Njaa Somalia: Je, Tanzania itoe msaada kwa hawa wenzetu?

Tunatoa msaada mwingi sana kwa Somalia hata kabla ya njaa kutangazwa, tuna kambi za wakimbizi wa Somalia ndani ya Tanzania, mbili kama sikosei, tunazihudumia kwa hali na mali na tunawafundisha askari wa Somalia kwa hali na mali. Huo ni msaada zaidi ya kumpa mtu tonge.
Huu ni upotoshaji wa makusudi, UNHCR kazi yao ni nini?
 
Hypocrisy of Jews & Christians

It is quite hypocritical of Jews and Christian to criticize the marriage of Aisha. Talmud (Jewish scripture) says:
"Marrying off one's daughter as soon after she reaches adulthood as possible, even to one's Slave. (From the Talmud, Pesachim 113a)"
As we discussed, in biblical times adulthood could refer to the age of Puberty or even younger age.
Regarding the Marriage of Mary to Joseph, Catholic Encyclopaedia ( CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: St. Joseph), says:

"When forty years of age, Joseph married a woman called Melcha or Escha by some, Salome by others; they lived forty-nine years together and had six children, two daughters and four sons, the youngest of whom was James (the Less, "the Lord's brother"). A year after his wife's death, as the priests announced through Judea that they wished to find in the tribe of Juda a respectable man to espouse Mary, then twelve to fourteen years of age, Joseph, who was at the time ninety years old, went up to Jerusalem among the candidates; a miracle manifested the choice God had made of Joseph, and two years later the Annunciation took place."

Note: That article on Catholic Encyclopaedia obtains its information from early
Christian writing including apocryphal writings. The Catholic Encyclopaedia goes on to conclude "...retained the belief that St. Joseph was an old man at the time of marriage with the Mother of God." If Christians do not find any difficulty in accepting "Mother of God" (according to Catholic Encyclopaedia), who was 12-14, marrying a 90 year old man then why do they raise objection towards the marriage of Aisha (RA) to the Prophet?
Hizi copy & paste zako hazinisaidii kitu, swali nililouliza ni Merehemu mtume Muhamad alio binti wa miaka 9, je huu sio ubakaji? wewe Faiza Foxy uko tayari kumuoza binti yako wa miaka 9 badala ya kumpeleka shule?
 
Hizi copy & paste zako hazinisaidii kitu, swali nililouliza ni Merehemu mtume Muhamad alio binti wa miaka 9, je huu sio ubakaji? wewe Faiza Foxy uko tayari kumuoza binti yako wa miaka 9 badala ya kumpeleka shule?

Limeshajibiwa sana hili kwenye jukwaa la dini hapa linahusu nini?

Mods pelekeni hii kwenye dini, kwani ana nia ya kulumbana mambo ya dini kwenye jukwaa la siasa, au kule umemkimbia Gavana?
 
Limeshajibiwa sana hili kwenye jukwaa la dini hapa linahusu nini?

Mods pelekeni hii kwenye dini, kwani ana nia ya kulumbana mambo ya dini kwenye jukwaa la siasa, au kule umemkimbia Gavana?
Acha kulia lia kwa mods, jibu swali. na kama limeshajibiwa kwa sababu wewe ni mtaalamu wa kucopy & paste hebu licopy hilo jibu upaste hapa. au tupe link ya hiyo thread ambayo jibu la swali langu lipo. don't skip.
 
article-2019268-0D2BCEDF00000578-452_634x464.jpg
Desperate: Seven-month-old Mihag Gedi Farah weighs just 7lbs and was hours from death after arriving at a field hospital in Dadaab, Kenya

.​

Nikiangalia hiyo picha naona uchungu mkubwa lakini pia nikiangalia picha kubwa ya nchini kwetu naona vifo tokana na malaria, ama uchafu kwenye miji yetu kwa kukosa maji salama na kukosa mifereji ya maji taka nk naona hali yetu ipo sawa tu na Somalia. Kudhibiti njaa ni kati ya mambo makubwa viongozi wa Afrika hawayawezi, tushukuru mwenyezi mungu katuleta mvua kule kwetu na watu wakajituma wenyewe kulima bila kutumia manifesto sijui ya nani CCM.
Mradi utawala wao hauguswi au hauhatarishwi basi CCM (na Afrika) inaona kila kitu safi tu: kufeni kwa njaa ama malaria, mradi wana uhakika wa kushika madaraka hukuna wanachojali.
Misaada tuliyotoa kwa ukombozi wa Afrika bado hatujaisahau, kama demokrasia kwani si wote tunaoamini kua 'tenda wema uende zako'. Mpaka tutapojua namna ya kulipiza misaada tunayotoa labda hapo ndio itakua muda mzuri wa kujifunza ama kuendelea kutoa misaada.
 
Kumbe HAMAS iNATAKA KUKOMBOA PALESTINA NA SIO KUISHI na Israel kama jirani zao! Kukomboa Palestina ina maana ni kuwafutilia mbali waisrael na kuwatupa Baharini. MImi nawaunga mkono PLO ambao wanataka nchi mbili na kuwekeana mipaka na Israel. Kuhusu Somalia Kila mtu kawachoka duniani. Kumbuka hata OAU iliwahi kuwaweka meza moja makundi yanayopigana ili iliwapatanishe. Lakini wale jamaa pale mezani walizichapa ngumi sana mbele ya mpatanishi wa OAU wakati huo. KIla wakipatanishwa wao hawataki sijui mpaka leo wanachogombea ni nini.NJaa kali sana kule somalia lakini watu duniani wamechoka na hao wasomali kutotulia nchini mwao. Unaju hii yote somali ni laana ya Kuichukia Israel. Mwaka 1976 somalia ilihusika na kuwatrain magaidi walikwenda teka nyara Ndege ya Ufaransa iliyokuwa na wayahudi 126 na kuwapeleka Entebe. Halafu Ubalozi wa somali nchini Uganda ulikuwa msemaji mkuu wa magaidi. Mwisho Israel iliwakomboa raia zake, Somali Iliwatukana sana sana waisrael na ilitaka walaaniwe UNO. Abraham aliambiwa , atakaye kulaani nani nitamlaani, na atakaye kupenda nami nitampenda. Ona sasa somalia na Iddi amin yaliyowakuta.

well thought and written, keep it up
 
MMJJ hongera sana kwa kutujuza juu ya hawa ndugu zetu, wangeweza kuikimbia hiyo njaa lakini watapita wapi ? Visa,PP,rushwa nk.ni vikwazo na vitu vya kuongeza machungu. hata wale ambao wanaweza toroka na kufanikiwa kufika hata mbeya ambako neno 'njaa' maana yake ni kukosekana kwa wali au ugali. AU wangekaa na kutafakari upya namna ya kuhakikisha nchi zenye ahueni ya chakula zifungue mipaka na kuondoa vikwazo ili watu waweze kusafiri au kusafirisha chakula,nafikiri umesikia serikali yetu ikipiga marufuku mahindi kusafirishwa kwenda nje ?????!!!!!!
Nikuwashauri waache vita, mbaya zaidi ukifika huko kwao ukajitambulisha unaitwa John basi wao watajua unapeleka ukristo hata kama wewe unajijua kuwa mpagani.
 
Wakuu zangu nadhani swali la Mwanakijiji lipo wazi kabisa na nashangaa Wadanganyika kwa akili zenu za Kijamaa mnatoka kabisa ktk mada na kuanza kuzungumza mambo yasiyohusika kabisa...

Ni akili hii ndio inafanya Tanzania nchi maskini. Na namshangaa sana JK kashindwa kuelewa source ya umaskini wa Tanzania wakati ni wazi kabisa kwamba sisi wenyewe ndio sababu.. Umaskini hutokana na ufinyu wa kufikiri, mawazo mgando yasiyoweza kutoa solution na kuifanyia kazi badala yake wamejazwa imani za kitumwa ambazo ndizo zinatawala matendo yao..

Na siwashangai kabisa watu kama Matola na Faisal ambao udini katu hauwezi kuwatoka kwa sababu ya utumwa wa kifikra. Mtanisamehe sana lakini ukweli unabakia kwamba mnasukumwa na imani za kitumwa. Imani ambazo zimejengwa na mabwana zenu ili muwatumikie pasipo kufikiri kwamba wewe ni binadamu na unatakiwa kuwa huru kufikiria na kutoa maamuzi yako sawa na bwana wako aliyekulisha sumu hii..

