Njaa ya miaka 10 itakuja kuliangamiza Taifa

Oyooooooo unaka-abnormality flan amazing
Oyoooooo!!!! umegusa high tension wire? jadili hoja kwa manufaa ya jamii achana na vitu vidogovidogo (trivial) kama IQ ambayo nina uhakika huijui vizuri
 
Mafisadi chadema watakuja kuangamiza taifa hili.


Mtanzania kaa mbali na chadema
 
Nimekuja mbio kusoma nikidhani ni mada ya maana, una uhakika gani kuwa Magufuli atashinda tena 2020?
Uhakika upo 100% kama Watanzania tuliomba Mungu naye akatusikia kwa kutupa huyu Rais Mpenda Nchi yke,,

Si tutakuwa ni Wenda wazimu kutaka tutafute Rais mpya wakati Jirani zetu Kenya wanaomba tuwape japo kwa Mkopo,,
Ni wehu wachache watakao enda kupiga kura zao za kumpinga Rais wetu KIPENZI 2020.
 
="kavulata, post: 18756834, member: 96015"]nani kaondoka baada ya miaka 5?[/QUOTE]
Mkuu naona kama bile hujanielewa. Mimi nimeongelea katiba isemavyo juu ya vipindi vya uchaguzi mkuu ni kila baada ya miaka 5. Ni kweli haijawahi kutokea rais akaongoza kwa miaka 5 alafu akaachia kiti cha urais, swali la kukuuliza je nchi yetu imeshawahi kuongozwa na vhama pinzani tangia tuingie katika sera za vyama vingi? Jibu ni hapana zaidi ya mihula yote ya uchaguzi kushinda CCM. Kwasababu CCM ina sera ya kumpitisha tena mwenyekiti wa chama/rais wa nchi kama presidential candidate kwa muhula wa pili wa uchaguzi mkuu na kushinda, inaonekana kama rais anaongoza miaka 10. Ila ujue katiba ya nchi inasemaje kwanza. Refer to my first comment
 
="kavulata, post: 18756834, member: 96015"]nani kaondoka baada ya miaka 5?
Mkuu naona kama bile hujanielewa. Mimi nimeongelea katiba isemavyo juu ya vipindi vya uchaguzi mkuu ni kila baada ya miaka 5. Ni kweli haijawahi kutokea rais akaongoza kwa miaka 5 alafu akaachia kiti cha urais, swali la kukuuliza je nchi yetu imeshawahi kuongozwa na vhama pinzani tangia tuingie katika sera za vyama vingi? Jibu ni hapana zaidi ya mihula yote ya uchaguzi kushinda CCM. Kwasababu CCM ina sera ya kumpitisha tena mwenyekiti wa chama/rais wa nchi kama presidential candidate kwa muhula wa pili wa uchaguzi mkuu na kushinda, inaonekana kama rais anaongoza miaka 10. Ila ujue katiba ya nchi inasemaje kwanza. Refer to my first comment[/QUOTE]
Tuko pamoja mkuu, Baba wa taifa alifahamu kuwa watanzania ni ndondocha. enzi za uhai wake aliwahi kuwaonya wana CCM wenzake wawe makini sana kwenye kura za maoni za kuwania uteuzi wa mgombea wao wa CCM kuwania urais, maana CCM wakishamtangaza mgombea wao watakuwa wamemtangaza rais tayari. CCM wana utaratibu wa kumuacha rais agombee tena kipindi cha pili na kwakuwa wananchi hatuwezi kuamua mgombea kwa kutumia kura hivyo ni sawa na kusema rais Magufuli atatawala miaka 10 kabla ya kumpata rais mwingine wa kutoka ccm. hii itabaki kuwa hivi hadi wananchi watakapokuwa tayari kuviamini vyama vya upinzani na tume ya uchaguzi iyakapokuwa huru
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom