Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Huku kwtu mtaa Wa toangoma kunamambo yanatutatiza hapa serekali ya mtaa kuna watu wawili wanafanyakazi katika ofisi ya afisa mtendaji Wa mtaa kama wajumbe. Ilhali awakuchaguliwa ,wanaingia mikataba ,wanagonga mihuri huku wahusika wapo tumehoji tunajibiwa hayawahusu wakati mtaani matapeli Wa viwanja wanazingua sijui tuchukue hatua gani
 
Je, kuna aina yoyote Ya madini ambayo ni yanasadikika kuwa na thamani kuliko almasi na dhahabu lakini hayajawahi kuchimbwa wala kupatikana mahali popote???
 
Je, kuna aina yoyote Ya madini ambayo ni yanasadikika kuwa na thamani kuliko almasi na dhahabu lakini hayajawahi kuchimbwa wala kupatikana mahali popote???
'Hayajawahi kuchimbwa au kupatikana mahali popote'

Sijkuelewa hapo juu Mkuu, like bado hayajagunduliwa au yamegunduliwa lakini hayajachimbwa bado?
Unaweza kunielewesha zaidii ili nikueleweshe.
 
Je, kuna aina yoyote Ya madini ambayo ni yanasadikika kuwa na thamani kuliko almasi na dhahabu lakini hayajawahi kuchimbwa wala kupatikana mahali popote???
Teknolojia inakua maybe some days to come yanaweza kugundulika.
Ila kwa sasa hayapo
 
'Hayajawahi kuchimbwa au kupatikana mahali popote'

Sijkuelewa hapo juu Mkuu, like bado hayajagunduliwa au yamegunduliwa lakini hayajachimbwa bado?
Unaweza kunielewesha zaidii ili nikueleweshe.
Ambayo yalishagunduliwa lakini bado hayajachimbwa
 
Ambayo yalishagunduliwa lakini bado hayajachimbwa
Yenye thamani kunywa kuliko diamond na gold Sina uhakika.

Ila kwa ninavyojua, ili yasichimbwe ni either 'extraction and processing' yake ni complicated due to its mineralogy, thus cost-benefit ratio kuwa kubwa' au it's side effect ni kubwa zaidi thus kukatazwa na national au international regulations.
 
Yenyewe thamani kunywa kuliko diamond na gold Sina uhakika.

Ila kwa ninavyojua, ili yasichimbwe ni either 'extraction and processing yake ni complicated due to its mineralogy, thus cost-benefit ratio ni kubwa' au it's side effect ni kubwa zaidi thus kukatazwa na international regulations.
vema ni yapi hayo??
 
vema ni yapi hayo??
Haya ntakayokuambia Sina maana Kwamba yana thamani kubwa kuliko diamond na gold, la hasha.

Mfano, Mchuchuma na Liganga kuna deposit kubwa sana ya 'iron', ila uzalishaji wake to the fullest bado unasusasua. Hii ni kutokana na 'complexity in its mineralogy', hivyo kuhitaji utaalamu na technology ya juu zaidi kui-process kupata 'iron' iliyo safi. That's where it comes to cost-benefit ratio.

Pia kuna Manganese 'Mn', haya mara nyingi hupatikana in deep ocean as nodules, and in fact No country owns deep oceans. Technically ni eneo lisilomilikiwa na nchi yoyote, hivyo no one has a right ya kuya-extract. Lakini pia, gharama ya kuyatoa kutoka deep ocean, kuya-process ili yatumike is far way expensive compared na kutumia mbadala wake.

Pia kuna Uraniaum, as tunavyojua haya ni radioactive materials hivyo huhitaji extra safety precautions. So nchi au mamlaka inaweza kuzuia it's extraction until all requirements zitakapokua tayari kwa ajili ya hiyo process kuendelea. Hii ni for the case ya 'Kupatikana kwa madini, lakini kuyachimba kuwa ngumu'

I think nimejitahidi kwa uwezo wangu, I stand to be corrected if kuna sehemu nimekosea.
 
Ni viashiria gani naweza kuviona vikaniwezesha kutambua aina yoyote ile ya madini katika maeneo yanayo nizunguka?,mfano labda nikiona mbuyu nijue probably pana gesi or Tanzanite bila kutumia mavifaaa
 
Mkuu nahitaji pdf ya kitabu cha "Teach Yourself Geology" naweza kukipata? Pia kama utakuwa na vitabu vingine pia.
 
Ni viashiria gani naweza kuviona vikaniwezesha kutambua aina yoyote ile ya madini katika maeneo yanayo nizunguka?,mfano labda nikiona mbuyu nijue probably pana gesi or Tanzanite bila kutumia mavifaaa
Ni ngumu kwa macho, huwa tunatumia historia ya jiolojia ktk eneo husika. Kwa mfano gold kwa historia ya kijiolojia huwezi ipata mikoa kama dsm au mtwara.

Hivyo ata wakati wa kwenda na vifaa kuna makablasha lazima yapitiwe kuhusiana na eneo husika.

Kutumia mimea kuna baadhi ya mimea inatumika hasa kwa madini ya kopa. Jina pa huo mmea limenitoka.

Hivyo ni mhimu sana kuwa na taarifa za eneo husika, kwasababu hayo mambo yote ni pesa, huwezi ukaiambia kampuni ikupe pesa eti unataka te dhahabu dsm utafukuzwa kazi hapo hapo
 
mzee naitaji kujua whats is brown field exploration
Brown field Eneo lililokwisha fanyiwa utafiti lkn bado utafiti unaweza kufanyika tena.

Green Field sometimes inajulikana virgin yaani hapajafanyiwa tafiti hata kidogo
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom