Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,426
- 92,791
We bana maswali yako mengine mbona magumu sana? It takes some one like Galileo to answer those difficult questions.Asante sana mkuu kwa kuanzisha uzi huu ambao kimsingi ni uzi ambao utakufanya ujikubali kwa kadri utakavyojib maswali ya critical asked qns lakini pia ni uzi huu huu utakaokufanya uprove failure elimu yalo...
Naomba nikulize kitu ambacho kinanitatiza na ukikijibu vizuri kabsaaa nitakupa zawadi nono sana mkuuu...
1.kwanini wanageolojia wengi wanapenda kusoma the earth as with its components ,minerals.rocks as well as type of rocks and the way how they were formed..??
Actually minerals na rocks are formed in different shapes and the structure they appear..but the question comes ...
Why though the earth exists with all it properties concerned formed the laws governing their nature how they were formed...namanisha kwamba formation ya miamba hiyo na madini hayo ni kwa misingi ya sheria na taratibu zilipelekea kupatikana lakini ni kwanini dunia hii ina umbo la duara..??
What force(s) governs the formation of earth's crust shaped falling to its spherical nature aparty from other shape though the earth itself governs the formation of other its components into different structures...??
2.kwnin lakini ..?? Hebu jitutumue mkuu juu ya orijinal nature formation of the earth's structure...
Utamfanya mtaalamu atumie muda mwingi kukutafutia jibu mtu mmoja na sisi wana Apolo kuna kaelimu ka dezo tunakategemea hapa.