ALEX_ANDER
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 570
- 812
Hapo Tops kulikua na wahuni wakutosha na ndio ilisababisha zile maskani ( garden ) kupigwa marufuku maana ilikua ganja ganjani unga ngada kwa kwenda mbele.kulikua na vile vikundi vya komando yosso kama wale panya road.Usisahau wale wahuni wa pale mwembeyanga Farmer Gusta
Farmer Gusta Mwemberadu pale juu kidogo ya mwembe yanga, Press Contractor Sandali Mamboleo,... yaani ilikuwa unakuta vijiwe vijana wanajikusanya ganja ganja, Wahuni wa mikoroshini kina Van damme..... huu music ni mzuri ni baadhi ya miziki ya asili ya watu wa uswahilini wenye kuleta raha.