Pitia hapa: Niulize swali lolote kuhusu kuingiza pesa kupitia YOUTUBEKumekuwa na ongezeko kubwa la wasanii wa muziki na maigizo kutuhamasisha tusiache kusubscribe channel zao za YouTube. Katika tafiti zangu fupi nimegundua kuwa wanalipwa kwa kila views wanazopata.
Je utaratibu wa kisheria nchini chini ya TCRA mamlaka ya mawasiliano unajisajili vipi? Na huyo mlipaji anakulipaje kwa hizo views kuanzia Laki moja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, ila sijawa serious.
Poa! Tupeane support ya sub 4 subYes, ila sijawa serious.
Nataka nikaze mwaka huu.
urefu wa video au urefu wa tangazo?Inatengemeana na urefu wa vidio
Kama vidio ina chini ya dk 10 pesa haiwezi kulingana na vidio yenye urefu kuanzia dk 10
Hapa sio kweli YouTube wanalipa vyo te yaani views na adsMkuu ukiskip Tangazo youtube haulipwi.Lengo Ni uangalie tangazo.Unaweza ukawa Na views million 1 lakin walioangalia Tangazo ni 100,000 utalipwa kwa views100,000 nA sio 1,000,000.
Hakuna haja ya kubishana Kaka endelea kuamini unavyoamin lakin huo ndio ukweli