Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,929
- 7,268
Ndugu wana jamii forum. Leo niwape pongezi wale wote walioibuka washindi katika lile shindano la uandishi hapa jamii forum, na pongezi zingine pia kwa wale wote waliondika maandiko mbali.mbali yenye kuelezea changamoto, maoni, ubunifu, uongozi, nk.
1. Hongera kwako Abrianna jwa kuibuka mshindi kwenye shindano lile. Japo nimechelewa kuandika huu uzi ila nadhani hata sasa sio mbaya
2. Hongereni washindi wengine namba 2, 3 na wengine wooote.
Wa mwisho kabsa ni wale wote waliopiga kura zao kwenye nyuzi za washiriki nao tuwape hongera kwa kushiriki kwao katika upigaji kura na kutoa maoni yao kwenye machapisho yetu washiriki.
Nihitimishe kwa kuwapa hongera viongozi wa Jamii forum.kwa kuanzisha hili shindano ni mwanzo mzuri na liwe endelevu itasaidia watu kuibua mambo mbali mbali yanayotuzunguka kwenye jamii zetu yenye kuhitaji utatuzi .
1. Hongera kwako Abrianna jwa kuibuka mshindi kwenye shindano lile. Japo nimechelewa kuandika huu uzi ila nadhani hata sasa sio mbaya
2. Hongereni washindi wengine namba 2, 3 na wengine wooote.
Wa mwisho kabsa ni wale wote waliopiga kura zao kwenye nyuzi za washiriki nao tuwape hongera kwa kushiriki kwao katika upigaji kura na kutoa maoni yao kwenye machapisho yetu washiriki.
Nihitimishe kwa kuwapa hongera viongozi wa Jamii forum.kwa kuanzisha hili shindano ni mwanzo mzuri na liwe endelevu itasaidia watu kuibua mambo mbali mbali yanayotuzunguka kwenye jamii zetu yenye kuhitaji utatuzi .