Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
dawa ya jazba inapatikana wapi wadau?
Hakuna dawa zaidi ya kujiua.
dawa ya jazba inapatikana wapi wadau?
[B
Je kuna sababu ya kushangilia uhuru wa Tanzania ?.
Kama zipo zitaje......
[1]
[2]
[3].[/B]
mKUU SASA KWANI UMEWEKA JUKWAA GANI!? au mimi ndo nimekosea!?Nadhani hii sio siasa, au nimekosea?
Downloading...........
Je kuna sababu ya kushangilia uhuru wa Tanzania ?.
Kama zipo zitaje......
[1]
[2]
[3].
Ahaa kumbe lipo jukwaa la siasa,mKUU SASA KWANI UMEWEKA JUKWAA GANI!? au mimi ndo nimekosea!?
Ngoja nikapate moja baridi ingine moto....Bw. KGB, tunakushukuru sana kwa info zako! Tafadhali endelea hivyo hivyo, inasaidia sana ku-preempt njama za uonezi!
Ipi yenye nafuu?(1) Wakati wa ukoloni mababu zetu waliteswa na kuuawa na wazungu, lakini kwa kuwa tupo huru tunateswa na kuuawa na watanzania wenzetu.
Ukizimika this time it will resurface 2015 August.Hili ni sakata la madaktari Serikali kupitia mashushu wake wanajitahidi kuuzima moto,vipi ktk uchaguzi mkuu 2015 nnadhani vifo vitakuwa ni vingi sana.
Nimecheka sana, hadi nikasahau kuwa siko pekeyangu.hamia jukwaa la wakubwa, kule kuna evidence na picha juu! pathetic.
Being in this land,!!!!? what a curse!!!? Shame on me!
Uchunguzi unaendelea hali mkuu wa tume ya kuchunguza hii saga ambaye ni mtuhumiwa Msangi yuko mafichoni.baada ya mpango wa kumuua dk ulimboka ku-back fire kuna jitihada nyingi zinafanyika kuona azma ile inakamilika.usiku wa tarehe 28 kuna watu walikweda muhimbili wakijifanya ni wagonjwa mahututi na wakataka kulazimisha kulazwa icu alikolazwa ulimboka. madaktari waliokuwa pale tulikuwa tumekwisha wapa taarifa juu ya mpango ule na hivyo baada ya kufika wale watu walikataliwa.na mgonjwa huyo alilazwa wodi ya kawaida na asubuhi yake waliompeleka walienda kumchukua tena akiwa anatembea. lengo la kutaka kulazwa moi tunalijua na tulilidhibiti.
mpaka sasa ni kikundi hicho( alibi network)ndio wako busy kuandaa taarifa yenye kupindisha uongo (false Alibi) juu ya tukio zima na wahusika wake na wakati huo huo mipango ya kuuaminisha umma wa watanzania uongo ikiendelea.mpaka sasa hakuna uchunguzi wowote unaofanyika juu ya tukio la kutekwa ulimboka. na ni kikundi hicho ndicho kinaeneza propaganda kuwa mgomo hakuna na huduma zimerejea..tunajua kazi bado ni kubwa mbele lakini tutafika
Kwa kuwasaidia, waandishi wa habari wamuone litvinenko aliyeleta hii habari.Inadhìhirisha wao wanahusika 100% na swala la ulimboka. Waandish wa habari mtafuteni huyo security mpate habari kamili muujuze uma ujue uovu wanaofanya usalama na polic dhid ya wananch
KataviHakuna dawa zaidi ya kujiua.
Juma Mgaza (correction).
Pili Ulimboka ni mzima.
Usalama wa taifa hawana jipya cha kupindisha kwa Juma Mgaza, simply alimsaidia mtu aliyeonekana na aliyemuambia kuwa kapigwa sana na kumpeleka kituo kidogo cha polisi