NIUZIE AU NIKODISHIE CHAINSAW

jimmyfoxxgongo

JF-Expert Member
Jan 23, 2013
5,352
9,286
Wanajamvi kwema?

Katika harakati zangu za kupambana na maisha nimejichanga changa sana mpaka nimepata vijisenti vya kununua shamba mkoani.

Shamba nililonunua linahitaji usafi wa hali ya juu kabla ya kujikita kwenye kilimo rasmi.

Nahitaji chainsaw kwa ajili ya kukatia ile miti mikubwa mikubwa nahisi hii itarahisisha sana na kupunguza gharama pia.

Sasa kwa mwenye na hii kitu awe anaitumia au haitumii tunaweza kuongea napendelea zaidi kukodisha ila pia ikipatikana used ya kununua sio mbaya

Kingine najua kama zipo madukani ila kwa ugumu huu wa maisha usinishauri hilo
 
Hatua nzuri sana mkuu, ulizia wenyeji waliopo karibu watakusaidia zaidi na kwa ufasaha
 
Wanajamvi kwema?

Katika harakati zangu za kupambana na maisha nimejichanga changa sana mpaka nimepata vijisenti vya kununua shamba mkoani.

Shamba nililonunua linahitaji usafi wa hali ya juu kabla ya kujikita kwenye kilimo rasmi.

Nahitaji chainsaw kwa ajili ya kukatia ile miti mikubwa mikubwa nahisi hii itarahisisha sana na kupunguza gharama pia.

Sasa kwa mwenye na hii kitu awe anaitumia au haitumii tunaweza kuongea napendelea zaidi kukodisha ila pia ikipatikana used ya kununua sio mbaya

Kingine najua kama zipo madukani ila kwa ugumu huu wa maisha usinishauri hilo
Una 1mil nikuuzie chainsaw. Imetumika kidogo.
 
Hatua nzuri sana mkuu, ulizia wenyeji waliopo karibu watakusaidia zaidi na kwa ufasaha
mkuu kwa maeneo ya kule mkoani lilipo shamba ni ngumu sana kupata kwani bado pako local wanasafisha kwa mikono

sas kwa hesabu za haraka haraka hekta 50 kwa mikono ni shughuli pevu na gharama inakuwa juu pia
 
Wanajamvi kwema?

Katika harakati zangu za kupambana na maisha nimejichanga changa sana mpaka nimepata vijisenti vya kununua shamba mkoani.

Shamba nililonunua linahitaji usafi wa hali ya juu kabla ya kujikita kwenye kilimo rasmi.

Nahitaji chainsaw kwa ajili ya kukatia ile miti mikubwa mikubwa nahisi hii itarahisisha sana na kupunguza gharama pia.

Sasa kwa mwenye na hii kitu awe anaitumia au haitumii tunaweza kuongea napendelea zaidi kukodisha ila pia ikipatikana used ya kununua sio mbaya

Kingine najua kama zipo madukani ila kwa ugumu huu wa maisha usinishauri hilo
Nichek tukubaliane nikupatie yangu ukafanye kazi
0683 77 55 66
 
Mungu wangu, na hali hii bado kuna Watu mnafikiria kukata tena miti.

Sio kwamba hii iliyopo itunusuru na tujitahidi kupanda mingine?
 
Mungu wangu, na hali hii bado kuna Watu mnafikiria kukata tena miti.

Sio kwamba hii iliyopo itunusuru na tujitahidi kupanda mingine?
Endelea hivyo hivyo mkuu utatunukiwa tuzo ya nobel ya mazingira,

Next time usimhusishe Mungu kwenye mawazo kama hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom