Nje ya mawazo ya Mwanadamu Mungu hayupo, hajawahi kuwepo, na hatakuwepo

Kwanini umetumia bible sio qurani??
ukweli mchungu ni kwamba mwanadamu always anataka possesion na superior mkristu anajiona superior kulko yeyoye vivo hivo kwa dini zote
pengine huna hata sababu ya kuwa mkiristo zaidi ya kuwa na ndugu na jamaa hasa wazazi.
Dini msingi wake mkuu ni mind control kwamba ukifany mazur i na tukashindwa kuku award basi Mungu atakuaward ukifa.
Na ukifanya mabaya tukashindwa kukuadhibu basi Mungu atakuadhibu ukifa.
jaribu Kupitia gnostic gospel usome
Mimi SIO MTU WA DINI...

NARUDIA TENA, WEWE NIFATILIE KWA UMAKINI MIMI SIO mfia dini... NATAMBUA WHY hizo dini zipo.

Mimi nipo duniani kwaajili ya KUMTUMIKIA Mungu, SIO KUTUMIKIA Dini...

Lile Kuki limekushinda, nikupe jingine???
 
energy concept yake ni pana siongelei kuhusu physical being jaribu kupitia kuhusu universal consious
Nimekuuliza swali rahisi sana. Unakubali kama njaa ipo ? Kama unakubali na unaweza kuthibitisha ya kuwa njaa ipo sasa kwanini ushindwe kuthibitisha ya God ni Energy ?
 
habari great thinkers.

Uwepo wa mungu ni matokea ya maendeleo ya binadamu katika kuupata ustaarabu.Men create the god in their own imagination.Ndo mana wale miungu ya kale kabla ya hizi dini mpya za kisasa walikuwa na maumbo ya kibinadamu(human look_like) hata sifa walikuwa kama binadmu.
Walikuwa na sifa za kulia, kukasirika,wivu, njaa n.k.

Lakini hizi dini za kileo ni maboresho ya dini za kale so that hata miungu ya dini hizi wamepewa sifa nyingi kidogo kuliko wale wa kale,ikiwemo kutoonekana,ana uwezo wote, yupo kila sehemu n.k.
Nadhani wote tunajuwa kuwa binadamu alikuwa anaishi pamoja na wanyama wengine hapo kale kabla ya kuanza kujitenga na kuanzisha ustaarabu wake,katika kipindi hiki cha maisha binadamu alikuwa hana tofauti na wanyama wengine.Ilimchukau mamilioni ya miaka biandamu kujitofautisha na wanyama wengine na kuanza kustaarabika.Katika kipindi hiki huyu binadamu alianzisha mambo mbalimbali ikiwemo Dini,mungu,sheria,taifa n.k.

There are no gods,no god in the universe,no nation,no money,no justice,no law,no human rights out side the common imagination of human beings.Mara baada ya kuapata ustaarabu binadamu aliweza kuanzisha mambo mengi ikiwe religion institutions,mungu n.k.

View attachment 1941529
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 una hoja mwanangu maana ukipinga wengine wanataka uuawe. Hivi mtu akisema mlima Kilimanjaro haupo atauawa kutukanwa au kutishwa au kupelekwa akauone?
 
Ni kweli si lazima kila kitu kiwe na chanzo.hasa sisi na mungu hatuna chanzo
Thibitisha kama wewe hauna chanzo ? Napata wasi wasi na namna unavyo yafikiria mambo. Naona kama hauko serious katika suala zima la kutafakari na kuhoji.
 
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 una hoja mwanangu maana ukipinga wengine wanataka uuawe. Hivi mtu akisema mlima Kilimanjaro haupo atauawa kutukanwa au kutishwa au kupelekwa akauone?
Isaya 55:6
"Mtafuteni BWANA, maadamu anapatikana,
Mwiteni, maadamu yu karibu;"

Mtafute mtafuteeee... Huwezi sema Hayupo wakati hujamtafutaaa.
 
Nimekuuliza swali rahisi sana. Unakubali kama njaa ipo ? Kama unakubali na unaweza kuthibitisha ya kuwa njaa ipo sasa kwanini ushindwe kuthibitisha ya God ni Energy ?
Nimetambua swali ni rahisi ndio maana nimekupa sehem ya kupitia upate majibu ya swali lako
 
Nimetambua swali ni rahisi ndio maana nimekupa sehem ya kupitia upate majibu ya swali lako
Kingine suala la energy kulihusisha na Mola muumba ni ujinga ulio pea. Nishati haina mambo matano au zaidi.

1. Nishati haina maarifa
2. Nishati haina malengo
3. Nishati haisanifu
4. Nishati haina hekima
5. Nishati haina utambuzi.

Sasa vipi nishati uihusishe na vitu hivyo vitano ?
 
Kingine suala la energy kulihusisha na Mola muumba ni ujinga ulio pea. Nishati haina mambo matano au zaidi.

1. Nishati haina maarifa
2. Nishati haina malengo
3. Nishati haisanifu
4. Nishati haina hekima
5. Nishati haina utambuzi.

Sasa vipi nishati uihusishe na vitu hivyo vitano ?
hujui chochote kuhusu energy.
Umezoea kuskia roho but ukiulizwa nini hujui.
 
