Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

wakuu za asubuhi
nimepata contact 3 hadi sasa...nasubiri nyingine zaidi ili group lianze soon
Na mimi pia naendelea kusisitiza.

Ili group liweze kufanikiwa lazima liwe na member wa kutosha waliopo serious.

Geologist wengi wamemaliza saiv wapo mtaani wanatafuta kazi.

Kama yupo mwingine hajaona uzi huu unaweza kumshirikisha.

Au hata kama hayupo jamiiforums unaweza kutoa namba yake ili aunganishwe.

Shukrani
 
Age dating ya Rocks ndo inayofanya tufahamu umri hata Wa Dunia, mbaramwezi nk
Ndio maana nikasema geology ni nazaria tu,tofauti na kozi nyingine,umri wa dunia ni miaka 4.5bilioni lakini binadam ametokea chini ya miaka milioni moja(sina hakika sana )zaidi ya miaka 4 bilion dunia hakukuwa na mtu yeyote,duhhh af biblia inasema ilimchukua mungu siku saba kuweka vyote vilivyomo humu duniani na binadamu akiwemo,kazi kwelikweli haina tofauti na ile ya binadamu wote wametokana na nyani
 
Ndio maana nikasema geology ni nazaria tu,tofauti na kozi nyingine,umri wa dunia ni miaka 4.5bilioni lakini binadam ametokea chini ya miaka milioni moja(sina hakika sana )zaidi ya miaka 4 bilion dunia hakukuwa na mtu yeyote,duhhh af biblia inasema ilimchukua mungu siku saba kuweka vyote vilivyomo humu duniani na binadamu akiwemo,kazi kwelikweli haina tofauti na ile ya binadamu wote wametokana na nyani
Kuna theory nyingi sana zinazoelezea age of the earth.

Na hiyo ya bible ni theory mojawapo. Ingawa inaonesha umri kidogo ukilinganisha na other dating methods
 
Age dating ya Rocks ndo inayofanya tufahamu umri hata Wa Dunia, mbaramwezi nk
1469686720926.jpg
1469686729429.jpg
 
Habari mkuu.
Naomba maelezo kuhusu hii course ya GEOMATICS ina uhusiano gani na geology na je ajira zake zinakua maeneo gani?
Geomatics

Hii inabase sana katika ukusanyaji wa data/geographical data/geo data.

Zina weza kuwa data za kijiologia (vitu vyote vinavyopatikana katika uso wa dunia)

Wamebase sana katika uchoraji wa ramani kwa kutumia computer software (REMOTE SENSING TECHNOLOGY )

Hii haina tofauti na kozi ya geoinformatics inayotolewa udom.

Kazi zao nyingi ni za survey, naonaga wengi wanafanya kazi maeneo kama ya CDA (mipango miji) na sehemu zote ambazo survey inafanyika kabla ya kufanya kitu chochote.

Tofauti yake na geology
Ni kwamba geologist anahusika na actual surface of the earth kuanzia juu mpaka chini ya ardhi.

While geomatics ni upimaji na uchoraji na kukusanya data za juu ya ardhi na kuziwakilisha sehem.

Eg. Google earh, Na satelite,

MAELEZO MENGINE WATANISAIDIA WATAALAM
 
Ndio maana nikasema geology ni nazaria tu,tofauti na kozi nyingine,umri wa dunia ni miaka 4.5bilioni lakini binadam ametokea chini ya miaka milioni moja(sina hakika sana )zaidi ya miaka 4 bilion dunia hakukuwa na mtu yeyote,duhhh af biblia inasema ilimchukua mungu siku saba kuweka vyote vilivyomo humu duniani na binadamu akiwemo,kazi kwelikweli haina tofauti na ile ya binadamu wote wametokana na nyani
Kumbe ni wewe unaesema!

Nakushauri jua kwanza historia ya dunia kama dunia nikimaanisha process zote reaction zote zanje na ndani.. ukisha ijua, historia ya binadamu utaielewa kirahisi katika jiolojia,..

Dini ni kitu kingine(imani)
 
Kwanini tuna experience Earth quake dodoma na huku Dodoma ipo kwenye craton(stable craton)?
Ni kweli dodoma ipo katika stable craton.

Lakini maeneo flani ya dodoma (kama sikosei veyura) kuna fault(fault its like a fracture katika rock) ambayo ni active fault. inapita katika maeneo hayo

Kwahiyo kutokea zamani hii earthquake ilikuwepo ila katika very small intensity.

