Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Unaweza fikira didi vipi anatakak umwaga radhi hapana jamani nimesikia uchungu hapa nasikia
clouds mama anne lea nkya anawaambia ma polisi niwavulie nguo nivue hamna adabu unanikamata
nimeiba unataka kunishika wapi nishike basi nishike una lanaa nyie mnaacha kukamata wezi mafisadi
umetumwa eeehhhhhhhhhhhh nivue sema nikuvulie uone ....polisi mmoja akamwambia mwenzake unasikia kabisa
akufai uko m wache aisee mwache kabisa......
Je tumefika hivyo hapo alikuwa muhimbili najiuliza tutafika kweli kwa style hiijamani..kama mnaweza kumzalilisha mama kama huyu
ndio maana mnalaaniwa mitototo yenuuuuuuuuuuu inaishiaaaaaa na ma div 4 ya kupewa mungu angewagonga 0 tu hamna adabu kabisa hii nchi
clouds mama anne lea nkya anawaambia ma polisi niwavulie nguo nivue hamna adabu unanikamata
nimeiba unataka kunishika wapi nishike basi nishike una lanaa nyie mnaacha kukamata wezi mafisadi
umetumwa eeehhhhhhhhhhhh nivue sema nikuvulie uone ....polisi mmoja akamwambia mwenzake unasikia kabisa
akufai uko m wache aisee mwache kabisa......
Je tumefika hivyo hapo alikuwa muhimbili najiuliza tutafika kweli kwa style hiijamani..kama mnaweza kumzalilisha mama kama huyu
ndio maana mnalaaniwa mitototo yenuuuuuuuuuuu inaishiaaaaaa na ma div 4 ya kupewa mungu angewagonga 0 tu hamna adabu kabisa hii nchi