Deutch Welle-Swahili: Njaa Sengerema yasababisha familia kuhamia kwa mwenyekiti wa kijiji

Good People

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
945
1,817
Kwa Kutumia Simu yangu na Earphone mda huu naskiliza DW huku nikiingiza transaction za biashara katika mfumo wa Komputa.

Nawasihi msikilize hii redio habari zake ziko tofauti sana na Redio Uhuru ambayo hutangaza kwa kuogopa.

Pia Vituo vingine vimeshaingia woga baada ya Kupigwa Mkwara.

Reucherau
Nchini Tanzania, wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.

 
Nchini Tanzania,wakati viongozi wa serikali,wanasiasa na vyombo vya habari wakitafautiana juu ya uwepo ama kutokuwepo kwa tatizo la njaa katika baadhi ya maeneo nchini humo,wilayani Sengerema baadhi ya akina mama na watoto wamelazimika kuhamia nyumbani kwa mwenyekiti wa kijiji baada ya kukimbiwa na waume zao kutokana na ukosefu wa chakula wilayani humo.

 
Hivi hii redio si inasikika Dar es Salaam, na mkuu RC (kaimu) keshasema kutoa habari za njaa ni jinai!? Basi DW tuoneeni huruma maana wanaweza kusema pia kusikiliza habari za njaa ni jinai hivyo kutuponza nasi tuliosikiliza!
 
Hiyo DW inajulikana ndiyo "sauti" ya watu wenye misimamo inayokinzana na serikali ya Tanzania, sijui wana maslahi gani na nchi hii? Anaejua anijuze
 
Nimemsikia mama mmoja wa Sengerema akihojiwa na sauti ya Ujerumani kuhusiana na balaaa njaaa.Amedai anakaaa kwa siku nne bila kula watoto wanalia vibaya na wamelazimika kuhamishia familia zao kwa mwenyekiti wa kijiji baaada ya waume kuzikimbia familia zao.Daaah kama hali itaendelea hv itanibidi tu nihamie chato tukamalizie ujenzi wetu wa chato international airport.
 
Hivi hii redio si inasikika Dar es Salaam, na mkuu RC (kaimu) keshasema kutoa habari za njaa ni jinai!? Basi DW tuoneeni huruma maana wanaweza kusema pia kusikiliza habari za njaa ni jinai hivyo kutuponza nasi tuliosikiliza!
Hahaahaahaaa
 
Duuu nimewasikia hawa kinamama, inatia huruma sana.... Midume nayo haina huruma imewakimbia wake zao na watoto... Aisee Mungu uko wapi?
 
Si Earphone tuu Bali iPhone 7 Plus kama Unavyojua iPhone hazijawahi kua na redio naskiliza mtandaoni.
Sasa na ndio hapo tuu nakua najiuliza deily kwa nn wasiweke redio ya offline mpaka niingie online je ni kweli iphone anaufikia kabisa mziki wa window phone au kuna nini kilichowekwa na huyo gay wa iphone.
KWA MAONI YANGU MI NINAAMINI KABISA KUA MICROSOFT NDIO WANATOA SIMU BORA KWA SASA
 
Mkoani Mwanza wilaya ya Sengerema Kijjiji cha Isome Wanaichi wamehamishia familia zao kwa Mwenyekiti wa kijiji wakihofia familia zao kufa njaa taarifa inasema hali ni mbaya sana
Rais acha siasa RAIA wana kufa na bahati nzuri imeanzia kwa ndg zako

Source DW Radio
Matangazo ya mchana
 
Kijiji cha Isome sengerema wanaisoma sasa, sijui hicho kijiji nao walikuwa wapiga dili au nikauli za kukomoana!
Wababa mumefanya vema kukimbia familia zenu, maana mungesema wangesema hamtaki kufanyakazi, na uzuri hao wakezenu ndo waliomchagua m/kiti huyo na selikali hii ambayo aitambui njaa na ukosefu wa pesa.
 
Mkoani Mwanza wilaya ya Sengerema Kijjiji cha Isome Wanaichi wamehamishia familia zao kwa Mwenyekiti wa kijiji wakihofia familia zao kufa njaa taarifa inasema hali ni mbaya sana
Rais acha siasa RAIA wana kufa na bahati nzuri imeanzia kwa ndg zako

Source DW Radio
Matangazo ya mchana
Kwani Sengerema kuna Wanyonge? Wanyonge wako Chato bhana.
 
WhatsApp Image 2017-01-20 at 4.38.25 PM.jpeg
 
Hahahahaha kwani kuna njaa mzilakenda alishasema hakuna njaa wacha wakome halafu sengerema ndoo humchugua ngereja kila mwaka ndoo wahenye
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom