Njaa Somalia: Je, Tanzania itoe msaada kwa hawa wenzetu?

Waarabu wana pesa za mafuta lakini kuchangia kwenye maafa hakuna. Japan na marekan ndio wanaongoza. Plumpy nuts, F75, csb na yellow corn, pulses zote mataifa ya magharibi wanaletaga tende tu.

Unasema tende??? Hiyo ni sunna, ukila huumwi njaa siku 7
 
<br />
<br />
uko sawa mkuu, na nina shaka hizo sambusa ziliwekwa nyama ya nguruwe ngoja nitafute data kwa swahibu yangu pale mogadishu

[h=2]Somalia: Islamic supremacists ban samosas for "resembling Christian Trinity"[/h]
samosas.jpg
Delicious, but haram


Militants believe triangular snack 'resembles Christian Holy Trinity,'" by Stewart Maclean for the Daily Mail, July 26 (thanks to Twostellas):
Somalia's al-Shabaab group has banned samosas after ruling the popular snacks are 'offensive' and too Christian.Militant Islamist fighters last week used vehicles mounted with loudspeakers to announce the bizarre ruling across the regions of the war-torn country it controls.

It is now thought islamist militants have taken offence at the three-sided samosa's supposed resemblance to symbol of the Christian Holy Trinity.
Kenya's Daily Nation newspaper today reported that residents of the Somali town of Afgoye, 20 miles south of the capital Mogadishu, had confirmed the samosa ban had been imposed.
The fried snacks, usually filled with spicy meat or vegetables, have been served for centuries in the East African country.
But the newspaper said locals believed al-Shabaab leaders had decided the triangular shape was not compatible with their strict version of Islam.

The unexpected move means Somalis could now expect to be punished if caught cooking, buying or eating samosas, known locally as sambusas.

 
Sambusa zilitengenezwa zikiwa na pembe tatu, wenye dini yao walisema zinamaanisha utatu mtakatifu wa wakiristo na hivyo zikawa halamu na kupigwa marufuku. Te te te teh teh........ hii dunia in mambo!!! wanangu kua uyaone.

duh .... hii kali ..... kwa hiyo hata ESCUDO ya milango mitatu wataipiga marufuku
 
Painkiller leo kazi unayo, tumia ile ID ya Paw kupunguza kelele kama naibu spika na cdm ha ha ha ha
 
kuna watu wajinga na wapumbafu, hata wakielezwa kitu hawaelewi. we pumbafu kweli yaani mpaka Waislamu waandamane ndio utaridhika mjinga kweli wee
 
<span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...<br />
<br />
sura al baqara aya ya 264 <br />
<br />
<br />
<br />
muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba<br />
</span>
<br />
<br />
mbona tende wanaziandika DONATED BY SAUDI ARABIA AU KUWAIT, juz juz hapa tumepokea mchele umegongwa donated by Kuwait?labda mkitoa misaada majumbani ndo hamtangazi. Unakumbuka ajali ya dodoma ya train? Mwana wa mfalme wa saudia na kiremba alidonate madawa na pesa kwa red cross na alijitangaza .
 
kwani wakristo wameandamana kulalamikia njaa au kutaka wasaidiwe watyu wanaokufa na njaa kaskazini mwa Kenya. Kwani wanaotaabika na njaa kaskazini mwa Kenya au Ethiopia ni Waislamu tu?
 
Mbona Iran imeshatuma shehena mbili za misaada kwa wananchi wa Somalia?[video]http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&amp;view=article&amp;id=18927 :iran-yatuma-shehena-nyingine-ya-misaada-ya-dharura-somalia&amp;catid=1:latest&amp;Itemid=74[/video]
 


waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...

sura al baqara aya ya 264



muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba
asas hapa unachangia changia hnini si ukae kimya ..kwani unapokuja kutoa/kutetea oja yako hapa si ndio unatangaza au?kwa hiyo unapingana na aya yako...
 
Ntambaswala mkuu ! Iran imeshatuma shehena mbili za misaada hadi sasa kwa wananchi wa Somalia acha kubwabwaja tu soma hapa[video]http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&amp;view=article&amp;id=18927 :iran-yatuma-shehena-nyingine-ya-misaada-ya-dharura-somalia&amp;catid=1:latest&amp;Itemid=74[/video]
 
Ntambaswala mkuu ! Iran imeshatuma shehena mbili za misaada hadi sasa kwa wananchi wa Somalia acha kubwabwaja tu soma hapa[video]http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&amp;view=article&amp;id=18927 :iran-yatuma-shehena-nyingine-ya-misaada-ya-dharura-somalia&amp;catid=1:latest&amp;Itemid=74[/video]

mbona unapingana mna mwenzako hapo chini? mwenzako si katoa aya kuwa mkichangia mnatakiwa mkae kimya? hii sasa ni nini? au aya zenu wenyewe hamzijui?

waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...

sura al baqara aya ya 264

"264. Enyi mlio amini! Msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na maudhi, kama anaye toa mali yake kwa kuwaonyesha watu, wala hamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho. Basi mfano wake ni kama mfano wa jabali ambalo juu yake pana udongo, kisha likapigwa na mvua kubwa, ikaliacha tupu. Basi hawatakuwa na uweza wowote kwa walivyo chuma. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu makafiri"

muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba
 
Tuliona na kusikia Waislamu hapa TZ na kwingineko wakiandamana kulaani/ kupinga mashambulizi ya NATO huko Libya na Afghanistan etc kwa madai kuwa mashambulizi hayo yalilenga kuwauwa Waslamu.

Tuliona pia jinsi waislamu walivyoandamana kumlaani yule mchora katuni wa Denmark. Hata hapa juzi tumeona TZ wakitaka kuandamana kupinga kuuwawa kwa Osama Bin Laden.

Swali moja najiuliza, kwa spirit hiyo ya kuwapenda na kutetea waislamu walioko hapa duniani, mbona sioni Waislamu wakiandamana kutaka kuwasaidia waislamu wenzao wanaokabiliwa na njaa Somalia na Kenya Kaskazini. Maana kufa kwa njaa kunazuilika kama vile tunavyoandamana kuzuia mashambulizi ya NATO na Marekani

Tena ajabu kubwa nimeona Aljazeera TV na BBC, na KTN wale wahanga wakiomba mataifa ya Makafir ya Marekani na Ulaya wawasaidie kupata chakula. Mbona hawaombi nchi za Saudi Arabia, Pakistan, Iran au Sudan au OIC wawasaidie?

Ni tafakari tu..................

Solidarity katika kupiga vita social injustice inawapiga vita. Ingekuwa mtu mmoja ametishia kuchoma moto Qu'ran, of course, ungeshakwisha ona solidarity yenyewe. Kwangu mimi hata mtu akichoma moto biblia milioni 1 bado anakuwa hajachoma biblia hata moja maana neno la Mungu ni hai halichomwi moto na liko ndani ya mioyo ya wanadamu. Lakini kwa wenzetu sivyo.
 
<span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...<br />
<br />
sura al baqara aya ya 264 <br />
<br />
<br />
<br />
muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba<br />
</span>
<br />
<br />
kama ni hivyo basi kusingekuwa na balaa la njaa kiasi hiki.
 
duh .... hii kali ..... kwa hiyo hata ESCUDO ya milango mitatu wataipiga marufuku

Wakati wa kampeni 2010 hapa Tz walidharirisha utatu mtakatifu, walianza na mafiga matatu baadae wakaja na utatu yaani baba (kikwete) mwana (mbunge) na roho (diwani). Usiyastaajabie ya somalia hata hapa bongo yapo!!
 
Back
Top Bottom