Uchaguzi 2020 Njama zilizopangwa na upinzani kuichafua Serikali

Besta Mlagila

Senior Member
May 29, 2018
101
191
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Kwahiyo kufungwa kwa ofice,kukimbia kwa wakurugenzi na kutokupokelewa fomu ni mikkakati ya upinzani ili kusifanikiwe uchguzi?

Au umepikiwa togwa huko kwenu limekulevya.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Mkuu kwa uchafuzi uliofanywa Na watendaji sitawalaumu wapinzani kamwe.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Umejaliwa upumbavu na ujinga. Ujue huwezi changanya maji na mafuta yakajaa kitu?
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
HATA SISI TUNAONA KINACHOFANYIKA WW PIMBI.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Kwa upumbavu wako wa kiwango hiki,
Baba yako alitakiwa akupige puri.
Basi tu.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Jaribu kudanganya familia yako tumeona na tumeshudia ofisi zikifungwa kwa Hilo tuache liwe limepita ila eleweni wapizani hawana ubavu was kuleta machafuko katika nchi yenye vombo vya dola vilivyo makini , kwa hiyo Kama ninyi CCM na upizani wenu mnampango wa kutugawa endeleeni ila mkumbuke nchi hii ni zaidi ya vyama vyenu tunajua mnavyoishi mtaani tutaanza na ninyi
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.

Hizo propaganda za nchi za ulaya mashariki zilishapita miaka mingi watu wakiwa wanasikiliza redio tu. Sasa hivi watu wanatumia technology, dunia iko mkononi upashanaji habari uko wazi na sio wa kusubiri habari zilizochujwa na vibaraka wa watawala. Miaka minne mmekuwa mnafanya siasa wenyewe, lakini hata hao wananchi mliojidanganya wanawakubali wamegoma kujiandikisha, imebidi mtumie njia za kizee kujipa madaraka. Ni hakika sasa imeonekana jinsi ccm isivyokubalika na isiyoweza tena siasa. Safari hii mtarudisha tu zile 1.5t.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-
1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.
2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.
3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Je, unaamini kuwa wapinzani wana uwezo wa kuipeleka nchi kwenye machafuko? Je, unashauri nini kifanyike na nani afanye ili hao wapinzani wasichafue nchi kama kweli wamedhamiria kufanya hivyo?
 
Je, unaamini kuwa wapinzani wana uwezo wa kuipeleka nchi kwenye machafuko? Je, unashauri nini kifanyike na nani afanye ili hao wapinzani wasichafue nchi kama kweli wamedhamiria kufanya hivyo?
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Acha kubwabwaja kama bata kwenye kinyesi cha ngombe wewe.. Ccm haina tena nguvu kwenye Box la kura zaidi ya kutumia mbinu chafu na matumizi ya nguvu za dola
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Tatizo CCM sasa hivi haina wataalam wa kufanya siasa. Wengi wameitwa mafisadi ndio maana hawakununua Ndege wala kujenga Stifler na sgr. Wageni ndani ya CCM ni watu wa hewala tu hawana la kukemea.
Sasa hivi CCM inafanya ubeberu mpaka inakera kama walivyofanya wapinzani Kipindi cha Kikwete.
Kila kitu kifanyike kwa kiasi. Nikionacho sasa wananchi wataanza kuwaonya huruma wapinzani.
Nikupongeze kuwa jicho lako limeona kitu sahihi wakati sahihi.
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Mpak Sasa mchafu ushamjua

Ova
 
Wapinzani wa nchii hii walipofikia sio sehemu nzuri maana wanataka kuipeleka nchi kwenye machafuko kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, Kama ulikuwa haufahamu ngoja nikufaamishe mipango na mikakati yao;-

1. Walianza kulalamika kuwa wasimamizi wa uchaguzi wanawahujumu ilihali wao hawakwenda kuchukua fomu kwa wakati na waliochukua walizijaza vibaya ili watenguliwe baadae.

2. Wakaja kwenye vyombo vya habari na kuanza kuwaaaminisha wananchi kuwa kunahujuma zinaendelea.

3. Hivi sasa wanadai wagombea wa upinzani nchi nzima wametenguliwa bila sababu.

NIA YAO!
Nia yao kuu sio Serikali za mitaa ni KUWAAMINISHA wananchi kuwa wanaonewa katika chaguzi zinazofanyika tangu awamu ya tano iingie madarakani ili siku watakapowaambia wananchi kuwa wanaibiwa waamini kuwa ni kweli, kitu ambacho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

LENGO LAO!
Lengo lao ni UCHAGUZI MKUU WA 2020, Baada ya kuona kazi kubwa na nzuri inayofanywa na Rais JPM wanajua wazi kuwa nafasi ya kushinda ni finyu au haipo kabisa, kwahiyo wanaanza kuandaa mbinu mbadala watakazozitumia baada ya uchaguzi kumalizika. Mbinu ambazo zinaweza kuleta machafuko.
Rubbish.Vuvuzera la Lumumba hujui chochete
 
Back
Top Bottom