Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,876
- Thread starter
- #181
Mkuu nahitaji mini fuel dispenser CS20 au model hii BJJ-20-AH3J
Kuchakata ni neno pana mkuu. Linahusisha mashine zaidi ya moja. mfano, kumenya, kukata, kukausha, kusaga, kufungasha nk. michakato yote hii huwa na mashine zaidi ya moja. Be specific unahitaji kwa mchakato gani?Mkuu machine ya kuchakata mihogo inapatikan
Mashine ya kuosha magari au pikipiki inayotumia petrol zipo? Na bei yake ni sh ngapi?Wajasiriamali wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta mashine/Vifaa kwa ajili ya kurahishisha uzalishaji, kuongeza thamani ya bidhaa zao na kuboresha shughuli za biashara zao kwa ujumla.
Vifaa vingi Tanzania hakuna, THE BRIDGE tupo China na DSM KINONDONI MKWAJUNI Nyuma ya CCM (HATUPO tena Tabata segerea, tulihama toka 01.09.2017)
Niulize mashine yoyote unayotaka na nitakuletea mpaka dukani DSM. Mashine zote zinatoka China kwa ODA tu na baadhi chache zipo dukani kwetu DSM. Hatuwezi kuweka kila aina ya mashine dukani DSM kwa kuwa baadhi ya mashine ni ghali na hukaa muda mrefu dukani bila wateja kwa kuwa wateja hununua kulingana na mahitaji yao. Hivyo weka oda na tutakuletea
Nitajibu kadri nitakavyokuwa nazipata kutoka viwandani kwa watengenezaji China. Hivyo sitakuwa na majibu ya papo kwa papo kwa baadhi ya maswali.
unaweza kutuandikia thebridgetz@yahoo.com au pita katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii kama FB na Insta kwa majina @ thebridgetz na @thebridgegulio na kuona mashine nyingi tunazoleta kwa oda au ambazo tayari zipo dukani DSM.
Namba ya kuweka oda whatsApp +8613125094947(China), Namba ya dukani DSM +255715316614
ANGALIZO
1. Unapouliza taarifa weka taarifa KAMILI ya unachokitaka mf. brand name, kiasi cha uzalishaji unachotaka mashine izalishe ili itusaidie kupata taarifa ya bidhaa husika viwandani kwa urahisi.
2.Usafiri wa meli ni siku 45-60. HATUSAFIRISHI KWA NDEGE. Ukitaka usafiri wa ndege utalipia mwenyewe gharama za ndege (sisi tutasimamia tu mchakato)
3. Utalipia 75% kabla ya mzigo kufika, 25% baada ya mzigo kufika. Malipo yote hufanyika bank/cash/Tigopesa/Mpesa. Tunapokea cash dukani kwa bidhaa ndogo ndogo TU, kwa bidhaa za gharama kubwa utalipia BANK TU na utapewa risiti pamoja na quotation form. Hakuna malipo ya ziada baada ya kulipia bidhaa yako. Utaifata bidhaa dukani kwetu.
4. Ukiona swali lako halijajibiwa, VUTA SUBIRA, tutajibu kadri tutakavyokuwa tunapata taarifa zake tunapopita viwandani/madukani. Tunatumia muda mwingi kupita viwandani, hivyo kuwa mvumilivu na tumia lugha ya staha unapouliza.
5. Ikiwa mteja atataka "Sales Agreement" atagharamia gharama za mwanasheria yeye mwenyewe na gharama hizo zitakuwa nje ya bei ya bidhaa. Sales agreement lazima iendane na vigezo na masharti yaliyomo katika Profoma invoice (PI) atakayopewa mteja.
6.Ikiwa huamini katika tunachokifanya, basi ni busara kuendelea na shughuli zako nyingine ili utoe muda tuwahudumie wengine.
Karibu tukuhudumie.
THE BRIDGE
"Bridging Opportunities"
Nlikuwa naulizia machine kuanzia kutoa maganda hadi kupata ungaKuchakata ni neno pana mkuu. Linahusisha mashine zaidi ya moja. mfano, kumenya, kukata, kukausha, kusaga, kufungasha nk. michakato yote hii huwa na mashine zaidi ya moja. Be specific unahitaji kwa mchakato gani?
mkuu, ukiusoma uzi mwanzoni kabisa, nimeeleza kwamba sitakuwa na majibu ya papo kwa papo! Na kama kila anaeuliza nitakuwa najibu kuwa avute subira namtafutia, basi uzi utakuwa mrefu kwa comment za "subiri nakutafutia".Nlikuwa naulizia machine kuanzia kutoa maganda hadi kupata unga
Mkuu, mie nimeulizia mashine ya kishona viatu ila sipati majibu. Hata kama haipo naomba tu kupatiwa majibu angalau.!
Ni kwa hawa jamaa au watu wengine?Sina sababu ya kumharibia mtu biadhara aje hapa akane.
niliagiza machine 2 chainsaw na brush cutter hakuna inayofanya kazi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Laki na arubain na tisa ama Kama inavyosomeka hapo
kama inavyosomekaLaki na arubain na tisa ama Kama inavyosomeka hapo
tofali aina gani?Naomba kujua mashine ya kufyatulia matofali.
tunaomba maelezo zaidi. ukiweka picha itapendeza zaidiMashine ya kuchongea viuma {Lesser m/c}
Mkuu naulizia oven ndogo(matumizi ya nyumbani) inayoweza kuoka vitu kama nyama, samaki,mikate etc.
Kama unayo unauzaje? Niwekee picha
Inachukua muda gani mpaka kuipata nikiweka oda?
Hiyo tulikuwa nayo ila kwa sasa tumemaliza. Unaweza kuweka oda na utaletewa