Ila saiv inakuwa inaongezeka kwasababu kubwa ya shughuli zinazotokana na binadamu. Kama ujenzi wa maghorofa,

Ndo maana geologist wanasugest yasijengwe maghorofa marefu sana dodoma kwasababu hayatakuwa na uwezo wa kustahimil earthquake inayozidi kuongezeka.

Saiv wanajenga tu kutokana na ubishi wa ma engineer kutaka kupiga hela.

Intensity ya earthquake imekuwa ikiongezeka kila mwaka kutokana na hizo sababu .

Main reason ni presence of fault plane within central craton
 
Kuna mgodi gani ambao upo kwenye mozambique belt?
Nafikiri aliteleza sio Mozambique belt nafikiri alitaka kusema Archean greenstone belt, make Gold iliyopo Mozambique belt ni kwasababu ya overprintrd Archean, ambazo zipo pia kwenye Karagwe-Ankolean orogeny(Nyakahura -Burigi), East Ubendian-Mtera,High grade para and ortho gneisses of Isimani group(Usagaran belt)
 
wakuu youngkato,kimberlite,john cannor,felsic,avatar mok na wengine mageologist lingeundwa group la whatsapp ili kupeana changamoto,mikakati,deals kwenye hii fani,wengi wenu mna uzoefu wa kutosha...natanguliza muswada wakuu
Kuna group la telegram la geos wote Tanzania waweza kujinga ni nondo za maana uwa zinajadiliwa.karibu
Swali zuri saaaana mkuu..
Napenda kuanza hivi.

1.dunia sio duara as most of people thinks. Dunia ni tufe lenye umbo undefined.. On the basis of GIS&RS(GEOGRAPHIC INFO. SYSTEM NA REMOTE SENSING)
WATAALAM WALIKAA WAKAAMUA KUTAFUTA NJIA AMBAYO ITASAIDIA KTK KUISOMA DUNIA HAPA NA MAANISHA VIPIMO KAMA VYA LATITUDE NA LONGTUDES. WAKAAMUA KUIPROJECT DUNIA KATIKA SHAPE YA SPHERICAL ILI MATHEMATICAL ARITHMETICS ZIWE POSSIBLE IN CALCULATIONS..

NIRUDI KATIKA KWANINI FORCES ZINAZOGOVERN SHAPE TOFAUTI TOFAUTI ZA MINERAL HAZI ACT KTK KUISHAPE DUNIA

DUNIA NI COMPLEX IN TERM YA INTERNAL & EXTERNAL PROCESSES. INTERNAL KUNA VOLCANIC NA SEISMIC ACTIVITIES. EXTERNAL KUNA WEATHERIN GRADATION WIND NA WATER (AELION) ACTIVITIES KWAHIYO SHAPE YA NJE INAKUWA DETERMINED NA IZI ACTIVITIES SIO HIZI TU BALI KUNA RELATION KATI YA INTERNAL NA EXTERNAL THAT'S "ISOSTATIC PRINCIPLE" KWAMBA UKU KUKIBONYEA BASI KULE KUTA TANUKA.

MINERALS KAMA MINERALS ZINA UNDWA NA AGGREGATES ZA ATOMS TOFAUT TOFAUT MF DIAMOND AU GRAPHITE STUCTURE ZAO ZIKO TOFAUTI NA FLOURITE HII NI CHEMISTRY SASA... HOW ATOMS ARE BONDS TOGETHER..

SIJUI UMEPATA MWANGA KAMA NDIO HIYO ZAWADI NONO NAOMBA UNIPE.. AMBAPO HAPAJAELEWEKA ULIZA.
ASANTE

Husipanic mkuu,
 
Kuna group la telegram la geos wote Tanzania waweza kujinga ni nondo za maana uwa zinajadiliwa.karibu
Linaitwaje hilo group.??


Ila we suggested group la WhatsApp kwa sababu ndo inayotumika na watanzania wengi.

Na ni rahisi kupata member wa kutosha.
 
Linaitwaje hilo group.??


Ila we suggested group la WhatsApp kwa sababu ndo inayotumika na watanzania wengi.

Na ni rahisi kupata member wa kutosha.
Hata whatsapp lilikuwepo likajaa kwahiyo isingewezekani ku add mtu mwingine, ndo wakaanzisha group la telegram nipatie namba yako nikuadd ni kwa ajili ya geos woote Tanzania
 
Back
Top Bottom