Waarabu wana pesa za mafuta lakini kuchangia kwenye maafa hakuna. Japan na marekan ndio wanaongoza. Plumpy nuts, F75, csb na yellow corn, pulses zote mataifa ya magharibi wanaletaga tende tu.
Unasema tende??? Hiyo ni sunna, ukila huumwi njaa siku 7
Waarabu wana pesa za mafuta lakini kuchangia kwenye maafa hakuna. Japan na marekan ndio wanaongoza. Plumpy nuts, F75, csb na yellow corn, pulses zote mataifa ya magharibi wanaletaga tende tu.
<br />
<br />
uko sawa mkuu, na nina shaka hizo sambusa ziliwekwa nyama ya nguruwe ngoja nitafute data kwa swahibu yangu pale mogadishu
Sambusa zilitengenezwa zikiwa na pembe tatu, wenye dini yao walisema zinamaanisha utatu mtakatifu wa wakiristo na hivyo zikawa halamu na kupigwa marufuku. Te te te teh teh........ hii dunia in mambo!!! wanangu kua uyaone.
Hivi ESCUDO ni gari ya Kanisaduh .... hii kali ..... kwa hiyo hata ESCUDO ya milango mitatu wataipiga marufuku
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...<br />
<br />
sura al baqara aya ya 264 <br />
<br />
<br />
<br />
muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba<br />
</span>
<br />sio lazima ukitoa misaada utangaze au uandamanwe nimetoa misaada
asas hapa unachangia changia hnini si ukae kimya ..kwani unapokuja kutoa/kutetea oja yako hapa si ndio unatangaza au?kwa hiyo unapingana na aya yako...
waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...
sura al baqara aya ya 264
muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba
Ntambaswala mkuu ! Iran imeshatuma shehena mbili za misaada hadi sasa kwa wananchi wa Somalia acha kubwabwaja tu soma hapa[video]http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&view=article&id=18927 :iran-yatuma-shehena-nyingine-ya-misaada-ya-dharura-somalia&catid=1:latest&Itemid=74[/video]
waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...
sura al baqara aya ya 264
"264. Enyi mlio amini! Msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na maudhi, kama anaye toa mali yake kwa kuwaonyesha watu, wala hamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho. Basi mfano wake ni kama mfano wa jabali ambalo juu yake pana udongo, kisha likapigwa na mvua kubwa, ikaliacha tupu. Basi hawatakuwa na uweza wowote kwa walivyo chuma. Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu makafiri"
muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba
Tuliona na kusikia Waislamu hapa TZ na kwingineko wakiandamana kulaani/ kupinga mashambulizi ya NATO huko Libya na Afghanistan etc kwa madai kuwa mashambulizi hayo yalilenga kuwauwa Waslamu.
Tuliona pia jinsi waislamu walivyoandamana kumlaani yule mchora katuni wa Denmark. Hata hapa juzi tumeona TZ wakitaka kuandamana kupinga kuuwawa kwa Osama Bin Laden.
Swali moja najiuliza, kwa spirit hiyo ya kuwapenda na kutetea waislamu walioko hapa duniani, mbona sioni Waislamu wakiandamana kutaka kuwasaidia waislamu wenzao wanaokabiliwa na njaa Somalia na Kenya Kaskazini. Maana kufa kwa njaa kunazuilika kama vile tunavyoandamana kuzuia mashambulizi ya NATO na Marekani
Tena ajabu kubwa nimeona Aljazeera TV na BBC, na KTN wale wahanga wakiomba mataifa ya Makafir ya Marekani na Ulaya wawasaidie kupata chakula. Mbona hawaombi nchi za Saudi Arabia, Pakistan, Iran au Sudan au OIC wawasaidie?
Ni tafakari tu..................
<br /><span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
waislamu huwa tukitoa misaada hatutangazi tumekatazwa au hadi nikupe ushahidi wa ayat ... haya basi hii hapa...<br />
<br />
sura al baqara aya ya 264 <br />
<br />
<br />
<br />
muislam akitoa msaada anakaa kimya! kama ingekuwa tunaruhusiwa kutoa kwa kujitangaza ingezidi hiyo ya misaada ya kinafki wanayotoa wenzetu huku wakijigamba<br />
</span>
duh .... hii kali ..... kwa hiyo hata ESCUDO ya milango mitatu wataipiga marufuku
mkuu mbona ukurupuka! tuliza mzzuka waislamu wanaiangalia hii issue kwa umakini sana! kuna facebook groups waislamu wanachangishana... kuna african muslim agency! kuna OIC ..
soma hapa Islamic aid groups meet to help Somalia - Africa | IOL News | IOL.co.za
http://africawitness.wordpress.com/2011/07/24/thank-you-for-helping-somalia/