NJAA NOMA

kitwangaz

Member
Aug 22, 2016
92
32
6f50ebd92ea124a11edf0fcf74f042b7.jpg
 
Hili swala la njaà linakwepenka endapo atafungua mikaka. Naskia hata pembejeo kwa wakulima mwaka huu zimekuwa za kupata kwa manati.
 
Nchi sasa njaa kali ya kutengeneza. Pesa za mifuko ya jamii kujenga kiwanda cha sukari na viatu. OOF, NSSF sasa ndio wizara ya fedha na bank kuu. Ndio wanaojenga viwanda. Mahakama iliamuru wastaafu ATCL walipwe haki zao PPF lakini serikali imegoma kurekeleza amri tunachoona ni kuhamisha hizo pesa kujenga viwanda. Njaa ni ya kutengenezwa na waliopo ktk uwongozi
 
Akigeuka jibu lenyewe hivi ww una akili kweli? Kabla yangu mimi
Ulikuwa unaishije?
Mzee kidogo hali ilikuwa nzuri
Halafu wewe una utani na mimi?
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom