Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wanaJF. Naoma nielezee histori fupi ya hiki chuo. Baada ya kuona kuna chuo kikuu kimoja tu,Mwalimu alitoa wazo la kujengwa kingine. Wapambe wakaanza kumshauri Mwalimu mkoa ambapo chuo icho kijengwe.
Wengine KLM, oh Arusha, sijui Mbeya n.k. Kama kawaida ya Mwalimu akaja na maamuzi ya kipekee kabisa,akasema anataka kijengwe Dodoma. Ivyo akawaagiza CDA watenge eneo kwajili ya chuo icho. Wakati wa Mwinyi,mpango huo wala haukufanyiwa kazi.
Alipokuja BWM,ndio akaanza mikakati ya utekelezaji wa mpango huo (initial preparations). Mkwere alichokifanya na kutake over alipoishia BWM. Ivyo basi UDOM ni mpango mrefu wa serikali,na si wazo la Mkwere kama ambavyo anataka kupotosha historia (ni aibu hata kina Kikula nao wameingizwa kwenye mkenge kwa kuandika historia ya uongo).
Hali ya sasa ya chuo: ujenzi unaendelea wa college mbalimbali. Ingawa kihalisia ujenzi ni wa kiwango cha chini sana,kwani kuna majengo ambayo yameanza kukarabatiwa kutokana na kua na nyafu na mengine plaster kubanduka! Pia kwa kupakwa rangi nyeupe,majengo yamefubaa kwa vumbi ivyo kuwa na gharama za ku repaint mara kwa mara(mafundi walipendekeza chuo kijengwe kwa matofali ya kuchoma,Mlacha na wenzake wakakataa. Mafundi wakasema basi hisipakwe rangi nyeupe,Mlacha pia akasema NO!).
Mlacha na wenzake waliona kwa matofali ya kuchoma ujenzi utachukua mda mrefu wakati wenyewe wanataka kudahili wanafunzi 40 elfu by 2012! (sasa wapo 20k+).
Hali kwa upande wa wakufunzi ni mbaya,kwani wana ofisi zisikuwa na viti wala meza,hakuna internet,madarasani hakuna meza pia, chuo kizima kina projectors zisizozidi 10! Chuo kinadahili unqualified students,ivyo kuwapa shida wakufunzi katika lecturing!
Masilahi ya wakufunzi hayapewi kipaumbele. Pesa za kujikimu kwa wakufunzi wapya hakuna,mishahara mipya hakuna mpaka sasa. Kuna tofauti ya mishahara na vyuo vikuu vingine vya umma! Wakufunzi wakidai haki zao,wanatishiwa kufukuzwa! Hali izo,zimesababisha wakufunzi wengi kuondoka.
Itaendelea..............
Wengine KLM, oh Arusha, sijui Mbeya n.k. Kama kawaida ya Mwalimu akaja na maamuzi ya kipekee kabisa,akasema anataka kijengwe Dodoma. Ivyo akawaagiza CDA watenge eneo kwajili ya chuo icho. Wakati wa Mwinyi,mpango huo wala haukufanyiwa kazi.
Alipokuja BWM,ndio akaanza mikakati ya utekelezaji wa mpango huo (initial preparations). Mkwere alichokifanya na kutake over alipoishia BWM. Ivyo basi UDOM ni mpango mrefu wa serikali,na si wazo la Mkwere kama ambavyo anataka kupotosha historia (ni aibu hata kina Kikula nao wameingizwa kwenye mkenge kwa kuandika historia ya uongo).
Hali ya sasa ya chuo: ujenzi unaendelea wa college mbalimbali. Ingawa kihalisia ujenzi ni wa kiwango cha chini sana,kwani kuna majengo ambayo yameanza kukarabatiwa kutokana na kua na nyafu na mengine plaster kubanduka! Pia kwa kupakwa rangi nyeupe,majengo yamefubaa kwa vumbi ivyo kuwa na gharama za ku repaint mara kwa mara(mafundi walipendekeza chuo kijengwe kwa matofali ya kuchoma,Mlacha na wenzake wakakataa. Mafundi wakasema basi hisipakwe rangi nyeupe,Mlacha pia akasema NO!).
Mlacha na wenzake waliona kwa matofali ya kuchoma ujenzi utachukua mda mrefu wakati wenyewe wanataka kudahili wanafunzi 40 elfu by 2012! (sasa wapo 20k+).
Hali kwa upande wa wakufunzi ni mbaya,kwani wana ofisi zisikuwa na viti wala meza,hakuna internet,madarasani hakuna meza pia, chuo kizima kina projectors zisizozidi 10! Chuo kinadahili unqualified students,ivyo kuwapa shida wakufunzi katika lecturing!
Masilahi ya wakufunzi hayapewi kipaumbele. Pesa za kujikimu kwa wakufunzi wapya hakuna,mishahara mipya hakuna mpaka sasa. Kuna tofauti ya mishahara na vyuo vikuu vingine vya umma! Wakufunzi wakidai haki zao,wanatishiwa kufukuzwa! Hali izo,zimesababisha wakufunzi wengi kuondoka.
Itaendelea..............