Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.
Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.
Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.
Muda utathibitisha
Sioni dalili ya Tume ya uchaguzi kubadilika kimfumo kama ambavyo wanashinikiza.
Ila niaiona njaa ikisababisha Mbowe na wenzie kutafuta kisingizio cha kujirudisha na kuhalalisha mbele ya makamanda kushiriki uchaguzi.Sioni "makamanda" wenye uwezo wa kuhoji Bali watasujudu na kuanza kumsifia mitandaoni.
Watatukana na kukejeli lakini ukweli ni kuwa watarudi kushiriki uchaguzi kwa sababu za njaa.
Muda utathibitisha