Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
huyu Mr angekuja kutoa ufafanuzi wa kauli yake hii...
" By Mwigulu LM Nchemba: Rais Bush kuwa Rais wa
Tanzania kuliko chadema
kushinda arumeru. Hata bila
utafifi hivi barcelona ikicheza
na meru united mechi ya
mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama "
Nawasilisha.
" By Mwigulu LM Nchemba: Rais Bush kuwa Rais wa
Tanzania kuliko chadema
kushinda arumeru. Hata bila
utafifi hivi barcelona ikicheza
na meru united mechi ya
mtoano hata kama refa ni mmeru barca itashinda tu. Ni ratiba tu na formality lakini Ushindi wa CCM uko given kama jua kuzama "
Nawasilisha.