Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Ndugu zangu wa JF, natoa tena nafasi nyingine tuweze kuelimishana kuhusu magonjwa ya zinaa. Uliza swalili lolote kuhusu magonjwa ya zinaa mfano uume kutoa usaha, maumivu wakati wa kukojoa au wakati wa tendo. Nitakupa majibu ya maswali yako .