Njaa Kali ama ni nini : Wasanii kuweka mpaka Video za matembezi kwenye accnt zao za YouTube

sioni kosa.maana account ni yake Ana ruhiskwa kuweka akitakacho.
Hata wewe kwenye you tube yako unaweza ukapost chochote ila kisiwe matusi
 
Hata wewe mleta mada unaweza ukakuta kuku wanapandana.ukawarekodi ukatupia kwenye you tube yako.
Watu wakaangalia.
Au ukakuta watoto wanacheza ukawarekodi ukatupia.wakiangalia sawaa wasipoangalia sawaa.
You tube ni Kama Instagram au Facebook n.k
 
ulaya ndio kwa kina Adelle !!!..
hao kweli hawana hayo mambo sana ila Marekani wapo active sana kwenye hizo issues maana ndio njia pekee inawafanya wasanii kujenga interest ya mashabiki kwao mbali na muziki, pia inawasaidia kujenga brand zao na kuongeza content kwenye platforms zao brother
Usikute mwenzako anaposema Ulaya basi ndo anamaanisha kwa hao hao akina Ariana Grande!

Slowly, Wakati wewe unaponda usisahau Billboard walim-feature Diamond kupitia makala titled "How to Go Global On YouTube: Watch and Learn From Africa's Top Music Star". Kwenye article ile, kuna paragraph inasema "Western artists can learn from what African artists are doing, particularly the ones who have broken internationally,” says YouTube music trends manager Kevin Meenan." Kumbe wanaoambiwa wajifunze kutoka kwake ni hata hao uliowaita wa Ulaya!!!

Aidha wanaendelea: "For every [official] music video he has — and they are very high-production music videos, by the way — he might have anywhere from five to 20 or more song and nonsong content videos,that, for instance, could include documentary-style or behind-the-scenes footage.

Hicho ndicho wewe (Slowly) unaponda wakati walio kwenye industry wenyewe, tena huko huko "Ulaya" wanawaambia wenzao wa huko Ulaya wajifunze!!!
 
Hata wewe mleta mada unaweza ukakuta kuku wanapandana.ukawarekodi ukatupia kwenye you tube yako.
Watu wakaangalia.
Au ukakuta watoto wanacheza ukawarekodi ukatupia.wakiangalia sawaa wasipoangalia sawaa.
You tube ni Kama Instagram au Facebook n.k
Hapo kwenye kuku jogoo likiwa jeusi na mitetea ukiwa bado kifaranga lakin cheupe title inakua
black cock and white chicks
 
Hili Jambo linanishangaza Sana , sijaona wasanii wengine hasa wa nje , wakiweka video tofaut na official music kwenye official accnt zao za YouTube , huku Tz ni fujo tupu , unakuta msanii anaoga bafuni anajirekodi anaweka kwenye accnt yake ya YouTube .....

Huyo Zuchu sasa ni hamna kitu , wimbo wa sukari mara dance video , mara audio , mara rylics , mara yupo studio,mara anachomwa sindano na madaktari , mara anatembea yaani haielwek .....ulaya hawafanyi huu ujinga , accnt ipo official Kwa ajili ya mziki ,social life zitapostiwa na accnt zingine na watu huko , ...

Nawaza labda ni njaa Kali hvyo wanategemea hzo view wapate angalau mkate wa kila sku but some how mtindo huo unapoteza consistency ya accnt regards ina subscriber wengi.....

Huu mtindo aliuanza Diamond lakn naona now kapunguza Ila vijana wake wameufakamia Kwa fujo ,sio rayvanny , hata harmonize naye unakuta anatembea kwenye hotel anajirekodi anaweka ....

Ifikie hatua wabadilike , au ndo kutaka kuvunja rekodi ya view wengi huku content nyingi ni utopolo mtupu.....
Kama naingiza pesa kwa kufanya hivyo basi mimi sioni tatizo, unataka afanye kama Card B wakati yeye ni Zuchu na anaishi bongo?
 
Ni kukosa ubunifu. At least hata wangeweka kwa mfumo wa reality show ingeleta maana fulani ila hizo content mahala pake ni insta stories
Hawana ubunifu hao ni hovyo tuu, Kwa hapa Ali kiba yupo smart ... Kwangu Mimi ni njaa Kali inawasumbua
 
ulaya ndio kwa kina Adelle !!!..
hao kweli hawana hayo mambo sana ila Marekani wapo active sana kwenye hizo issues maana ndio njia pekee inawafanya wasanii kujenga interest ya mashabiki kwao mbali na muziki, pia inawasaidia kujenga brand zao na kuongeza content kwenye platforms zao brother
Adele huwez kuta anafanya huo
Upuuzi , yeye ni official content Tu , video or some how audio , na still anagonga views billion kadhaa....
Huwez kuta Chris brown anafanya huo ukanjanja na still anascore vizur tuu...
Huko ni mbali hata Nigeria sdhan kama wanafanya huo utumbo ,....

Hapa bongo msanii ananunua mahindi tabata anatupia, hzo mambo watafanya mashabiki huko , bongo smartness ni hovyoo Sana ...
 
Adele huwez kuta anafanya huo
Upuuzi , yeye ni official content Tu , video or some how audio , na still anagonga views billion kadhaa....
Huwez kuta Chris brown anafanya huo ukanjanja na still anascore vizur tuu...
Huko ni mbali hata Nigeria sdhan kama wanafanya huo utumbo ,....

Hapa bongo msanii ananunua mahindi tabata anatupia, hzo mambo watafanya mashabiki huko , bongo smartness ni hovyoo Sana ...
Brother inategemeana na brand au image ambayo mtu anataka kuwa nayo lakini amini tu, mtu anaetoa maisha yake sana nje ni rahisi kuwa na ushawishi mkubwa kwa watu sababu ya relevance

Wasanii wengi wa namna hii, kwao kupata endorsement za makampuni ama biashara zao kufanikiwa ni kugusa tu. Huu uchawi anao diamond na anautumia vizuri kuipush WCB hasa kwa social media na hii imemuhakikishia kuishi good life mwaka mzima hata asipotoa wimbo. Its all about MONEY
 
Back
Top Bottom