bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Wakuu,
Kutokana na kufurika kwa soko la ndani la kitunguu kwa msimu huu,nimegundua hakuna namna zaidi ya kupeleka nje ya nchi.
Kampala inasemekana wana bei nzuri ila tatizo sijui lolote hapo sokoni.Mtu mwenye uzoefu au unamjua mwenye uzoefu naomba tuwasiliane.Mzigo uko Arusha unategemea kutoka mid December, gunia 100+
Shukrani.
Kutokana na kufurika kwa soko la ndani la kitunguu kwa msimu huu,nimegundua hakuna namna zaidi ya kupeleka nje ya nchi.
Kampala inasemekana wana bei nzuri ila tatizo sijui lolote hapo sokoni.Mtu mwenye uzoefu au unamjua mwenye uzoefu naomba tuwasiliane.Mzigo uko Arusha unategemea kutoka mid December, gunia 100+
Shukrani.