Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwendo huu wa matusi nani atakuweka Kama mke.tayari Huna amani.Tubu.unatukana ovyo.Wewe umejitayarisha na yako??????? Au unabwabwaja tu hapa mxeeeeeeeeew.
Kwa mwendo huu wa matusi nani atakuweka Kama mke.alafu wanawake bwana,unatolewa kafara halafu unasema unapendwa,tubu tubu tubu.Wewe umejitayarisha na yako??????? Au unabwabwaja tu hapa mxeeeeeeeeew.
Kafara Hilo,unatolewa eti unajisifu umelala kitanda cha mke wake.we haya.Aliyedhalilishwa ni muhusika, no sijajisifu na wala sioni fahari wala aibu, upendo unaendana na heshima huwezi sema unapendwa wakati hueshimiwi tafakari.
Kwa mwendo huu wa matusi nani atakuweka Kama mke.alafu wanawake bwana,unatolewa kafara halafu unasema unapendwa,tubu tubu tubu.
ona sasa unavyotapatapa unakuja kuomba ushauri wa kijinga ,kama wewe mwanamke wa heshima ungekuwa umetulia kwenye nyumba yako .huna amani dhambi lazima ikutese mpaka umrudie mungu,unafikiri mungu anapenda uasherati na uzinzi unaofanya ,hapana hata unitukane mpaka mwisho wa dunia hutakaa upate amani hata siku moja mpaka uache dhambi.umevurugwa si bure, umekurupushwa ulikokuwa umekuja kuhemea hapa, aliyekwambia nataka ndoa nani au wapi umeona pameandikwa nataka kuolewa?????
Stress zako peleka huko, next time usikurupuke kama umefumaniwa.
Mimi wala sikurembi wala sikutetei unajua Kabisa unalofanya ni ushetani mkubwa ila unataka tukuone wewe in cake ,Kwangu mimi ni the Big No.hata Kama ungekuwa mdogo wangu.wewe ni mtu mzima na unajitambua unless otherwise,ACHANA NA MUME WA MTU.Mwaka na miezi kazaa tangu nimjue sasa, nakumbuka kuna tatizo lilitokea ikabidi nimuone yeye ofisini kwao, ndo ukawa mwanzo wa penzi letu kuchipua.
Aliniweka wazi kwamba ana mchumba, ila yuko nje ya mji haikuwa shida sababu nilikuwa na stress zangu za mapenzi niliona nimepata pakuzitolea labda nitamsahau yule aliyekuwa mpenzi wangu, kwa takribani miaka minne sasa nitamsahau na kupata pakuanzia.
Ingawa sikuwa single kwa wakati huo, kuna mtu ambaye nilikuwa naye kwa muda mrefu, alinizidi umri sana na ni mume wa mtu, nilihitaji mtu wakuwa naye huru na kwakuwa huyu mchumba wake alikuwa mbali na mie moyo wa kupenda ulikufa sikuona shida kusogeza muda naye.
Kadiri siku zilivyosonga niliona mwenzangu anazidi kukolea, ikabidi nikate mawasiliano, mana ilifika kipindi anajutia kuwa kwenye commitment.Ni mwezi sasa na siku kazaa tangu aoe, bado ananiganda anataka tuendelee na mahusiano, binafsi siko tayari kuendelea naye nishatumia njia zote kumkatisha tamaa bado kang'ang'ana.
Tafadhari wale wakurusha mawe pita mbali, hapa ni ushauri jinsi ya kunusuru ndoa ya watu idumu tu.
Ukweli Unauma.Umevurugwa si bure, umekurupushwa ulikokuwa umekuja kuhemea hapa, aliyekwambia nataka ndoa nani au wapi umeona pameandikwa nataka kuolewa?????
Stress zako peleka huko, next time usikurupuke Kama umefumaniwa.
Mimi wala sikurembi wala sikutetei unajua Kabisa unalofanya ni ushetani mkubwa ila unataka tukuone wewe in cake ,Kwangu mimi ni the Big No.hata Kama ungekuwa mdogo wangu.wewe ni mtu mzima na unajitambua unless otherwise,ACHANA NA MUME WA MTU.
ona sasa unavyotapatapa unakuja kuomba ushauri wa kijinga ,kama wewe mwanamke wa heshima ungekuwa umetulia kwenye nyumba yako .huna amani dhambi lazima ikutese mpaka umrudie mungu,unafikiri mungu anapenda uasherati na uzinzi unaofanya ,hapana hata unitukane mpaka mwisho wa dunia hutakaa upate amani hata siku moja mpaka uache dhambi.
Sina hata wadogo wa kike.utasumbuka sana na kutapatapa MUME WA MTU SIO MCHEZO,MKEWE ANA MAMLAKA NA AKIKUSEMEA NENO MOJA TU LATOSHA.OHHH HAHAAAAA.WAACHE WALALE WENZIO KHAAAA.Kajambeee huko, dhambi zako zimekushinda zawrngine zinakutoa povu. Wale ndugu zako wasioolewa wameishia kuzalishwa nyumbani huwaoni ama?????
Embu nitolee giza mtoto mdogo mie hata hiyo 25 naisikia kwa wengine, Tengeneza ww urafiki na Mungu kama unaweza mwisho wa siku kila mtu na msalaba wake, hunijui sikujui huna ushauri pita mbali usinimwagie povu lako hapa.
Generalization is WRONG. Hata kama wewe na jamaa zako wote unaowajua wana michepuko bado haina maana kwamba WANAUME wote wana michepuko.
ana mtu mwingine wa umri wake..but huyo jamaa aliyeoa yupo matured anajua namna ya kucheza na moyo wa binti mdogo ka yeye..hapo ndo shida inapokuja...hapo mpaka jamaa aamue
nakuelewa sana angelita..........
Hayo yote nimefanya, nilikata mawasiliano kabisa Jamaa aninifata hadi kazini nyumbani, kifupi yamenifika shingoni navozidi kuwa mkali ndio Kama nampa nguvu mpya.