...Mkuu Papa, umesema watu wakuulize maswali utawajibu. Sasa ukiwaambia 'Nafikiri...' Katika swali LA tano tu INA maana huna uhakika was majibu yako Mkuu. Utaweza kuwasaidia kweli??Nafikiri hayo ni manii, wakati mwingne ni kawaida kwa wanaume
Unafahamu kwa nini madaktari huwa wanawambia wagonjwa kutoa specimen?...Mkuu Papa, umesema watu wakuulize maswali utawajibu. Sasa ukiwaambia 'Nafikiri...' Katika swali LA tano tu INA maana huna uhakika was majibu yako Mkuu. Utaweza kuwasaidia kweli??
Vipele inawezekana hiyo ni Herpes Simplex (Malengelenge)Kuna rafiki yangu katoka kusex but siku ya pili akatokwa na vipele vidogo vidogo vyenye maji kwenye shina la uume,hakuna muwasho wowote,je hiyo yawezakuwa gonnorhea?
Ndugu zangu wa JF, natoa tena nafasi nyingine tuweze kuelimishana kuhusu magonjwa ya zinaa. Uliza swalili lolote kuhusu magonjwa ya zinaa mfano uume kutoa usaha, maumivu wakati wa kukojoa au wakati wa tendo. Nitakupa majibu ya maswali yako .
Ulionaje hayo unayoeleza?Mtaalamu jamaa yangu kwenye ndani yamshipa wa damu kwenye uume una vinundu nundu kama punje za ulezi. Sio mishipa yote.
Je, huo ni ugonjwa gani? Unasababishwa na nn? Tiba yake ni ipi? Na madhara yake ni yapi?
Mkuu namechi kesho nimepanga kwenda nakipimo cha ukimwi ni mpime huyu mwanamke mpya..nin cha kuzingatia mkuu naje mtu anaetumia ARV akipimwa virusi vitaonekana au havitaonekanaVipele inawezekana hiyo ni Herpes Simplex (Malengelenge)
Unaweza kupima akawa negative kumbe yuko kwenye kipindi cha mpito (window period)..take care.. ARV hazimalizi virusi vya UKIMWI.Mkuu namechi kesho nimepanga kwenda nakipimo cha ukimwi ni mpime huyu mwanamke mpya..nin cha kuzingatia mkuu naje mtu anaetumia ARV akipimwa virusi vitaonekana au havitaonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnapenda kujidanganya sana.Sasa unampima kisha ukimkuta nao hamnjunjani au mtanjunjana,utamwambia au hautomwambia?Enhe na usipomwambia kisha akakuuliza niaje ndio utamwambia kwamba umepata tumbo l kuhara?Mkuu namechi kesho nimepanga kwenda nakipimo cha ukimwi ni mpime huyu mwanamke mpya..nin cha kuzingatia mkuu naje mtu anaetumia ARV akipimwa virusi vitaonekana au havitaonekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ugonjwa wa zinaa unaeza kaa nayo bila kujijua?Swala la msingi sana,, kwann mtu kabla ya kupima anaweza kuwa na afya pouwa tuh,, lkn akipima akaambiwa amepatwa na ugonjwa wa zinaa anaanza kudhoofika
Hii nayo ni zinaa?Now days nakosa kabisa hamu ya kula inafika wakati naweza kulala bila ya kula hili litakuwa tatizo gani Doctor
Ndugu zangu wa JF, natoa tena nafasi nyingine tuweze kuelimishana kuhusu magonjwa ya zinaa. Uliza swalili lolote kuhusu magonjwa ya zinaa mfano uume kutoa usaha, maumivu wakati wa kukojoa au wakati wa tendo. Nitakupa majibu ya maswali yako .
wazee wa Rough RoadMtaalamu jamaa yangu kwenye ndani yamshipa wa damu kwenye uume una vinundu nundu kama punje za ulezi. Sio mishipa yote.
Je, huo ni ugonjwa gani? Unasababishwa na nn? Tiba yake ni ipi? Na madhara yake ni yapi?
"Mara moja chap" hii ilikuaje?Dr.samahani kuna uwezekano mtuu akaambukizwa virus vya ukimwi hata akiingiza uume ukeni mara moja chap na kutoa kwa mwamamke mwenye virus vya ukimwi?? Tafadhar nsomba msaada
Vpi mkuu mechi ulifanikiwa?..Mkuu namechi kesho nimepanga kwenda nakipimo cha ukimwi ni mpime huyu mwanamke mpya..nin cha kuzingatia mkuu naje mtu anaetumia ARV akipimwa virusi vitaonekana au havitaonekana
Sent using Jamii Forums mobile app