Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,217
Me ni mwalimu wa chuo kikuu, naipenda kazi yangu. Sitegemei kufanya kazi nyingine yeyote zaidi ya hii maisha yangu yote. Kijana mwenzangu Zitto Kabwe anataka kuja huku, namkaribisha sana! Kwa elimu yake na performance yake ya darasani anaiweza sana hii kazi. Hii kazi inahitaji watu kama yeye, great thinkers with Academic Minds. Watu wavivu wavivu wa kusoma, wakurupukaji, narrow minds hapawafai huku. Huku ni mambo ya kuandika and deep thinking. Karibu bro. zitto.
Kwa zitto siasa siyo kila kitu, anaweza kuwa nje ya siasa na bado akasurvive tu. Nalingia uwezo wa akili yangu kuliko chochote, nafikiri Zitto yupo kwenye mkumbo huu. Sasa kuna hawa watu ambao kutokana na uwezo wao mdogo na vipaji vinyu walivyonavyo inabidi wawategemee watu fulani kwa kila kitu, kujipendekeza!! Hawawezi kusimama wenyewe kutoa mawazo yao!! Lazima wawe na master!! Always supporting other people ambao wanafikiri wanaweza kuwabeba au la? Wanategemea kitu kimoja tu and wakikikosa hicho basi!! na mara nyingi hiyo kitu inakuwa ni OUTSIDE FORCE,
Sasa je nje ya siasa watu kama hawa wafuatao wataweza kuyakabili maisha haya magumu??
Siasa ndo kila kitu kwa hao watu hapo juu, ni maisha yao, ndio tegemezi lao, wapo tayari kuua, kusema lolote kwa ajili ya siasa! Tusiwashangae sana kwa wayafanyayo. Tatizo ni waumini wakubwa wa siasa chafu.
LISSU ALILIA BAADA YA KUSHINDA KESI YA UBUNGE, ALILIA SAAAANAAA! SITEGEMEI KUMUONA MWALIMU ZITTO AKILILIA UBUNGE.
Kwa zitto siasa siyo kila kitu, anaweza kuwa nje ya siasa na bado akasurvive tu. Nalingia uwezo wa akili yangu kuliko chochote, nafikiri Zitto yupo kwenye mkumbo huu. Sasa kuna hawa watu ambao kutokana na uwezo wao mdogo na vipaji vinyu walivyonavyo inabidi wawategemee watu fulani kwa kila kitu, kujipendekeza!! Hawawezi kusimama wenyewe kutoa mawazo yao!! Lazima wawe na master!! Always supporting other people ambao wanafikiri wanaweza kuwabeba au la? Wanategemea kitu kimoja tu and wakikikosa hicho basi!! na mara nyingi hiyo kitu inakuwa ni OUTSIDE FORCE,
Sasa je nje ya siasa watu kama hawa wafuatao wataweza kuyakabili maisha haya magumu??
- Slaa, atarudia upadre? Sioni kama diploma yake ya dini yaweza mfikisha popote!!?
- Mbowe, may be ataendeleza biashara ya urithi?, the guy lacks innovation.
- Lema, may be ujambazi kama enzi hizooo!!!?
- Mnyika, may be kufundisha tuition secondary school!!!?
- Lissu, kelele?
Siasa ndo kila kitu kwa hao watu hapo juu, ni maisha yao, ndio tegemezi lao, wapo tayari kuua, kusema lolote kwa ajili ya siasa! Tusiwashangae sana kwa wayafanyayo. Tatizo ni waumini wakubwa wa siasa chafu.
LISSU ALILIA BAADA YA KUSHINDA KESI YA UBUNGE, ALILIA SAAAANAAA! SITEGEMEI KUMUONA MWALIMU ZITTO AKILILIA UBUNGE.