Ni wapi huko nikakope na mimitunaita ZA MOTO unakopa 1,000,000 unalipa 1,250,000 kwa miezi 6
Mkuu kastaafu ila lugha anazoongea kama za first yearHahaha mkuu umestaafu?
Shikamoo mzee !Tangu nistaafu huu ni mwaka wa NNE niko shambani na Mali sijawahi iona achilia mbali kuipata.
Life fucks everybody, that's why nobody dies virgin
Utafungwa.....kuna mshkaji wangu alifanya hivyo.. Almanusura aswekwe ndaniunaenda kuripoti kadi imepotea,wanakupa nyingine..mkopeshaji atabaki na kadi lake halitumiki
Real man cant be fuc.ked....tek that to the bankJust wait for your time kijana
Tangu nistaafu huu ni mwaka wa NNE niko shambani na Mali sijawahi iona achilia mbali kuipata.
Life fucks everybody, that's why nobody dies virgin
Kilimo chetu hakikuwahi kuwa cha kibiashara toka enzi. Hatuwezi kufanana na Kenya. Tulipoondia settlers 1967, na kilimo cha kibiashara kikafia pale.Nipeni mfano mzuri wa watanzania 10 matajiri kutokana na kilimo
yap! hata ukiwa kazini unajichimbia chember...unapiga pips zako 50, kuliko hawa loan sharks wakugeuze mtaji waoMpo kwenye forex
Marahaba mwanaharakati!!! I wish vijana wote wangekua kama weweShikamoo mzee !
Ni kweli kuwa serikali na chama havileti pesa wala chakula mezani. Lakini sera zao ni muhimu kuweka mwongozo wa jinsi maisha yatakavyokuwa.Mkuu. Tunaweza kuilaum serikali asubui mpaka jioni na kumwangushia lawama Magufuli na chama cha mapinduzi.
lakini tunasahau kila mtu au mtanzania ana sehemu yake ya kutimiza wajibu wake kabla ya kulalamikia serikali na chama cha mapinduzi.
chama cha mapinduzi au rais haikuwekei hela mfukoni, wala haikuletei chakula mezani. Niwajibu wako wewe kama mtanzania kupambana uishi vizuri na familia yako.
tukibadilisha fikra hizo mgando na kuanza kuchangamka kutafuta fursa mafanikio yataanza kudhiirika kwetu na tutaanza kuacha kuilaumu serikali.
nirudi kwenye mada.
watumishi wa serikali wanaponzwa na matumizi mabaya ya pesa. Wewe kama mshahara wako ni M1 Na unataka uishi maisha ya M5 Kwa mwezi serikali inahusikaje?
hapo tatizo liko kwa watumishi wa serikali wenyewe kushindwa kudhibiti matumizi.
serikali ya awamu hii imejitaidi sana kuwalipa watumishi wake kwa wakati tarehe 20 au 21 tayari pesa imeshaingia kwenye akaunt. Mungu awape nini tena? Tuachekutafuta visingizio tutimize wajibu wetu.
Just expand your poor knowledge upon language and vocabulary usage!!!Real man cant be fuc.ked....tek that to the bank
Asante mjukuu!!!kwasababu wewe ni Robot la Matope