Niwaeleze tu viongozi wa Chadema, muda wa kuwa "crying babies" umeshapitwa na wakati. Nilazima mtu asimame ajiulize!

Anza kumuua Mama yako mzazi wewe Tapeli mkuu mleta thread

No changes without blood shed!
kama huamini chunguza nchi zote zilizokuzunguka!!lasivyo uamue kuishi na matatizo yako bila struggling!

Hapa tatizo sio CHADEMA tatizo ni sisi tumekubali kuchezewa!!!
 
Muda wa kulialia kitoto umeshapitwa na wakati. Mnaowalilia wala hata hawana muda wa kuwasikiliza. Ni lazima kujitafakari tena kujitafakari kiume kweli.

Hakuna nchi yoyote ile iliyopokea mabadiliko ya kimfumo kwa wapinzani kulialia. Nchi zote zilizobadilika wapinzani walisimama kiume wakaingia wakapambana kweli. Hata kina Mandela walifungwa siyo kwa kulialia! Bali kutokana na kusimama kiume!

Haiwezekani leo wasimamizi wote wa uchaguzi wa vyama vingi wakawa ni mashabiki wachafu wa chama tawala kisha tukategemea kitu. Lazima tuwafanye wao wenyewe wasithubutu kuthubutu kuleta watu wa aina hiyo.

Ili mabadiliko ya kweli yatokee ni lazima wapinzani wawafanye watawala wasimame kutoka kwenye viti, washike kiuno na kujitathimini tena kwa kulazimishwa kiume!

Viongozi wanauawa, wananchi wanauawa, viongozi wanapigwa risasi nyie bado mnalialia? Mnaendelea kulialia huku wao wanaangusha mmoja baada ya mwingine kiulaini! Ifikie mahala iwe ni "Tuangushane" Wakishaona hivyo kamwe hawatathubutu tena kufanya hivyo! Hawatafanya hivyo siyo kwa sababu ya nyie kulialia? Ni kwasababu wanajua kuwa wakiangusha na wao wanaangushwa! Hatuwezi kama nchi kufikia hatua hii na bado tukajiita sisi ni nchi ya tabaka moja. Hii nchi ilishagawanywa kisiasa lazima ibadilishwe!
Watanzania wenyewe Wa kupigania wako wapi? Niambie ni wangapi wataendelea kusonga mbele baada ya mbowe kupigwa risasi au kufungwa jela? Tundu amepigwa lisasi akitekeleza wajibu wake Wa kuipigania nchi yake,wafia chama wakampachika cheo cha usaliti na kutumika,nani amesimama kumtetea Lissu? Nani amesimama kupinga alichofanyiwa lissu
 
Chadema ni machizi wa siasa na mjipange 2020 hakuna lema, nasari, mdee waka lissu watu wanataka maendeleo sio drama za kitoto mnazitengeneza..

Its enough
I like Tanzania and Tanzanian. Acha turudi kwenye mfumo Wa chama kimoja tuone hayo maendeleo.pia naamini majimbo yaliyoongozwa na ccm toka Uhuru hasa kwenye mikoa ya morogoro,Dodoma,singida,Pwani mtwara na Lindi inamaendeleo sana
 
Muda wa kulialia kitoto umeshapitwa na wakati. Mnaowalilia wala hata hawana muda wa kuwasikiliza. Ni lazima kujitafakari tena kujitafakari kiume kweli.

Hakuna nchi yoyote ile iliyopokea mabadiliko ya kimfumo kwa wapinzani kulialia. Nchi zote zilizobadilika wapinzani walisimama kiume wakaingia wakapambana kweli. Hata kina Mandela walifungwa siyo kwa kulialia! Bali kutokana na kusimama kiume!

Haiwezekani leo wasimamizi wote wa uchaguzi wa vyama vingi wakawa ni mashabiki wachafu wa chama tawala kisha tukategemea kitu. Lazima tuwafanye wao wenyewe wasithubutu kuthubutu kuleta watu wa aina hiyo.

Ili mabadiliko ya kweli yatokee ni lazima wapinzani wawafanye watawala wasimame kutoka kwenye viti, washike kiuno na kujitathimini tena kwa kulazimishwa kiume!

Viongozi wanauawa, wananchi wanauawa, viongozi wanapigwa risasi nyie bado mnalialia? Mnaendelea kulialia huku wao wanaangusha mmoja baada ya mwingine kiulaini! Ifikie mahala iwe ni "Tuangushane" Wakishaona hivyo kamwe hawatathubutu tena kufanya hivyo! Hawatafanya hivyo siyo kwa sababu ya nyie kulialia? Ni kwasababu wanajua kuwa wakiangusha na wao wanaangushwa! Hatuwezi kama nchi kufikia hatua hii na bado tukajiita sisi ni nchi ya tabaka moja. Hii nchi ilishagawanywa kisiasa lazima ibadilishwe!
Uchaguzi wa 2015 walikua ni vyama gani mpaka wakafanya mpate wabunge 100 ?
 
Viongozi wa sasa wa CHADEMA hawako tayari kujitoa kwa ajili ya Tanzania mpya. Wameshindwa kuonyesha uongozi. Ni vizuri wakajiuzuru. Kipindi kama hiki ndio cha kulianzisha wakati bado la moto lakini akina Mbowe wamejificha. Sijawahi kuona akina Odinga kule Kenya wakijificha wakati ambapo uongozi wao unapohitajika. Sijui huyo Lowassa yupo hapo CHADEMA kufanya nini na kwa manufaa ya nani. Hata pale sababu ya kumfukuza inapotokea bado anakumbatiwa. Haya endeleeni kutoa matamko tuone kama yatambadilisha Magufuli.
 
Maadui wa Taifa hili bado ni wale wale, UJINGA, UMASKINI NA MARADHI. Inawezekana ujinga bado unaoongoza!
 
Naunga mkono hoja wakiua mmoja nyie mnaua wawili yaani wakiangusha mwanachama na nyie mnaangusha mwanachama wakiangusha kiongozi nyie mnaangusha kiongozi wao kimya kimya hadi waseme poo.


Mauaji hayaja wahi kuwa suluhisho la chochote. Dhambi haiwezi kuwa tiba ya dhambi.
 
Back
Top Bottom