Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,711
- 2,494
ww mshamba Kama washamba wengine tu, unayefikiri jambo kufanywa na wazungu linakuwa sahihi zaidiHujaelewa , kunywa mbege kwanza
ww mshamba Kama washamba wengine tu, unayefikiri jambo kufanywa na wazungu linakuwa sahihi zaidiHujaelewa , kunywa mbege kwanza
Umeuliza swali zuri akikujibu nitagKwani wakiweka video za matembezi washabiki wao wawaone wewe inakupunguzia nini?
Unawalipia bundle?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtoa mada kapigwa TKO
Usikute mwenzako anaposema Ulaya basi ndo anamaanisha kwa hao hao akina Ariana Grande!ulaya ndio kwa kina Adelle !!!..
hao kweli hawana hayo mambo sana ila Marekani wapo active sana kwenye hizo issues maana ndio njia pekee inawafanya wasanii kujenga interest ya mashabiki kwao mbali na muziki, pia inawasaidia kujenga brand zao na kuongeza content kwenye platforms zao brother
mtoa mada kapewa KO.Apigwe tu. Maana hamna jinsi.
Hapo kwenye kuku jogoo likiwa jeusi na mitetea ukiwa bado kifaranga lakin cheupe title inakuaHata wewe mleta mada unaweza ukakuta kuku wanapandana.ukawarekodi ukatupia kwenye you tube yako.
Watu wakaangalia.
Au ukakuta watoto wanacheza ukawarekodi ukatupia.wakiangalia sawaa wasipoangalia sawaa.
You tube ni Kama Instagram au Facebook n.k
Kama naingiza pesa kwa kufanya hivyo basi mimi sioni tatizo, unataka afanye kama Card B wakati yeye ni Zuchu na anaishi bongo?Hili Jambo linanishangaza Sana , sijaona wasanii wengine hasa wa nje , wakiweka video tofaut na official music kwenye official accnt zao za YouTube , huku Tz ni fujo tupu , unakuta msanii anaoga bafuni anajirekodi anaweka kwenye accnt yake ya YouTube .....
Huyo Zuchu sasa ni hamna kitu , wimbo wa sukari mara dance video , mara audio , mara rylics , mara yupo studio,mara anachomwa sindano na madaktari , mara anatembea yaani haielwek .....ulaya hawafanyi huu ujinga , accnt ipo official Kwa ajili ya mziki ,social life zitapostiwa na accnt zingine na watu huko , ...
Nawaza labda ni njaa Kali hvyo wanategemea hzo view wapate angalau mkate wa kila sku but some how mtindo huo unapoteza consistency ya accnt regards ina subscriber wengi.....
Huu mtindo aliuanza Diamond lakn naona now kapunguza Ila vijana wake wameufakamia Kwa fujo ,sio rayvanny , hata harmonize naye unakuta anatembea kwenye hotel anajirekodi anaweka ....
Ifikie hatua wabadilike , au ndo kutaka kuvunja rekodi ya view wengi huku content nyingi ni utopolo mtupu.....
Hawana ubunifu hao ni hovyo tuu, Kwa hapa Ali kiba yupo smart ... Kwangu Mimi ni njaa Kali inawasumbuaNi kukosa ubunifu. At least hata wangeweka kwa mfumo wa reality show ingeleta maana fulani ila hizo content mahala pake ni insta stories
Adele huwez kuta anafanya huoulaya ndio kwa kina Adelle !!!..
hao kweli hawana hayo mambo sana ila Marekani wapo active sana kwenye hizo issues maana ndio njia pekee inawafanya wasanii kujenga interest ya mashabiki kwao mbali na muziki, pia inawasaidia kujenga brand zao na kuongeza content kwenye platforms zao brother
Brother inategemeana na brand au image ambayo mtu anataka kuwa nayo lakini amini tu, mtu anaetoa maisha yake sana nje ni rahisi kuwa na ushawishi mkubwa kwa watu sababu ya relevanceAdele huwez kuta anafanya huo
Upuuzi , yeye ni official content Tu , video or some how audio , na still anagonga views billion kadhaa....
Huwez kuta Chris brown anafanya huo ukanjanja na still anascore vizur tuu...
Huko ni mbali hata Nigeria sdhan kama wanafanya huo utumbo ,....
Hapa bongo msanii ananunua mahindi tabata anatupia, hzo mambo watafanya mashabiki huko , bongo smartness ni hovyoo Sana ...