Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
Aliyesimamia bunge lisirushwe live si ndo mnamuita shujaa siku hizi? Tatizo mnajichanganya na misimamo yenu wenyewe hamuelewekii mnaamini katika kipiAlichokiandika yeriko kina mantiki kubwa sana katika jamii, tuache ushabiki wa vyama tusimamie hoja na ukweli,bunge kutorushwa live ni sawa?..unakubaliana na maamuzi ya bunge kutorushwa live?...je katiba inazungumza nini katika uhuru wa watu kupata habari?....mikutano ya kisiasa kuzuiwa ni sawa?...katiba inazungumziaje hili?...jibu hoja kwa hoja sio kwa maneno mepesi "useless scrap"...tueleze labda tunaweza kukuelewa, kwa mienendo hii ya kipuuzi puuzi ndio maana nchi ipo ilipofika na waliopewa madaraka wanakuwa kama "wamepigwa ganzi"..kwa sababu ya wanafki na wazandiki kama nyie..njaa hadi kichwani.