Elections 2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,125
10,834
Mbali na kampeni za uchaguzi zinazoelekea ukingoni kutoa mielekeo ya nani anafaa zaidi kukabidhiwa uongozi wa nchi.Ufuatao ni uelewa wangu kuhusiana na wagombea watatu wa nafasi hizo.Hao ni Ibrahim Lipumba,Jakaya Kikwete na Wilbroad Slaa.
Mimi binafsi kwa nafasi hii namuamini zaidi Ibrahim Haruna Lipumba.Namuona ana elimu ya mambo ya kiuchumi ambalo ndilo tatizo sugu la watanzania.Ana uchangamfu wa kiuraisi na huzungumza kwa hekima.Wale wanaompinga si kutokana na kukosa sifa bali zaidi ni kutokana na chuki zao za kidini.
Pamoja na hivyo ikiwa umesalia muda mfupi kabla ya uchaguzi wenyewe,mpambano unaonekana upo zaidi kati ya Slaa na Kikwete.
Waislamu kwa kiwango kikubwa wanaonekana kumuunga mkono Kikwete,si kwamba wanamuona bora bali ili kumpinga Slaa ambaye wametoa takwimu nyingi kuonesha hisia zao dhidi yake.
Mbali na kuwa ana historia ya kupinga ajenda za waislamu bali anaonekana ni mtu muovu wa tabia hasa kutokana na kosa la kumnadi mke wa mtu kuwa ni mchumba wake.Wanahisi pindi akishika uraisi atakuwa ni mtu wa nuhsi moja baada ya nyengine.
Hisia hizo unaweza kuzipata wazi wazi kupitia redio kadhaa za kiislamu na magazeti yao hasa An-nuur na ALhuda.
Kutokana na kupigwa pande na kundi kubwa la wapiga kura na kampeni za kawaida za CCM, ni dhahiri kuwa dkt.Slaa hatoweza kupita katika uchaguzi huu hata.
 
Hivi hata kama nakuona unasinzia karibu na shimo siruhusiwi kukubwekea bandugu?
 
Ami hayo ni mawazo yako hupaswi kulaumiwa lakini tafakari yafuatayo: Prof. Lipumba anaangushwa sana na wafuasi wake wanapokuwa wakijitambulisha kwa udini. Anapohutubia utadhani ni swala ya Ijumaa kwa jinsi wafuasi wake wanavyoonekana. Pia nyaraka zinazoandikwa kuwahimiza wapiga kura wa dini yake zinazidi kuweka kando baadhi ya wapiga kura wa dini zingine. JK ametekwa na wenye pesa. Huwezi kusema anaangushwa na wasaidizi wake wakati wananchi tumemkabidhi rungu la kuwashughulikia anashindwa. Ni kiongozi dhaifu na kwa viwango vya Mwalimu Nyerere angetukanwa kuliko hata Mwinyi. Anapendeza kuwa ceremonial leader na siyo executive leader. Dr Slaa anawapiku kwa sababu ameonyesha uthubutu wake wa kutetea maslahi ya taifa bila woga. Ameonekana kutambua watanzania maskini wanahitaji nini nao wanamuunga mkono bila kujali udhaifu wake binafsi. Remember Bill Clinton's saga? Tafakari.
 
Kufikia hatua ya kuteuliwa kugombea uraisi si kipimo cha ubora wa mgombea.Mara nyingi hatua hiyo hufikiwa kutokana na kubebwa na vyama tu, ambavyo navyo si kipimo cha akili za wananchi bali matakwa ya kimfumo unaotawala ulimwengu kwa sasa.
Mbali na kampeni za uchaguzi zinazoelekea ukingoni kutoa mielekeo ya nani anafaa zaidi kukabidhiwa uongozi wa nchi.Ufuatao ni uelewa wangu kuhusiana na wagombea watatu wa nafasi hizo.Hao ni Ibrahim Lipumba,Jakaya Kikwete na Wilbroad Slaa.
Mimi binafsi kwa nafasi hii namuamini zaidi Ibrahim Haruna Lipumba.Namuona ana elimu ya mambo ya kiuchumi ambalo ndilo tatizo sugu la watanzania.Ana uchangamfu wa kiuraisi na huzungumza kwa hekima.Wale wanaompinga si kutokana na kukosa sifa bali sababu nyengine ambazo ikibidi nitazitaja baadae.
Jakaya Mrisho Kikwete ni mkweli katika utekelezaji wa ahadi zake.Hata hivyo amezungukwa na wajanja wengi wa hapa ndani ya nchi na wale wa nje ambao mara nyingi huwa wanaingilia maslahi ya watanzania na hata kumzonga ili asitekeleze baadhi ya ahadi ambazo ziko ndani ya uwezo wake.
Wilbroad Slaa.Nitakayoyasema juu yake hapa, najuwa si pahala muafaka.Lakini ukweli wa moyoni mwangu unanifanya nisiwe na chaguo jengine isipokuwa nimueleze kama nimuonavyo.CHADEMA kwa makusudi au kwa bahati mbaya wametuletea chagua ambalo lisingepaswa kuwa hivyo kwa wakati huu.Hana sifa za kuwa raisi.Fani ya eleimu yake hachaguliki kwa kundi kubwa la wapiga kura.Si muadilifu kwa nafsi yake na hawaheshimu watu wanaomzunguka.Ni mpayukaji.
Katika siasa kuna kudanganya huku kwa undani mtu anafanya vyengine kama alivyofanikiwa raisi wa mwanzo wa Tanzania;Julius Nyerere.Hilo ni gumu kufanikiwa kwa dkt Slaa.Zaidi ya ubunge aliokwishakuupata hastahiki kupata cheo cha juu na hata kurudia huo ubunge.
Chaguo linabaki kwa wagombea wawili,yaani Kikwete na Lipumba.Ili kuzuia hatari ya kushinda kwa dkt Slaa ambaye hana elimu wala sifa,nawashauri wapiga kura waangalie nani kati ya hawa wawili anafaa zaidi kupewa kura.
Ningekuwa nakufahamu wewe Ami wewe, ningekufata popote pale ulipo nikakuwasha vibao ili akili yako iamke maana naona bado uko kwenye usingizi mzito. Usipayuke payuke kuhusu mambo usiyo yafahamu, nitakuita chai jaba. HATUDANGANYIKI
 
