Njaa inaweza kumfanya mtu afanye jambo la ajabu sana!
Tena usiombe upatwe na njaa ikiwa unga umeisha, mafuta yameisha, gesi imeisha, luku imekata n.k Hakika kuna uchizi huwa unaingia ghafla hata usijue cha kufanya.
Njaa huifanya akili ifanye kazi kwa speed kubwa halafu isipate majibu sahihi!
Njaa huutweza utu!
Njaa inaweza kuifanya akili ikachoka ghafla na kukata tamaa!
Nakumbuka Siku moja nilikuwa sina kitu kabisa, mishe ilikuwa imegoma, njaa ilikuwa inauma balaa, nikapanda daladala nikiwa na mawazo makali hadi nikasinzia kwenye daladala kiasi cha kupitilizwa kituo! Na sikuwa na nauli ya ziada! Nikaamua kuuza saa nikapata 5000 ya nauli na kula!..
Njaa huleta hasira na maamuzi magumu! Njaa huifanya akili Ione kila kitu kitamu hata ukipewa ming'oko utasema keki!
Naomba tuelezane hapa, nikituko gani au jambo gani la hatari uliwahifanya ulipopatwa na njaa wakati huna kitu mfukoni?
Tena usiombe upatwe na njaa ikiwa unga umeisha, mafuta yameisha, gesi imeisha, luku imekata n.k Hakika kuna uchizi huwa unaingia ghafla hata usijue cha kufanya.
Njaa huifanya akili ifanye kazi kwa speed kubwa halafu isipate majibu sahihi!
Njaa huutweza utu!
Njaa inaweza kuifanya akili ikachoka ghafla na kukata tamaa!
Nakumbuka Siku moja nilikuwa sina kitu kabisa, mishe ilikuwa imegoma, njaa ilikuwa inauma balaa, nikapanda daladala nikiwa na mawazo makali hadi nikasinzia kwenye daladala kiasi cha kupitilizwa kituo! Na sikuwa na nauli ya ziada! Nikaamua kuuza saa nikapata 5000 ya nauli na kula!..
Njaa huleta hasira na maamuzi magumu! Njaa huifanya akili Ione kila kitu kitamu hata ukipewa ming'oko utasema keki!
Naomba tuelezane hapa, nikituko gani au jambo gani la hatari uliwahifanya ulipopatwa na njaa wakati huna kitu mfukoni?