Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Mkuu umefafanua vizuri, idea ya god ilikuja ili kuikabili hofu ya duniani ndio maana wafia dini wanaamini kuwa kuna nchi inaitwa mbinguni, huko hakuna kuugua, kufa, njaa n.k yaani huko ni full kula bata tu, huhitaji ajira wala kufanya biashara ili uishi huko vyakula vipo vya kutosha yaani kuna chipsi za kumwaga, nyama choma, piza baga n.k

Ndio maana unawaona wanapambana usiku na mchana kusali ili siku moja waingie kwenye hiyo nchi. Hata telebani nao wanapambana waingie huko lakini najiuliza hao majamaa ukiingia nao mbinguni itakuaje 😃😃😃
😃😃
 
Inaonekana ufahamu wako mdogo sana,,
Ngoja nigeuze swali kdg..

Utakithibitishiaje kinyago kwamba aliyekichonga yupo ?

Au wewe unaamini kuwa hakuna mchongaji wa vinyago.... Yaani vinyago vipo on their own ( havijachongwa) ?
Old teleological argument

Tunafahamu vinyago vina mchongaji kwa sababu tunashuhudia kila siku vinyago vikichongwa na mchongaji

Tuna weza extend huo mfano kwa kila Artefact (Kifaa chochote kilichoundwa na utashi wa binadamu)

Lakini mfano huo huo, tunapotaka kuu extend zaidi ya hapo, mpaka kwa natural objects kama wanyama, ubongo, macho, mfumo wa fahamu etc tuna commit False analogy fallacy

False analogy ni pale tunapotaka ku hitimisha kuwa, vitu viwili ambavyo vinafanana katika namna moja (namna A) basi pia vitakua vinafanana katika namna nyingine(namna B)

Mfano kwa kuwa kinyago, au ngoja twende na mfano unaoshawishi zaidi

Kwa kuwa camera na jicho la binadamu vyote vinaonyesha 'lengo' (purpose) kwa jinsi vinavyofanya kazi
(Ni kweli Camera na jicho vinafanana katika muktadha huu, they both show purposes in their inner workings )

Basi kama ilivyo kwa Camera, iliyoundwa na designers
Na jicho pia limeundwa na some designer
(Hapa ndio similarities kati ya Camera na jicho inapofikia tamati)
Si kweli kuwa Camera na jicho vinafanana pia katika muktadha huu

Tunajua jinsi camera zinavyoundwa lakini hatujawahi shuhudia yoyote yule akiunda jicho

Ushahidi upi basi umetumia ku hitimisha kuwa Camera na jicho vyote vinahitaji designers?

Ok, unaweza kupinga hoja yangu kwa kusema, kuna namna moja tu ya kupata kitu as complex as jicho
Namna hio ni through design, intelligent design

Lakini hapa pia utakua una commit fallacy ya False dichotomy

False dichotomy ni pale unapo limit possible options kwa ku present option au options zinazo support conclusion yako tu

Mfano wa false dichotomy

Kama hukubaliani na rais aliye madarakani basi huipendi nchi yako

Naweza nisikubaliane na rais aliyopo madarakani still nikawa mzalendo kwa nchi yangu

In the same way, tunaweza pata kitu complex kama Jicho na zaidi bila kupitia intelligent designing

Evolution ni second option uliyosahau na far superior kuliko intelligence design arguments

Kwa sababu ime base kwenye facts na sio Faith
 
Old teleological argument

Tunafahamu vinyago vina mchongaji kwa sababu tunashuhudia kila siku vinyago vikichongwa na mchongaji

Tuna weza extend huo mfano kwa kila Artefact (Kifaa chochote kilichoundwa na utashi wa binadamu)

Lakini mfano huo huo, tunapotaka kuu extend zaidi ya hapo, mpaka kwa natural objects kama wanyama, ubongo, macho, mfumo wa fahamu etc tuna commit False analogy fallacy

False analogy ni pale tunapotaka ku hitimisha kuwa, vitu viwili ambavyo vinafanana katika namna moja (namna A) basi pia vitakua vinafanana katika namna nyingine(namna B)

Mfano kwa kuwa kinyago, au ngoja twende na mfano unaoshawishi zaidi

Kwa kuwa camera na jicho la binadamu vyote vinaonyesha 'lengo' (purpose) kwa jinsi vinavyofanya kazi
(Ni kweli Camera na jicho vinafanana katika muktadha huu, they both show purposes in their inner workings )

Basi kama ilivyo kwa Camera, iliyoundwa na designers
Na jicho pia limeundwa na some designer
(Hapa ndio similarities kati ya Camera na jicho inapofikia tamati)
Si kweli kuwa Camera na jicho vinafanana pia katika muktadha huu

Tunajua jinsi camera zinavyoundwa lakini hatujawahi shuhudia yoyote yule akiunda jicho

Ushahidi upi basi umetumia ku hitimisha kuwa Camera na jicho vyote vinahitaji designers?

Ok, unaweza kupinga hoja yangu kwa kusema, kuna namna moja tu ya kupata kitu as complex as jicho
Namna hio ni through design, intelligent design

Lakini hapa pia utakua una commit fallacy ya False dichotomy

False dichotomy ni pale unapo limit possible options kwa ku present option au options zinazo support conclusion yako tu

Mfano wa false dichotomy

Kama hukubaliani na rais aliye madarakani basi huipendi nchi yako

Naweza nisikubaliane na rais aliyopo madarakani still nikawa mzalendo kwa nchi yangu

In the same way, tunaweza pata kitu complex kama Jicho na zaidi bila kupitia intelligent designing

Evolution ni second option uliyosahau na far superior kuliko intelligence design arguments

Kwa sababu ime base kwenye facts na sio Faith
Hujajibu swali,,

Unaweza kukithibitishia kinyago kwamba aliyekichonga yupo ? Utakithibitishiaje ?

Maswali kama haya ndo huwa yanawaumbua atheists,, wanajiona wajinga wao kutaka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu ilhali wao wanashindwa kukithibitishia kinyago kwamba aliyekichonga yupo !!
 
Hujajibu swali,,

Unaweza kukithibitishia kinyago kwamba aliyekichonga yupo ? Utakithibitishiaje ?

Maswali kama haya ndo huwa yanawaumbua atheists,, wanajiona wajinga wao kutaka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu ilhali wao wanashindwa kukithibitishia kinyago kwamba aliyekichonga yupo !!
Nilidhani na argue na mtu anayefahamu hoja anayojenga kumbe hakuna chochote

Ukisoma hio comment yako hapo juu unaona ina maana yoyote ile?

Kuthibitisha kwa kinyago kuwa kuna mtu aliyekichonga ni sentensi yenye maana ipi?

Na ina lenga nini?

Mbona unaleta hoja ambazo hazina kichwa wala miguu

Unanipa sanamu, halafu unataka nilambie "umemuona huyu? ,ndio kakuchonga? "

Sanamu halina consciousness
Umenipa task isiyo na maana yoyote ambayo hata wewe huiwezi

Hoja yako imekosa maana, haieleweki inataka nini
Haina mahusiano yoyote na mada

Ni ya kijinga tu
 
Old teleological argument

Tunafahamu vinyago vina mchongaji kwa sababu tunashuhudia kila siku vinyago vikichongwa na mchongaji

Tuna weza extend huo mfano kwa kila Artefact (Kifaa chochote kilichoundwa na utashi wa binadamu)

Lakini mfano huo huo, tunapotaka kuu extend zaidi ya hapo, mpaka kwa natural objects kama wanyama, ubongo, macho, mfumo wa fahamu etc tuna commit False analogy fallacy

False analogy ni pale tunapotaka ku hitimisha kuwa, vitu viwili ambavyo vinafanana katika namna moja (namna A) basi pia vitakua vinafanana katika namna nyingine(namna B)

