samtot
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 256
- 143
Hizo dalili hazipo,ila tu kwenye pua tundu moja huziba na kuachia then jingine pia. Na si mtumiaji sana wa earphones na kuhusu kupima kifua kikuu halijafanyikajibu maswali haya:-
je haoneshi dalili za uvimbe maeneo ya mashavu au karibu na taya au masikio?
Je haongelei puani?
Je hapati tabu kupua?
Amekwisha wahi kupima kifua kikuu?Jee si mtumbukiza "earphone" masikioni?
Baada ya kujibu takushauri uende hospitali kubwa ya rufaa ya serikali upate vipimo zaidi kama hawaja gundua matatizo tena unijulishe