mangi jr JF-Expert Member Dec 21, 2013 290 238 Dec 31, 2013 #1 Tumebakiza saa chache kabla ya kumaliza mwaka! Naomba mniwie radhi kwa post yangu niliyoitoa jana wengi walikereka! Tusameheane tuanze mwaka vizuri.
Tumebakiza saa chache kabla ya kumaliza mwaka! Naomba mniwie radhi kwa post yangu niliyoitoa jana wengi walikereka! Tusameheane tuanze mwaka vizuri.
Daudi1 JF-Expert Member Dec 14, 2013 8,762 8,642 Dec 31, 2013 #2 Dah naona mimi hiyo post ilinipita aisee,ila pamoja sana
mangi jr JF-Expert Member Dec 21, 2013 290 238 Dec 31, 2013 Thread starter #5 Horseshoe Arch said: Unajua hii kitu? Click to expand... risasi hiyo.
mangi jr JF-Expert Member Dec 21, 2013 290 238 Dec 31, 2013 Thread starter #6 Daudi1 said: Dah naona mimi hiyo post ilinipita aisee,ila pamoja sana Click to expand... iliondolewa mapema waliochangia walikuwa wachache tu
Daudi1 said: Dah naona mimi hiyo post ilinipita aisee,ila pamoja sana Click to expand... iliondolewa mapema waliochangia walikuwa wachache tu
Kennedy JF-Expert Member Dec 28, 2011 49,008 54,289 Dec 31, 2013 #7 Horseshoe Arch said: Unajua hii kitu? Click to expand... 9 mm hiyo ni risasi ya glock/berreta
mangi jr JF-Expert Member Dec 21, 2013 290 238 Dec 31, 2013 Thread starter #8 Ha ha ha Nimekumbuka berreta! Kennedy said: 9 mm hiyo ni risasi ya glock/berreta Click to expand...
Daud omar JF-Expert Member Apr 4, 2011 2,458 977 Dec 31, 2013 #9 Mim sikuiona ila usijali mkuu salama usalmini