Kama umechoka bora ukalale. Utumwa wa namna hii ni fedheha. Unaweza ukauza hata baadhi ya viungo vyako ili mradi upate mlo kama wafanyavyo baadhi ya dada zetu.

Nakushauri uachane na fedheha ya utumwa wa namna hii.
 
Ami hayo ni mawazo yako hupaswi kulaumiwa lakini tafakari yafuatayo: Prof. Lipumba anaangushwa sana na wafuasi wake wanapokuwa wakijitambulisha kwa udini. Anapohutubia utadhani ni swala ya Ijumaa kwa jinsi wafuasi wake wanavyoonekana. Pia nyaraka zinazoandikwa kuwahimiza wapiga kura wa dini yake zinazidi kuweka kando baadhi ya wapiga kura wa dini zingine. JK ametekwa na wenye pesa. Huwezi kusema anaangushwa na wasaidizi wake wakati wananchi tumemkabidhi rungu la kuwashughulikia anashindwa. Ni kiongozi dhaifu na kwa viwango vya Mwalimu Nyerere angetukanwa kuliko hata Mwinyi. Anapendeza kuwa ceremonial leader na siyo executive leader. Dr Slaa anawapiku kwa sababu ameonyesha uthubutu wake wa kutetea maslahi ya taifa bila woga. Ameonekana kutambua watanzania maskini wanahitaji nini nao wanamuunga mkono bila kujali udhaifu wake binafsi. Remember Bill Clinton's saga? Tafakari.
Mkomwanga achana na utetezi wako wa Dkt Slaa kwa kutaja visa vya Bill Clinton na Jacob Zuma.Watanzania tulio wengi utamaduni wetu ni tofauti na wa kwao.
Kipi kimekujulisha sifa hizo za Slaa,ilhali hali ndani ya chama chake inamshinda.
 
Ningekuwa nakufahamu wewe Ami wewe, ningekufata popote pale ulipo nikakuwasha vibao ili akili yako iamke maana naona bado uko kwenye usingizi mzito. Usipayuke payuke kuhusu mambo usiyo yafahamu, nitakuita chai jaba. HATUDANGANYIKI

Mtoka mbali makeke yako ndio sifa za chama chako.Hamtufai.Tukiwapa nchi tutakuwa tukichapana chapana bila mwisho.
 
Mtoka mbali makeke yako ndio sifa za chama chako.Hamtufai.Tukiwapa nchi tutakuwa tukichapana chapana bila mwisho.

Mie niko kwenye tourism industry na sifa moja ambayo hufahamika kwa kila mgeni anayekuja hapa nchini ni ustaarabu wa watz. Kama ustaarabu ni nature yetu sitegemei kwamba sisi wastaarabu tutaanza kuchapana chapana bila sababu. Chadema ni chama cha watu waaminifu na waadirifu.
Chagua CHADEMA chagua Dr. Slaa.
 
Ami bahati mbaya hupendi kujenga na kujibu hoja. KInachowaangusha Lipumba na Kikwete umeviona? Slaa atatinga ikulu kama hamtaki kukosolewa na kufanyia kazi changamoto mnazopewa. Kikwete anafaa kufungua matamasha, kuweka mawe ya msingi, kuzima mwenge, taja inaugurations zozote. Hawezi kumaintain discipline ndani ya serikali yake. How can he summon Lowasa, Chenge, Mramba, Rostam, Manji, Dewji, ...? But Slaa can. You remember the list of shame? God Bless this Nyerere's REPLICA!
 
siwezi kupoteza muda wangu kumjibu au kumshauri Ami. kufanya hivyo ni sawa na kumkimbiza kichaa aliekuibia taulo wakati unaoga.mwisho wa siku watu hawataona tofauti kati yako na kichaa
 
Nashukuru ndugu yangu lakini mie naona JK badi anastahili hiyo nafasi ya Urais,Lipumba sawa ni msomi mzuri lakin katika usomi wake huo umekua hauna manufaa kwa Taifa letu,niulize kwa nini??Alishawahi kuwa mshauri wa Mstaafu Rais alhaji Ali Hassan Mwinyi lakin alishindwa kulipelekea Taifa hili kuyumba kiuchumi na akaondolewa,si hayo tu pia alichukuliwa kuwa mshauri wa Rais Y.MUSEVEN Kama mshauri wake lakini pia huko jitihada zake hazikufikia kiwango akarudi nchini....Hivyo basi mi naona JK bado anatufaa sana
 
Back
Top Bottom