Niwe mkweli sasa nataka mchumba hapa hapa JF awe na pass ya kusafiria

Hivi single mothers tulikukosea nini? Unaonekana una hasira sana sisi. Fungua moyo wako na sisi ni binadamu na wanawake kama hao ambao hawana watoto.
Hebu leta ushahidi wa sehem niliyosema single mothers vibaya....au kuna sehem nilishakusema ww kuwa single mother ni tatizo?
 
Kimewakaa
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Hebu leta ushahidi wa sehem niliyosema single mothers vibaya....au kuna sehem nilishakusema ww kuwa single mother ni tatizo?
Sijasema mimi nimesema single mothers wanakukera nini. Ushahidi kutafuta muda unakaba ila huwa una issue na single mothers.
 
Hello habari zenu

Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point

Kwa walio serious tu plz

Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30
Ninaishi Netherlands muda huu
Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin imekuwa ni ngumu kutokana na kwamba siishi huko, na mazingira ya ku interrupt yameishindikana,
Nina hitaji mke wa kuoa maana nikiyekuwa naye tumezinguana na nimeshapoteza muda wangu juu yake, na umri wangu nataka kuoa, I can't wait any more, natarajia kuoa mwakani mwezi wa 12,

Sifa na aina ya mwanamke nayemtaka
1.Awe Mkristo
2. Awe na umri 24+
3. Shule haina umuhim sana ila awe angalau amemaliza cheti na kuendelea
4. Awe natural niwaweke wazi sipendi wanawake wanaojichubua.chubua na kujifanya editing,

5. Hasiwe na mtoto kabisaa
6. Najua atakuwa na boyfriend lakin awe na uwezo wa kumsahau awapo na mimi,

7. Awe anaishi na ndugu zake , wanawake wengi wanaopanga wenyewe hasa maeneo ya sinza na kwingineko ni hatari mno, naongea kutokana na experience,

8. Awe na uwezo wa kuchanganua maisha na hali kulingana na muda,

9. Awe anatoka katika makabila yafuatayo
A.Muhaya
B. Msukuma
C. Mhangaza
D. Mnyarwanda

10. Awe na pass ya kusafiria au awe na vigezo vya kupata pass ya kusafiria,

11. Awe tiyari kupima afya na kizazi

12. Sitaki mfupi sana wala mwembamba mno au mnene sana yan awe saizi ya kati,

Mwonekano wake sample nazopenda


View attachment 754998 View attachment 754999 View attachment 755000 View attachment 755001 View attachment 755002
Hauwezi ukawa serious kwa kweli
 
Hivi mbona wengi wanatafuta wake humu ina maana wengi ni yatima hawana hata wa kuwasaidia?
Nawaombea kila mmoja apate
 
Back
Top Bottom