Hivi single mothers tulikukosea nini? Unaonekana una hasira sana sisi. Fungua moyo wako na sisi ni binadamu na wanawake kama hao ambao hawana watoto.Umeamua kuwafungia vioo masingo maza
Hebu leta ushahidi wa sehem niliyosema single mothers vibaya....au kuna sehem nilishakusema ww kuwa single mother ni tatizo?Hivi single mothers tulikukosea nini? Unaonekana una hasira sana sisi. Fungua moyo wako na sisi ni binadamu na wanawake kama hao ambao hawana watoto.
Nini tena?? Leo kule kwa janaKimewakaa
somalia, ethiopia au kwa kagame...huku bongo wapo ila tayari maninja, anaweza kuja huko, we ukarudi ye akabaki.
Asikuumize kichwa huyoHivi single mothers tulikukosea nini? Unaonekana una hasira sana sisi. Fungua moyo wako na sisi ni binadamu na wanawake kama hao ambao hawana watoto.
Naandaa hapa ikikubali ntakujulisha...Nini tena?? Leo kule kwa jana
Sijasema mimi nimesema single mothers wanakukera nini. Ushahidi kutafuta muda unakaba ila huwa una issue na single mothers.Hebu leta ushahidi wa sehem niliyosema single mothers vibaya....au kuna sehem nilishakusema ww kuwa single mother ni tatizo?
. Kweli huo uninjasomalia, ethiopia au kwa kagame...huku bongo wapo ila tayari maninja, anaweza kuja huko, we ukarudi ye akabaki.
Issue gani si ndio uiseme hapa...wapi nmesema vibaya kuhusu single mothersSijasema mimi nimesema single mothers wanakukera nini. Ushahidi kutafuta muda unakaba ila huwa una issue na single mothers.
Inawezekana maisha anayoishi huko ni sawa na mpiga debe wa daladala tz!!!!Yaan unaishi majuu unakosa demu ,ndio maana kuna vichaa humu kumbe maisha ya nje ni wapweke sana
Wenye bahati zao mkuje muwe na kichura ee
Hauwezi ukawa serious kwa kweliHello habari zenu
Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point
Kwa walio serious tu plz
Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30
Ninaishi Netherlands muda huu
Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin imekuwa ni ngumu kutokana na kwamba siishi huko, na mazingira ya ku interrupt yameishindikana,
Nina hitaji mke wa kuoa maana nikiyekuwa naye tumezinguana na nimeshapoteza muda wangu juu yake, na umri wangu nataka kuoa, I can't wait any more, natarajia kuoa mwakani mwezi wa 12,
Sifa na aina ya mwanamke nayemtaka
1.Awe Mkristo
2. Awe na umri 24+
3. Shule haina umuhim sana ila awe angalau amemaliza cheti na kuendelea
4. Awe natural niwaweke wazi sipendi wanawake wanaojichubua.chubua na kujifanya editing,
5. Hasiwe na mtoto kabisaa
6. Najua atakuwa na boyfriend lakin awe na uwezo wa kumsahau awapo na mimi,
7. Awe anaishi na ndugu zake , wanawake wengi wanaopanga wenyewe hasa maeneo ya sinza na kwingineko ni hatari mno, naongea kutokana na experience,
8. Awe na uwezo wa kuchanganua maisha na hali kulingana na muda,
9. Awe anatoka katika makabila yafuatayo
A.Muhaya
B. Msukuma
C. Mhangaza
D. Mnyarwanda
10. Awe na pass ya kusafiria au awe na vigezo vya kupata pass ya kusafiria,
11. Awe tiyari kupima afya na kizazi
12. Sitaki mfupi sana wala mwembamba mno au mnene sana yan awe saizi ya kati,
Mwonekano wake sample nazopenda
View attachment 754998 View attachment 754999 View attachment 755000 View attachment 755001 View attachment 755002
wacha uongo tokea nimuache huyo dem pichani now anaranda randa tu mjini.Hawa wameolewa
OkyNaandaa hapa ikikubali ntakujulisha...