kaka_mkubwa
Member
- Apr 6, 2012
- 36
- 58
Kuna wimbo wa Baba Asha, namba moja na namba mbili...
Ulikuwa na maneno yafuatayo
Huyu Baba Asha itabidi anambie usiku wa jana alilala wapi? Mimi aliniaga anakwenda kulinda usiku wa jana ndio zamu yake... Mbona mjunbe mzee Jongo lalalalalal
Sungu sungu hakukinda Baba Asha na ndani hakulala Baba Asha....
Dah jamani mwenye nao tafadhari nauomba...
Ulikuwa na maneno yafuatayo
Huyu Baba Asha itabidi anambie usiku wa jana alilala wapi? Mimi aliniaga anakwenda kulinda usiku wa jana ndio zamu yake... Mbona mjunbe mzee Jongo lalalalalal
Sungu sungu hakukinda Baba Asha na ndani hakulala Baba Asha....
Dah jamani mwenye nao tafadhari nauomba...