BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
Tanesco muche kukata kata umeme hovyo..
Hasa tabia mliyoianza toka jumapili hii
Ni hilo tu
Bye
Hasa tabia mliyoianza toka jumapili hii
Ni hilo tu
Bye
Hilo Haliusiani Na mradiTanesco muche kukata kata umeme hovyo..
Hasa tabia mliyoianza toka jumapili hii
Ni hilo tu
Bye
Shungubweni ni nchi gani?Umeme utafika lini Shungubweni?
Sasa huu mdogo umewashinda huo wa viwandani mtauwezea wapi??Hilo Haliusiani Na mradi
Izo ni Bugjet Mbili tofautSasa huu mdogo umewashinda huo wa viwandani mtauwezea wapi??
Inakuwaje mtu anapoomba umeme akitaka kwa njia za panya anapewa ndani ya siku 30 lkn akifata haki atasubiri hata miezi 6 na ameshafanya malipo ,mnasema nguzo hamna ila kama ukitoa laki 7 utapata umeme ndani ya siku 30 hizo nguzo zinatoka wapi za kulipia laki 7 ufungiwe haraka?
Sent using Jamii Forums mobile app