VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Window period ya kipimo cha SD Bioline - HIV 1/2 : 3 :0 ni siku ngapi (wiki ngapi ) ?
 
Window period ya kipimo cha SD Bioline - HIV 1/2 : 3 :0 ni siku ngapi (wiki ngapi ) ?
Window period ni kipindi ambacho mtu ana maambukizi lakini bado hayawezi kutambulika katika kipimo kwa sababu antibodies hazijafanyika. Katika kipindi hiki mtu anakuwa na uwezo wa kuambukiza mtu mwingine.

Uliza swali lako vizuri. Unataka kujua nini.
 
HIV ni virus kama inavyosemekana au ni free genetic material ambayo inabadili Cell nucleulous na kupelekea mwili kubadilika,Nategemea jibu ukibase kwenye concept ya DNA/RNA replication
 
Kaka Kuzungumza HIV AIDS bila kuhusisha mipango ya New world order (NWO) iliyosimamiwa na Henry Kissinger wa USA na mwenzake wa UK mantiki ya asili ya Ukimwi inakosa nguvu kwa mtu aliyezama zaidi.

Katika uongozi wa Richard Nixon, kwa influence kubwa ya the Rockefeller na watawala wengine wa Dunia waliandaa mipango lukuki ya kuweka order ya dunia. Vitu kama depopulation, free market economy, regional integration, na globalization n.k., nk.,etc nyingi ni makusudi yake.

Katika kipengele cha depopulation, biological weapons ilipewa nguvu kuliko Inuclear weapons. Matatizo ya HIV AIDS, na Ebola ni mpango mahsusi.

Kama mnakumbuka kimeta (chemical weapons) ilikuwa sehemu ya mpango, baadaye ikashtukiwa. Wakawekeza zaidi kwenye vyakula tunavyokula (processed foods) vya kiwandani. Mipango ni mingi, terrorism/ugaidi nayo ni mojawapo. Na ni mipango ya muda mrefu sana na itafanikiwa kwa sababu wanashughulika zaidi na akili na tabia zetu (psychological shaping), kwa usaidizi wa media na umaskini wetu.

Tukirudi kwenye HIV AIDS, chochote kinachofanyika khs Ukimwi kwa maana ya tafsiri yake, maambukizi na usambazaji, kinga, na tiba au kuponya ni vitu vinavyopita kwenye scheme/resolution/plans zao.

Majibu yako mengi, yamejikita katika utimilifu wa malengo ya waliopanga hii zahma. Siyo kosa lako, ndiyo mafundisho yanayotolewa hususani waliopo sekta ya afya. Kwa bahati mbaya, Elimu zetu haziruhusu mawazo tofauti/mbadala.

In short HIV AIDS ni depopulation tool encompassed with international business. At the same time ikiwafanya raia wa mataifa yakiwa na watu dhaifu mentally, physically and psychologically ili watawalike na wawe tegemezi.

Hakuna nia nzuri kwenye HIV AIDS, hakuna nia nzuri kwenye HIV transmission na prevention wala kwenye treatment.
Paranoid.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIV ni virus kama inavyosemekana au ni free genetic material ambayo inabadili Cell nucleulous na kupelekea mwili kubadilika,Nategemea jibu ukibase kwenye concept ya DNA/RNA replication
Virus mzima anaingia kwenye seli ya binadamu. Virus huyu ana genetic material ambayo ni RNA. ANAPOFIKA Kwenye seli anabadilisha RNA kwenda kwenye DNA ambao humsaidia kutengeneza particle nyingi za virusi. Lakini pia huzalisha RNA nyingi nyingi zaidi
 
Virus mzima anaingia kwenye seli ya binadamu. Virus huyu ana genetic material ambayo ni RNA. ANAPOFIKA Kwenye seli anabadilisha RNA kwenda kwenye DNA ambao humsaidia kutengeneza particle nyingi za virusi. Lakini pia huzalisha RNA nyingi nyingi zaidi
Kwa hiyo UKIMWI ni matatizo ya Kigenetiki ambayo husababishwa na HIV? mimi siamini HIV ni virus kama wanavyosema,inabidi atafutiwe maelezo mengine,je haiwezekani Ku modify RNA yake ili isiwe na madhara kwa binadamu
 
Kwani mkuu ulowala wengi wao washakula chepe mpaka unajiamini hivyo!!?


Kwa mfano kipimo hichokina uwezo wa Ku detect kuwa mtu ameathirika baada ya siku ngapi tangu siku aliyoambukizwa? Zamani ilikuwa ni Miezimitatu, Na hiki je?
 
Window period ni kipindi ambacho mtu ana maambukizi lakini bado hayawezi kutambulika katika kipimo kwa sababu antibodies hazijafanyika. Katika kipindi hiki mtu anakuwa na uwezo wa kuambukiza mtu mwingine.

Uliza swali lako vizuri. Unataka kujua nini.