Iko hivi,kuna wale wanaoamini MUNGU yupo na pia kuna wale ambao hawaamini kwamba MUNGU yupo.Kwanza tujikite zaidi katika kutafsiri neno kuamini.
Kuamini ni ile hali ya mtu kutolijua jambo au kitu fulani lakini hataki kukubali kwamba hajui.
Wanaoamini MUNGU yupo,hawana uhakika kama yupo,ila wanaogopa kukubali kwamba hayupo.
Wanaoamini MUNGU hayupo,pia hawana uhakika kwamba hayupo ila wameamua kuchagua upande wa kutokukubali uwepo wa MUNGU.
Kuhitimisha hili,nadhani ingekuwa ni vyema liwepo kundi la watu ambao linakubali kwamba halijui lolote kuhusu uwepo wa MUNGU,wasiwe upande wa ku admit kwamba MUNGU yupo na wala wasiseme MUNGU hayupo,waseme na wawe na ujasiri wa kusema kwamba hawajui lolote kuhusu uwepo wa MUNGU,hawajui kwamba yupo au hayupo,simply tuseme HATUJUI!!
 
Kingine suala la energy kulihusisha na Mola muumba ni ujinga ulio pea. Nishati haina mambo matano au zaidi.

1. Nishati haina maarifa
2. Nishati haina malengo
3. Nishati haisanifu
4. Nishati haina hekima
5. Nishati haina utambuzi.

Sasa vipi nishati uihusishe na vitu hivyo vitano ?
Ningekuambia Mungu ni roho probably ningeonekan smart kumbe hata yenyewe hujui ni nin tafta maana ya roho then urudi kwenye energy
mnapenda kutumia misamiati ambayo mmezoea lakini hamjuai inamaanisha nini usiishi kwa mazoea
 
Unachotumia wewe ni Teleological Argument au Argument from design

Kuwa kitu complex kama Jicho, moyo au ubongo haviwezi tokea tu bila kuundwa, hivyo aliyehusika kuviunda ndiye tunamuita Mungu

Hii hoja ishakuwa debunked mara kibao, ina refutations zaidi ya 100

Hapa hapa JamiiIntelligence ishakuwa refuted kama unafatilia hii mijadala

Una assume njia pekee ya kupata kitu complex kama Jicho la binadamu ni by intelligent design

unatengeneza False dilemma,njia nyingine ya kupata kitu complex kama hicho ni biological evolution na natural selection

Ubaya mnaingia kwenye hizi discussion mkiwa empty headed, siwezi kukufundisha evolution hapa tenga mda wako ujifunze ili uipinge kwa fact

Kila organ katika mwili wako ina historia yake ndefu kwenye evolution

So kwakua hujui chochote kuhusu evolution, tu stick kwenye hoja yako

Hii ndio hoja yako

1.Kitu chochote complex lazima kiwe na designer,hakiwezi tokea tu
By neno complex, tuna maana ya kitu ambacho well organized, kinafanya kazi katika namna inayofata mtiririko kiasi kwamba hakiwezi tokea tu kwa bahati

Ukilinganisha na vitu simple tu, ambayo vinaweza tokea tu kwa bahati, kama jiwe unalokutana nalo njiani

Mark hio premise ya kwanza, hii ni sheria iliyoamua kuitumia kujenga hoja yako

Hili hoja yako iwe sahihi, ni lazima hii sheria uishikirie mpaka mwisho

2.Jicho la binadamu ni complex lazima liwe na designer

3.Huyo designer ndiye Mungu

Sasa swali la msingi hapa Mungu ni complex au simple?

Ni bayana, sio simple
Hawezi kuwa sawa na jiwe, Mungu mwenye uwezo wa kuumba ubongo wenye uwezo wa kujitambua, au jicho linaloweza tofautisha mamillion ya rangi

Ni far much complex kuliko chochote alichokiumba

Utakua mjinga ukisema Mungu unayemuamini wewe ni simple kuliko wewe

Kwa hio Mungu ni complex, tukirejea premise ya kwanza ambayo ndio msingi wa hoja yako Mungu naye ni lazima awe na designer ambae ni far much complex na huyo designer lazima pia awe na designer

List haiishi, kwenye logic tunaiita infinite regression

Sasa ukisema Mungu pamoja na kuwa complex zaidi ya Jicho anaweza kutokea tu bila kuundwa wala kuwa na chazo, kwanini kitu less complex kama jicho kiundwe?

Kama kitu kikubwa kama Airbus kinaweza tokea tu chenyewe (Mungu) kwanini kijiko kisitokee tu chenyewe (jiko)

So hoja yako hapo juu inajifunga yenyewe, ni self defeating

Pia huyo designer hata kama yupo haina maana kuwa ni Mungu huyo unayemuamini wewe

Haina maana ndiye Mungu wa dini yako, au Mungu wa biblia au Quran

Kwenye hoja yako wapi ume prove hivyo?

Na sio lazima awe single designer wanaweza wakawa team, kipi kinafanya uamini ni mmoja

Kama kweli unafahamu unachokitetea hebu jibu hii hoja?
Yani waafrika tumegomea kabisa evolution / evolitonal biology . Ila mtu anakuja hapa anasema oh sijui kitu intelligent kimeumba ukimuuliza do you know how metochondria work na kama binadamu yupo special sana mbona cell zake hazina tofauti na cell za wanyama wengine
 
Back
Top Bottom