Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
- Thread starter
- #41
Sawasawa kabisaPelvis inflammation disease
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawasawa kabisaPelvis inflammation disease
Amewahi kufanya kipimo kinaitwa cystoscopy?kuna ndugu yetu mmoja yeye amekuwa analalamikia kuwa anasikia maumivu ya kiuno mpaka mgongon juu na sasa kifua upande wa kushoto. na amekuwa anakojoa uchafu na kusikia maumivu kwenye kibofu. sasa tulishampeleka hospitalin sana kule wanadai anainfaction tu wanampa dawa za antibiotic bas anameza inapoa na kurud hiyo hali. hebu tushaur ashafanya vipimo vyote hakuna kitu zaid ya kuambiwa ana antibiotic
Kuna kasi kubwa ya magonjwa hayo kuwa resistant na madawa mengi. Inawezekana hii ni sababumkuu u.t.i/gono zitatuua naona siku izi zimekuja kwa kasi mpya naomba kuuliza zimetoka wapi. ni usafi umekuwa hafifu ama?
hapana chiefAmewahi kufanya kipimo kinaitwa cystoscopy?
Nakushauri atafute hospital wanakofanya hicho kipimohapana chief
Mkuu kwa hiyo case ya kwanza
1.unatumia sabuni ya aina moja kwenye kuoga au tofauti tofauti kama ni moja jaribu kubadili sabuni
2.kwamimi hiyo nahisi itakuwa ni ALLERGY jaribu kutumia CITRIZEN kidonge kimoja kwa siku tumia kwa siku 5 hadi 7
Kwa hiyo case ya pili
1.unampenzi mmoja au zaidi ya mmoja au mke
2.umewahi kupima GONORRHEA kama ndio je majibu yalikuwaje?
3.kama bado hujapima nenda hospitali haraka ukapime wewe na mwenzako
¤ Sabuni nilishabadili vya kutosha ila tatzo lipo pale pale.
¤ Nilikuwaga na wapenzi wawili ila baada ya hitilafu hii kutokea nilitemana nao wote,na nina miez 9 sijawa na mpenzi!
¤ GONORRHEA nilishapima mara mbili hawakuona chochote wakasema kuwa ni mchafuko wa mkojo tu !
Huwa zinafanyaje mkuukomaa siku 30 ziishe, hayo mawenge ni siku 5 za mwanzo tu.
Ndio maana wanameza na maji mob..
huenda ulisimamisha, na hii hupelekea manii kujaa kwenye njia ya mkojo, hivyo ukienda kukojoa zinatokaMkuu leo nimeona hali fulani sijaielewa kabisa,
Iko hivi asubuhi wakati nakojoa nimekojoa mkojo wa kawaida kabisa ile inafika mwsho umetoka mkojo fulani sijauelewa kwakwi ni kama chai ya maziwa. Sina maumivu yoyote hii hali iliwahi kunitokea huko nyuma nikienda kukojoa tena sioni.
Nimewaza sana labda UTI ila sasa sina maumivu wala dalili nyingine ya uti na sijafanya sex six months. Huwa inatokea sijaelewa shida nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba unisaidie kwa haya machache;-
¤ Kila ninapo maliza kuoga huwa nawashwa mwili mzima, hiyo hali waga inachukuwa kama dakk 10 had 15, inaisha wakati mwingine hutokea na hali ya chafya kwa huo muda.
¤ Na ninatatizo katika sehem ya siri huwa natokwa na vimaji kidogo vinakuwa katika tundu la uume vinakuwa katika hali ya unyevu unyevu tu, na wakat wajoto nikiwa nimekaa kwa kuubana uume kwenye mapaja na hisi muwasho ndani ya kichwa cha uume mfano kama vle mdudu mdogo sana yupo mle nakuwashwa maeneo ya korodani, na nikifanya kitendo cha ngono na mwanamke hiyo hali huongezeka na kufikia kuloanisha nguo ya ndani na nikiendelea hutokwa na usaha na maumivu katika mrija wa katikati ya makalio huku mashavu ya uume yakivimba . Siku hizi huwa natumia mafuta ya habbat soda nafuu inapatikana ila siyo kupona maana nikiaha kutumia hayo mafuta hiyo hali ina rudi. Nimeenda mara kadhaa kupima na kupewa dawa flani hivi ila zikiisha hali inarudi tu.
¤ mwisho kabisa, mate kama ya makohozi hunitoka bila kikohozi ! !
mimi nikigundua tu mtu ana HIV + hata kwa condom sifanyiNaimba kuuliza kuhusu uhusiano wa mtua anaetumia ARV na virusi vyake vikawa(viral load 45) na CD4 850 na kusex nae bila kutumia condom vip uwezekano wa kukuambukiza HIV...nijibu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app