Labda nirudi ktk mada, maswala ya dini na tofauti zetu za kiimani ni msingi wa mgawanyiko wa hao waliowatawala na kwa manufaa yao. Leo Somalia ndugu zetu waliokuwa huru hawana mamlaka ya kuchagua viongozi wao. Haya tunayoyaona ni matokeo ya kile Amerika na wavamizi wengine wanayoyafanya nchi za Kiarabu. Ni Amerika iliyoivamia Somalia kuhakikisha utawala ulopewa ridhaa ya wananchi wake hawaingii ikulu isipokuwa utawala wanaoupitisha wao.

Na waliposhindwa waliiacha Somalia ktk hali mbaya kisiasa na imeshindikana kabisa kurudisha demokrasia wala utawala bora. Haya ndio yatakayo tokea Iraq, Afghanstan, North Afrika na nchi nyingine zote ambazo zimekuwa zikipandikizwa mbegu ya chuki na husda dhidi ya viongozi wao ambao kosa lao HASA ni kutofungamana na nchi za magharibi. Na hakika wasiwasi mkubwa wa Marekani na nchi za magharibi ni jinsi China ilivyoweza kuingia na gear kubwa Afrika na nchi za kiarabu..

Tumesahau leo amani iliyokuwepo Somalia miaka ya Siad Barre ambaye aliondolewa kwa nguvu ya demokrasia kama wanavyotaka kumwondoa Ghadaff..Na matokeo ya nguvu zote hizo leo tunawalaumu Wasomali wenyewe kwa Uislaam wao, yaani kupinga Amerika lazima iambatane na Uislaam kwa sababu tu wananchi wake asilimia 100 ni waislaam.

Nawaomba sana, tuwe makini sana na hizi imani za dini hasa mnapofikia kutoa matusi makubwa kwa waumini wa dini zetu maanake imenishangaza sana kumsoma Matola ambaye yupo radhi kumdhihaki Mtume Muhammad kwa kuozeshwa mtoto bila kufahamu upana wa neno ndoa zaidi ya kujamihiana..
Ni ufinyu huo huo unatumiwa na watu wengi kuhalalisha kuoa ndugu zao kwa sababu tu Abraham alimwoa dada yake Sarah, na hata Baadhi ya wajinga wengine kuwalawiti watoto wadogo kwa sababu Yesu alimpenda sana mtoto mdogo (jina lake halikutajwa ktk biblia).. Neno kupenda kwao hutafsrika kwa matendo ya kujamihiana..

Ujinga huu unatokana na tamaduni mbaya, fikra chafu ambazo hakuna mahusiano ya binadamu ktk mapenzi isipokuwa kimwili. Hizi ndizo Yesu alisema gospel za mwanadamu na hakika zimeathiri sana uwezo wetu ktk kufikiri isipokuwa kwa kufuata maandishi ya mwanadamu (copy and Paste).
 
Wakuu zangu nadhani swali la Mwanakijiji lipo wazi kabisa na nashangaa Wadanganyika kwa akili zenu za Kijamaa mnatoka kabisa ktk mada na kuanza kuzungumza mambo yasiyohusika kabisa...

Ni akili hii ndio inafanya Tanzania nchi maskini. Na namshangaa sana JK kashindwa kuelewa source ya umaskini wa Tanzania wakati ni wazi kabisa kwamba sisi wenyewe ndio sababu.. Umaskini hutokana na ufinyu wa kufikiri, mawazo mgando yasiyoweza kutoa solution na kuifanyia kazi badala yake wamejazwa imani za kitumwa ambazo ndizo zinatawala matendo yao..

Na siwashangai kabisa watu kama Matola na Faisal ambao udini katu hauwezi kuwatoka kwa sababu ya utumwa wa kifikra. Mtanisamehe sana lakini ukweli unabakia kwamba mnasukumwa na imani za kitumwa. Imani ambazo zimejengwa na mabwana zenu ili muwatumikie pasipo kufikiri kwamba wewe ni binadamu na unatakiwa kuwa huru kufikiria na kutoa maamuzi yako sawa na bwana wako aliyekulisha sumu hii..

