Young Ezzo
New Member
- Nov 11, 2018
- 2
- 6
Eti ni kitu gani ukimfanyia mpenz wako akuachi mpaka kifoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna chochote cha kumfanya mpaka Asikuache kama aliamua kumuacha mama yake aliyomzaa na kuja kukaa na wewe,Wewe ni nani mpaka Asikuache?Eti ni kitu gani ukimfanyia mpenz wako akuachi mpaka kifoo
Duuu kwaiyo sku yyte natemwa
Hilo liko wazi we tafuta pesa tu mkuuDuuu kwaiyo sku yyte natemwa
Vipi ulishapona maumiv ya kuachwa?Usijidanganye mkuu, binadamu haridhiki kwa chochote utajisumbua bure na bado atakuacha tu!
Hayajapoa, vipi unataka uje kuyapoza?Vipi ulishapona maumiv ya kuachwa?
Hahahahahaha nimeelewaaaaHakuna chochote cha kumfanya mpaka Asikuache kama aliamua kumuacha mama yake aliyomzaa na kuja kukaa na wewe,Wewe ni nani mpaka Asikuache?
Pochi.Eti ni kitu gani ukimfanyia mpenz wako akuachi mpaka kifoo
Samahani kwa kutoka nje ya mada, vipi ulisharudi bongo!?Pochi.
Mh,hapana kwa kweli,mwenzangu kalikimbia tatizo,halafu mimi ndo nilikimbilie?Hayajapoa, vipi unataka uje kuyapoza?
Awe priority kwako that's all.
Pochi mbwembwe tu.Pochi.