proskaeur
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 1,562
- 4,899
Ni muda mfupi sana huo kuanza kuhisi dalili hata kama umeambukizwa,, pia ujue hata magonjwa ya zinaa yana dalili kama izo so unaweza kukuta ni ulipitia njia ya mtu mwenye gono na wewe umeipata ndio sababu unahisi hizo dalili zen Una conclude kuwa ni Ngoma mkuu
Zimepita wiki mbili na siku Kama tatu kiongozi