Niulize swali lolote kuhusu IFM

bila shaka ww ulisoma insurance
vilaza wa chuo
Unajua kwa nini binadamu kuna mrefu, mfupi mwembamba na mrefu na why kuna mwanamke na mwanaume?

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba wote katika size moja, rangi moja na jinsia moja lkn jwa sbb kila mmoja anamtegemea mwenzie ndio maana kukawa.na variety ya uumbaji.

Katika kuhitimu kwako jitahifi uhitimu Busara, Hekima na nidhamu.

Kama una akili utaelewa namaanisha nini kifupu ni kuwa hata hiyo accounts unayosoma ina exist kwenye idara nyinginebjwa sababu tu ya kuwapi kwa zile idara.

Mfano pale Muhimbili, Key duty pale ni tiba, je wewe ni daktari kuwapo pale?

Ngoja umalize urudi mtaani utapata akili utakumbuka hilo bumu na hutakuwa na uwezo wa kulipata tena.
 
mkuu nimechafukwa poor you hata mimi wakati nasoma hapo watu wa coz zingine nilikua nawaona vilaza kama wewe unavyowaona!!!!!!!unataka kujua cv yangu???ntakupm cv yangu ikupe challenge kidogo....kwa ufupi tu nimesoma adv diploma in accountancy kama unayosoma wewe hapo on top of that nina msc account & finance ........natoa ushauri tu kwa wadogo zangu wasije kufata mkondo niliopita mimi...nakuhakikishia tu na brchl yako utasota sana mtaani kazi za acc siku izi hakuna,hao unao waona vilaza wa chuo utakuja kuona tofauti yao na wewe ukija kazini!!utakuja nikumbuka,matarajio ulionayo mdogo wangu ni makubwa kuliko utakachopata ....


Muhimu ni kupiga paper sawasawa kazi zipo tu usimtie hofu huyo dogo.
 
Unajua kwa nini binadamu kuna mrefu, mfupi mwembamba na mrefu na why kuna mwanamke na mwanaume?

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba wote katika size moja, rangi moja na jinsia moja lkn jwa sbb kila mmoja anamtegemea mwenzie ndio maana kukawa.na variety ya uumbaji.

Katika kuhitimu kwako jitahifi uhitimu Busara, Hekima na nidhamu.

Kama una akili utaelewa namaanisha nini kifupu ni kuwa hata hiyo accounts unayosoma ina exist kwenye idara nyinginebjwa sababu tu ya kuwapi kwa zile idara.

Mfano pale Muhimbili, Key duty pale ni tiba, je wewe ni daktari kuwapo pale?

Ngoja umalize urudi mtaani utapata akili utakumbuka hilo bumu na hutakuwa na uwezo wa kulipata tena.

apo umeongea kk..nilijibu kwa kukurupuka kwa vle jamaa alinijibu vbaya ila sidharau naheshimu uwepo wa kila kitu....nawaomben msamaha wana insurance
 
Unajua kwa nini binadamu kuna mrefu, mfupi mwembamba na mrefu na why kuna mwanamke na mwanaume?

Mungu alikuwa na uwezo wa kuumba wote katika size moja, rangi moja na jinsia moja lkn jwa sbb kila mmoja anamtegemea mwenzie ndio maana kukawa.na variety ya uumbaji.

Katika kuhitimu kwako jitahifi uhitimu Busara, Hekima na nidhamu.

Kama una akili utaelewa namaanisha nini kifupu ni kuwa hata hiyo accounts unayosoma ina exist kwenye idara nyinginebjwa sababu tu ya kuwapi kwa zile idara.

Mfano pale Muhimbili, Key duty pale ni tiba, je wewe ni daktari kuwapo pale?

Ngoja umalize urudi mtaani utapata akili utakumbuka hilo bumu na hutakuwa na uwezo wa kulipata tena.



yaaa muhimu ni kuheshimu kila fani maana inaumuhimu wake na kila mtu asome anachokipenda na si kufuata mkumbo kutafuta sifa.
 
Hivi kwanini ifm wanaanza wengi wanamaliza wachache mkuu? Ni jweluifm ni mabitozi..
 
Hivi kwanini ifm wanaanza wengi wanamaliza wachache mkuu? Ni jweluifm ni mabitozi..

kuna mabishoo kibao..pia mitihani sio siri ni migumu walimu wanashndana nan anakomoa zaid..kuna lecturer amaitwa ERICK MWAMBULI kwenye somo lake either upate Sup au upate C ...ila ukikaza mbna unatoboa
 
dogo naona umepanic ila maliza kwanza chuo ndio uanze hizo swager!!!!!!!!uraiani ni kugumu kuliko unavyofikiri!!!!!!!!!!kuna watu wana cpa zao na wako kitaa sasa wewe hata wakiitwa wasomi wa acc tz hutambuliki kokote hta graduates tu wa ifm hujaingia kwenye kitabu cha kumbukumbu za ifm unaanza piga mbwembwe!!!!!!!anyway confidence ni nzuri ila over confidence itakucost dogo!!!!
 
mkuu wa ifm unalinganisha masterz na matokeo ya sem 1 na 2, wewe mpe respect tu huyo kakutangulia mbali mno. ushauri usiite mtu kilaza , maisha ni zaidi ya elimu kaka.
 
Mkuu nilikuwa nauliza kuwa naweza pata nafasi ya kusoma evening sessions, kwa ngazi ya bachelor, maana nimedahiliwa mwaka huu first year
 
Back
Top Bottom