Labda nirudi ktk mada, maswala ya dini na tofauti zetu za kiimani ni msingi wa mgawanyiko wa hao waliowatawala na kwa manufaa yao. Leo Somalia ndugu zetu waliokuwa huru hawana mamlaka ya kuchagua viongozi wao. Haya tunayoyaona ni matokeo ya kile Amerika na wavamizi wengine wanayoyafanya nchi za Kiarabu. Ni Amerika iliyoivamia Somalia kuhakikisha utawala ulopewa ridhaa ya wananchi wake hawaingii ikulu isipokuwa utawala wanaoupitisha wao.

Na waliposhindwa waliiacha Somalia ktk hali mbaya kisiasa na imeshindikana kabisa kurudisha demokrasia wala utawala bora. Haya ndio yatakayo tokea Iraq, Afghanstan, North Afrika na nchi nyingine zote ambazo zimekuwa zikipandikizwa mbegu ya chuki na husda dhidi ya viongozi wao ambao kosa lao HASA ni kutofungamana na nchi za magharibi. Na hakika wasiwasi mkubwa wa Marekani na nchi za magharibi ni jinsi China ilivyoweza kuingia na gear kubwa Afrika na nchi za kiarabu..

Tumesahau leo amani iliyokuwepo Somalia miaka ya Siad Barre ambaye aliondolewa kwa nguvu ya demokrasia kama wanavyotaka kumwondoa Ghadaff..Na matokeo ya nguvu zote hizo leo tunawalaumu Wasomali wenyewe kwa Uislaam wao, yaani kupinga Amerika lazima iambatane na Uislaam kwa sababu tu wananchi wake asilimia 100 ni waislaam.

Nawaomba sana, tuwe makini sana na hizi imani za dini hasa mnapofikia kutoa matusi makubwa kwa waumini wa dini zetu maanake imenishangaza sana kumsoma Matola ambaye yupo radhi kumdhihaki Mtume Muhammad kwa kuozeshwa mtoto bila kufahamu upana wa neno ndoa zaidi ya kujamihiana..
Ni ufinyu huo huo unatumiwa na watu wengi kuhalalisha kuoa ndugu zao kwa sababu tu Abraham alimwoa dada yake Sarah, na hata Baadhi ya wajinga wengine kuwalawiti watoto wadogo kwa sababu Yesu alimpenda sana mtoto mdogo (jina lake halikutajwa ktk biblia).. Neno kupenda kwao hutafsrika kwa matendo ya kujamihiana..

Ujinga huu unatokana na tamaduni mbaya, fikra chafu ambazo hakuna mahusiano ya binadamu ktk mapenzi isipokuwa kimwili. Hizi ndizo Yesu alisema gospel za mwanadamu na hakika zimeathiri sana uwezo wetu ktk kufikiri isipokuwa kwa kufuata maandishi ya mwanadamu (copy and Paste).

Je unajua kweli unachokiongea??
Hao unaowatusi eti wana akili za kitumwa mbona wana nafuu kuliko wewe. Ungekuwa na akili kama unavyojigamba basi ungeelewa kuwa hakuna sababu yoyote ya msingi inayoifanya jamii yoyote iliyostaarabika ishindwe kuunda serkali kwa zaidi ya miaka 20.
Eti Marekani ndo inawafanya wasomali wasiweze kujitawala! Al shabab wamewekwa na marekani? Koo zinazobaguana zenyewe kwa zenyewe zilianzishwa na wamarekani?
Muungano katika chuki dhidi ya nchi za magharibi baina ya wacommunists/socialists/leftists pamoja na waislam ndiyo chimbuko la maovu na maangamizi yanaoendelea duniani. Nchi za magharibi zinajitahidi kusaidia kupunguza uovu kama ule wa sadam (iraq), gadaff (libya), assad (syria), taliban (afighanistan) alshabab (somalia) alqaida (globally) lakini matokeo yake wao ndo waonekane wabaya. The devil is a lier and the father of lies.
 
Nimefurahi sana kwa uamuzi wa serikali kutoa msaada; japo naamini tuna uwezo wa kutoa msaada zaidi ya huo. Ningependa kupeleka watu wetu hata kupata uzoefu katika masuala haya..
 
Back
Top Bottom