Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Read more: Mihag Gedi Farah: Haunting face of East Africa drought, baby Mihag hours from death | Mail Online
Read more: Mihag Gedi Farah: Haunting face of East Africa drought, baby Mihag hours from death | Mail Online
Ukiondoa Kenya na baadhi ya nchi za karibu ambazo zimejikuta na wakimbizi wa Somalia hasa kutokana na baa la njaa ni nchi chache za Kiafrika zimejitokeza kutoa misaada - as a matter of fact sijaona bado ni nchi gani. Tumekuwa na haraka kweli tunapoona nchi za magharibi zinakuja kutuondolea madikteta wetu na kuwakemea mara moja - ooh tuachieni Afrika tutatue matatizo yetu. Hatuchelewi kupeleka ujumbe Libya, Ivory Coast n.k ili kujionesha kuwa tunaweza kutatua matatizo yetu na kusaidiana wenyewe.
Then comes Somalia. Ukiondoa matatizo mengine ya nyuma hakuna tatizo ambalo linagusa nafsi ya mwanadamu na utu wake kama njaa. Vita haikaribii njaa kwa madhara yake. Lakini inashangaza, hatujasikia viongozi wa Afrika wakimobilize watu wao kusaidia chakula huko! Hata sisi Tanzania hatujasema tunatoa japo msaada wa fedha au chakula - si kwamba hatuna uwezo. Lakini hadi hivi sasa ni hawa hawa wazungu tusiotaka watusaidie kwenye madudu yetu mengine wamekuwa tena wa kwanza na kwa nguvu zaidi kutoa misaada ya chakula.
Tatizo letu ni nini hasa? Wakati Somalia wanakufa njaa, sisi tulikuwa na mashindano ya kula sana pale Morogoro; wakati Somalia wanakufa njaa sisi tunaendelea na mizunguko ya Fiesta! Ooh sina tatizo na sherehe hizo au watu kufurahia lakini can we be a little bit responsible nation miaka 50 baada ya uhuru wetu? I'll share you a short story, hotuba ya Nyerere.
Our friends in Kenya are being prosecutedfor alleged offences arising from their efforts to oppose the Lennox-Boyd constitution. Our National Executive sent a cheque of Shs. 5000/- to those friends to help towards legal defence expenses and also called upon the country to fast and pray on the 27 May, and stop smoking for two days- 27 and 28 May
At the same time our Nyasaland brothers appealed to us for financial help to enable them to send a delegation to the United Kingdom to put their case for constitutional reforms. TANU has already sent to Nyasaland African Congress sufficient money to pay for a return ticked for once delegate.
Imperialists agents are complaining again. Not because they know that is is a sacrifice for our poor membership to give this very little financial help to our brethren in need; but because they do not like what all thi smeans: for it means African solidarity on a wider scale. If the Africans of Africa unite imperialism must go.
We pray for the safety and success of our brethren in Keany and Nyasaland, and in fact wherever they may be engaged in this struggle to add to the world's sum total of freedom and human dignity by restoring that freedom and dignity to this great continent of ours- AFRICA - Sauti ya TANU, 20 Juni, 1958
Najiuliza; were we in a better position to help our brothers in Kenya and Nyasaland (now Malawi) then than now? Kama matatizo ya uhuru tuliyaona yanatuhusu hivyo, je matatizo ya chakula hayatugusi hivyo? Najiuliza, kuna kiongozi yeyote Tanzania anayeweza kutoa wazo hili na kulisimamia simply kwa ajili ya utu wa mwanadamu? Si kwamba katiba yetu inasema "kila mtu (haisemi kila Mtanzania) anastahili haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"?
Nauliza: Makanisa, na Misikiti yetu wako wapi kutekeleza wito wao wa kusimama na wale wenye njaa na shida? Nauliza, makundi ya vijana ma wanaharakati wetu, wako wapi?
Kwa upande wangu, I'll do something, the only little thing I know I can do. Siwezi kuangalia macho ya huyo mtoto na kuendelea kula kama kawaida. NI DHAMBI dhidi ya uanadamu wake.