Mfano kwa kuwa kinyago, au ngoja twende na mfano unaoshawishi zaidi

Kwa kuwa camera na jicho la binadamu vyote vinaonyesha 'lengo' (purpose) kwa jinsi vinavyofanya kazi
(Ni kweli Camera na jicho vinafanana katika muktadha huu, they both show purposes in their inner workings )

Basi kama ilivyo kwa Camera, iliyoundwa na designers
Na jicho pia limeundwa na some designer
(Hapa ndio similarities kati ya Camera na jicho inapofikia tamati)
Si kweli kuwa Camera na jicho vinafanana pia katika muktadha huu

Tunajua jinsi camera zinavyoundwa lakini hatujawahi shuhudia yoyote yule akiunda jicho

Ushahidi upi basi umetumia ku hitimisha kuwa Camera na jicho vyote vinahitaji designers?

Ok, unaweza kupinga hoja yangu kwa kusema, kuna namna moja tu ya kupata kitu as complex as jicho
Namna hio ni through design, intelligent design

Lakini hapa pia utakua una commit fallacy ya False dichotomy

False dichotomy ni pale unapo limit possible options kwa ku present option au options zinazo support conclusion yako tu

Mfano wa false dichotomy

Kama hukubaliani na rais aliye madarakani basi huipendi nchi yako

Naweza nisikubaliane na rais aliyopo madarakani still nikawa mzalendo kwa nchi yangu

In the same way, tunaweza pata kitu complex kama Jicho na zaidi bila kupitia intelligent designing

Evolution ni second option uliyosahau na far superior kuliko intelligence design arguments

Kwa sababu ime base kwenye facts na sio Faith
Nimependa hii mkuu, uko vizuri.
 
Hujajibu swali,,

Unaweza kukithibitishia kinyago kwamba aliyekichonga yupo ? Utakithibitishiaje ?

Maswali kama haya ndo huwa yanawaumbua atheists,, wanajiona wajinga wao kutaka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu ilhali wao wanashindwa kukithibitishia kinyago kwamba aliyekichonga yupo !!
Amekufafanulia vizuri sana, kuhusu hiyo hoja yako
 
Nilidhani na argue na mtu anayefahamu hoja anayojenga kumbe hakuna chochote

Ukisoma hio comment yako hapo juu unaona ina maana yoyote ile?

Kuthibitisha kwa kinyago kuwa kuna mtu aliyekichonga ni sentensi yenye maana ipi?

Na ina lenga nini?

Mbona unaleta hoja ambazo hazina kichwa wala miguu

Unanipa sanamu, halafu unataka nilambie "umemuona huyu? ,ndio kakuchonga? "

Sanamu halina consciousness
Umenipa task isiyo na maana yoyote ambayo hata wewe huiwezi

Hoja yako imekosa maana, haieleweki inataka nini
Haina mahusiano yoyote na mada

Ni ya kijinga tu
The same applies,,
wanaohoji kupewa uthibitisho ( logical evidence) wa uwepo wa Mungu nao pia wanauliza maswali ya kijinga !!

Sijui tumeelewana ?
 
Amekufafanulia vizuri sana, kuhusu hiyo hoja yako
Amefafanua wapi mkuu wakati ameikimbia hoja....
Hoja yangu ni kuhusu kinyago, yeye ameelezea camera na jicho !! Totally out of point !!

Ajenge hoja yake kupitia mfano wa kinyago..
 
Nyie wanasayansi mmenichosha sana kusoma kurasa zote halafu sijaona la maana

Naombeni mnitajie dawa inayotibu kabisa pumu ya kisayansi ni ipi?
 
Unakubali kuniita mimi ni mungu lakini ajabu hunitolei sadaka, je hivi ndivyo ambavyo inatakiwa kum-treat mungu?

Kama mimi ni mungu na inawezekana kuthibitisha kua nipo, kwanini isiwe hivyo hivyo kwa hao miungu mingine ambayo mnaiabudu na kudai ipo?

Hiyo imani ya hakuna mungu ina hubiriwa na dini gani?
Tatizo hujuwi tofauti ya neno Mungu na mungu
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom