Njaa itawafanya CHADEMA washiriki Uchaguzi chini NEC hii

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
 
HAIHITAJI KURUNZI AU TUNGULI KUJUA CHADEMA WATASHIRIKI UCHAGUZI KWA TUME HII, ILISHATOKEA HUKO NYUMA

Chadema walisusia uchaguzi jimbo la Lazaro Nyalandu Singida kwa madai ya Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya

Wakaja kushiriki Uchaguzi ndogo wa Kinondoni Wakasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Sababu haukuwa na manufaa yoyote kwa mbowe na genge lake...wakaja kushiriki uchaguzi Mkuu ili kupata ruzuku na nafasi za viti maalumu ambavyo kina mdee walikuja kuviwahi. Nyakati zote hizo hapakuwa na Mabadiliko yoyote

Lipumba nae baada ya uchaguzi Mkuu akaitisha Press Conference akasema hawatashiriki uchaguzi wowote hadi Tume Huru ya Uchaguzi ipatikane lakin ghafla uchaguzi uliofuata ndani ya miezi miwili kule Pemba wameshiriki

CHA AJABU WANAMSAKAMA ZITTO KABWE KWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MDOGO MUHAMBWE NA BUHIGWE
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
Ukikosa cha kuandika fanya mengine... CHADEMA is there to stay!
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
Ulikuwa unamsifia sana Magufuli sasa Chama kimerudi kwa wenye CCM yao Mwendazake kawakimbia mmebaki yatima
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
Rubbish
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
Kuna mambo muhimu ya kujadili wewe kila ukiibuka ni kutafuta jambo la kuitaja Chadema tuu!
Leta hoja zako hapa kuhusu yanayoendelea ndani ya chama chako kipya ccm ambacho kimerudi kwa wenyewe kutoka kwa wapendao kulambwa makalio.
Hujawahi kutumia akili hata siku moja, huo ndio ukweli
 
Acha udikteta kamanda...
Kuna mambo muhimu ya kujadili wewe kila ukiibuka ni kutafuta jambo la kuitaja Chadema tuu!
Leta hoja zako hapa kuhusu yanayoendelea ndani ya chama chako kipya ccm ambacho kimerudi kwa wenyewe kutoka kwa wapendao kulambwa makalio.
Hujawahi kutumia akili hata siku moja, huo ndio ukweli
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
CHADEMA watashiriki uchaguzi chini ya NEC hii hii wala huhitaji rocket science kuliona hilo.
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
MATAGA mnahaha. Mliingizwa mkenge na Mwendazake kuwa atadumu milele, kaondoka, kawaacha yatima, hamna pa kushikilia. Mtaisoma namba
 
Ndugu zangu,

Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.

Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.

Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.

Muda utathibitisha
Mi naona CHADEMA wamedandia msimamo wa CUF bila kujipanga. Ukweli CHADEMA hawatadumu kwenye msimamo huu hasa ukizingatia ACT hawajasusa.
 
giphy (2).gif
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom