi kama hizi Taifa lilijifunga mkanda kuanzia kwa Kiongozi hadi tarishi
Ila katika zama hizi kumwambia Waziri aweke V8 pembeni na aanze kutumia IST sidhani kama atakuelewa
Zama hizi kuwaambia Wabunge wapunguze Posho zao za kukaa Bungeni sidhani kama watakuelewa
Hivyo hakuna namna Tozo zitaondoka
Ila katika zama hizi kumwambia Waziri aweke V8 pembeni na aanze kutumia IST sidhani kama atakuelewa
Zama hizi kuwaambia Wabunge wapunguze Posho zao za kukaa Bungeni sidhani kama watakuelewa
Hivyo hakuna namna Tozo zitaondoka