Zanzibar 2020 Njama? Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif awekewa Pingamizi

Tafuta jingine pingamizi sio hili ati.
 

Attachments

  • Screenshot_20200910-230543_Chrome.jpg
    Screenshot_20200910-230543_Chrome.jpg
    150 KB · Views: 1
Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.

Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea...
Umeongea vyema sana, kule Bungeni ambako tulihitaji watu wasomi watunge Sheria na wasimamie serikali eti " wanapaswa kujua kusoma na kuandika" wengine husimama na kushindwa kusoma kwa ufasaha lakini ni viongozi.

Leo hii kukosea tarakimu moja watu wanaona nongwa sana. Kwann wasisahihishe? Tarehe sio issue ya msingi, cha maanani ni taarifa za muhusika zipo sahihi?
 
Kuna wagombea ubunge wa ACT waliandika jina la chama kama Maalim hapo "ACT Wazalendo". Wameenguliwa kwa kutokuweka "-" yaani "ACT-Wazalendo". Naona Maalim naye hakuweka hako ka-. Yaani hata mimi mkulima nilikwishajua kuwa kutokuweka hako ka - inaweza kuwa nongwa. Maalim bado hajajua tu?
 
Kukosea tarehe ndio itunyime kumpata Rais bora.. mbona watanzania tunakua wehu kiasi hiki.

Kama terehe imekosewa inarejebishwa na mambo yanaendelea..

Kuna mamno serious ambayo kweli mtu hastahili kuwa Rais..

Kama makosa ya jinai etc

Hata deni la serena ni izushi mkubwa..
Tena ukiangalia ni mgombea mwenye uzoefu aliekuwa Makamu wa Rais.
 
Viongozi wangu wa upinzani. Mkishajua kuwa mnatafutwa kwa udi na uvumba, punguzeni sababu za shetwani kuwavamia. Naona hata mwandiko wa mwapishwaji na mwapishaji uko sawa. Fomu imejazwa pote na mtu mmoja. Wino tu wa kalamu ndio umebadilishwa (mweusi na bluu). Maalim hawezi kujaza fomu mwenyewe ili kuepusha uwezekano wa "kuuzwa"?
 
Back
Top Bottom