Je inachukua wiki ngapi kwa kipimo hiki kubaini uwepo wa maambukizi tangu siku ya kuuza mechi hadi siku ya kupima?
 
Tangu kuanza kutumika kwa Arv duniani hususani Sub Saharan Africa, maambukizi ya VVU/ Ukimwi yameongezeka sana kuliko kabla ya hapo. Unadhani ni kwa sababu gani!? Na kwa nini Africa tena Sub Saharan Africa!?

Dawa za kupunguza makali kwa wenye VVU, zina athari sana kwa watumiaji hususani watoto kwenye mifumo ya fahamu na akili. Inatupaswa tuamini na kukubali tu kwamba ni side effects tu za kawaida kama dawa nyingine!?

Njia ya kutoa dawa za kupunguza makali kwa wenye VVU Ukimwi na aina ya jamii inavyofundishwa jinsi ya kuishi nao, i.e. mara wasijulikane na wasinyanyapaliwe nk.ni njia ya hatari kisaikolojia kwa wale wazima. Maana yake ni kuwa, mwenye maambukizi analindwa na kuthaminiwa afya yake lakini yule mzima yuko katika hatari sana ya kuambukizwa . Kwa lugha nyingine mafundisho ya kuwalinda wenye VVU yanalenga kuongeza maambukizi mapya! Ww unalisemeaje hilo.

Nchi za ulaya na USA wanambinu nyingi za kupambana na kutimiza malengo yao ikiwemo biological weapons, chemical weapons, psychological weapons and etc. Kwa nini VVU na Ukimwi visiwe sehemu ya silaha hizo!?

Ukifuatilia vzr issue ya VVU Ukimwi na Arv, utaona kabisa, Arv na psychological treatment jamii inayopewa jinsi ya kuish na wenye VVU, ni tata na ni utaratibu hatari sana. Ingekuwa kama miaka ya 80's na early 90's ambapo dawa hazikuwepo, Ukimwi usingekuwepo. Tungeshuhudia na kuwapoteza ndugu zetu wengi kwa muda mfupi, lkn baada ya miaka michache wangeisha na wale waliokuwa wanabaki wangejulikana sababu ya hali zao.

Kitendo cha wenye VVU Ukimwi kutojulikana na kuishi kawaida tu ndiyo adui mkubwa wa janga la Ukimwi. Swala na kitendo cha kuwaficha ndani ya wazima na wakijulikana na kuwapa treatment tofauti kuitwa ni unyanyapaa ni psychological made up. Viliandaliwa makusudi, kwa sababu zamani walikuwa wanajulikana na Elimu yao ilikuwa kuwambia kuwa VVU ni hatari. Siku hizi ni vice versa.

Kwa nini pale mtu akiwaza, akisoma na kuzungumza yale yanayopinga taratibu za mzungu anavyotaka hata kama ni za uovu huchukuliwa tofauti na huonekani kukengeuka !?

Sent from my TECNO W1 using JamiiForums mobile app
Mkuu si rahisi watu wakakuelewa, Una jambo zuri Sana, Ila elimu Hii ya wasomi wetu hawawezi kuhoji nje ya box

Namfananisha msomi wa Africa na muumini wa dini hizi zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nazitetea ARV kwa sababu ninajua faida yake kwa wagonjwa wa HIV.

Jibu linajulikana wakiacha kutumia dawa watakufa
Kuna vipimo huwa vinatumika katika university ambavyo hata vikiletwa mahospatilini havina added advantage
Virus wanatoka kwenye family ya Retrovirus, genus Lentivirus, Species Human immunodeficiency virus type 1 na 2
Mkuu

Biological name ninavyojua Mimi lazima iwe na generic name and specie name, Hapo kwa HIV virus Mbona haliendani na Hii rule?

Correct me if I'm wrong

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si rahisi watu wakakuelewa, Una jambo zuri Sana, Ila elimu Hii ya wasomi wetu hawawezi kuhoji nje ya box

Namfananisha msomi wa Africa na muumini wa dini hizi zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
HIV ingekuwa kama EBOLA au mafua ya ndege ingekuwa rahisi sana kuicontain lakini kwa sababu in incubation period ndefu sana na mutation inayotokea ndio maana imechukuwa muda mrefu sana kuicontain. Hata hivyo kwa juhudi zinazoendelea itakuwa contained tu.
 
Mbona kuna taarifa kuwa HIV Hawakai kwenye shahawa?
Bwana Monseur ni hivi virusi wanakaa kwenye seli nyeupe za damu. Na kazi ya seli nyeupe za damu ni kutoa ulinzi kwenye mwili. Kwa hiyo hizi seli zinauwezo wakuwepo sehemu yoyote ambako zitapambana na magonjwa. Kwa hiyo zinaweza kuwa kwenye maniii nk nk

Ndio maana hapo
 
Back
Top Bottom