idrey
Senior Member
- Feb 23, 2015
- 153
- 83
That's tru hata mimi nipo south Africa lakini sioni wakuoa kabisaYaan unaishi majuu unakosa demu ,ndio maana kuna vichaa humu kumbe maisha ya nje ni wapweke sana
Wenye bahati zao mkuje muwe na kichura ee
That's tru hata mimi nipo south Africa lakini sioni wakuoa kabisaYaan unaishi majuu unakosa demu ,ndio maana kuna vichaa humu kumbe maisha ya nje ni wapweke sana
Wenye bahati zao mkuje muwe na kichura ee
Hahahahaha ndio maana mnakujaga kumalizia hasira jfThat's tru hata mimi nipo south Africa lakini sioni wakuoa kabisa
nashangaa eti au amuumbe wake nakumwekea vigezo kwa staili hii mke hutopata mwanamke hutoka kwa mwenyenzi MunguSasa kwanini usiwatafute hao kwenye picha uwapatue huu waraka?
Unajua kazi ya kubeba maboksi ya rahisiYaan unaishi majuu unakosa demu ,ndio maana kuna vichaa humu kumbe maisha ya nje ni wapweke sana
Wenye bahati zao mkuje muwe na kichura ee
Ile ishu ya projects na kuwa na investors from abroad iliishia wapi mkuu?Hello habari zenu
Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point
Kwa walio serious tu plz
Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30
Ninaishi Netherlands muda huu
Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin imekuwa ni ngumu kutokana na kwamba siishi huko, na mazingira ya ku interrupt yameishindikana,
Nina hitaji mke wa kuoa maana nikiyekuwa naye tumezinguana na nimeshapoteza muda wangu juu yake, na umri wangu nataka kuoa, I can't wait any more, natarajia kuoa mwakani mwezi wa 12,
Sifa na aina ya mwanamke nayemtaka
1.Awe Mkristo
2. Awe na umri 24+
3. Shule haina umuhim sana ila awe angalau amemaliza cheti na kuendelea
4. Awe natural niwaweke wazi sipendi wanawake wanaojichubua.chubua na kujifanya editing,
5. Hasiwe na mtoto kabisaa
6. Najua atakuwa na boyfriend lakin awe na uwezo wa kumsahau awapo na mimi,
7. Awe anaishi na ndugu zake , wanawake wengi wanaopanga wenyewe hasa maeneo ya sinza na kwingineko ni hatari mno, naongea kutokana na experience,
8. Awe na uwezo wa kuchanganua maisha na hali kulingana na muda,
9. Awe anatoka katika makabila yafuatayo
A.Muhaya
B. Msukuma
C. Mhangaza
D. Mnyarwanda
10. Awe na pass ya kusafiria au awe na vigezo vya kupata pass ya kusafiria,
11. Awe tiyari kupima afya na kizazi
12. Sitaki mfupi sana wala mwembamba mno au mnene sana yan awe saizi ya kati,
Mwonekano wake sample nazopenda
View attachment 754998 View attachment 754999 View attachment 755000 View attachment 755001 View attachment 755002