Niulize chochote kuhusu vipimo vya Maabara za Afya

Ni kipi ni cha uhakika kuliko vyote? Au vyote vina uhakika wa majibu?
mkuu najaribu tu. Mwenye uzi na wajuzi watakuja kuweka Sawa wenyewe.

binafsi nafikiri PCR is the best ikifanyika Kwa usahihi. (Uwezo wa kuweza kudetect positive hata kama kuna chembechembe ndogo sana za HIV ni mkubwa)

Upande wa SD bioline na unigold, huwezi tumia kwa wale vichanga kufanya kitu wanasema "Early infant diagnosis" kwa watoto ambao wamezaliwa na mama mwenye yupo
HIV +ve zinaweza zikakuletea "false positive" results. Halafu pia zina limitation yake unapoitumia ya uwezo wake wa kutoa majibu ya ukweli katika kipindi flan toka mtu alipoambukizwa mpaka kuja kupima. (Hii ni antibody tests )

ELISA ni nzuri pia japo wakati wa kufanya test hii ni vizuri kuwa makini wakati wa kuwash ile microtitre plate inaweza kuwash out sehemu yenye chembe chembe za HIV antibody Kwa mtu ambae ana copies bado chache za antibodies wa mdudu. hence ukapata "false negative" results. (Ila ni nzuri pia na majibu yake ni uhakika) "antigen or antibody test"
 
mkuu najaribu tu. Mwenye uzi na wajuzi watakuja kuweka Sawa wenyewe.

binafsi nafikiri PCR is the best ikifanyika Kwa usahihi. (Uwezo wa kuweza kudetect positive hata kama kuna chembechembe ndogo sana za HIV ni mkubwa)

Upande wa SD bioline na unigold, huwezi tumia kwa wale vichanga kufanya kitu wanasema "Early infant diagnosis" kwa watoto ambao wamezaliwa na mama mwenye yupo
HIV +ve zinaweza zikakuletea "false positive" results. Halafu pia zina limitation yake unapoitumia ya uwezo wake wa kutoa majibu ya ukweli katika kipindi flan toka mtu alipoambukizwa mpaka kuja kupima. (Hii ni antibody tests )

ELISA ni nzuri pia japo wakati wa kufanya test hii ni vizuri kuwa makini wakati wa kuwash ile microtitre plate inaweza kuwash out sehemu yenye chembe chembe za HIV antibody Kwa mtu ambae ana copies bado chache za antibodies wa mdudu. hence ukapata "false negative" results. (Ila ni nzuri pia na majibu yake ni uhakika) "antigen or antibody test"
Utawezaje ku identfy hivyo vipimo? Vimeandikwa majina?
 
Utawezaje ku identfy hivyo vipimo? Vimeandikwa majina?
mkuu
Navyofahamu mimi ,kipimo cha "SD bioline for HIV testing" na "unigold" hivi ni kama zile rapid test kit za malaria tu kama ushawahi ziona na hizi ni rapid tests ambazo majibu yake ni ndani ya dakika 20-30 hivi. Pia huitaji sampuli kidogo tu ya damu.

Kipimo cha PCR na ELISA ni vipimo ambavyo huhitaji muda , huitaji sampuli ya kutosha ambapo utatolewa damu kiasi na kuwekwa kwenye special container na kupelekwa MAABARA ili ikapimwe na machine ambazo mtu ndo ataprocess hiyo sampuli mpaka majibu yatakapotoka. Hivi sio rapid test ukilinganisha na hivyo vya kwanza japo hivyo ni UHAKIKA majibu yake hata upate mdudu within a week Ngoma inasoma.

ELISA mfano hutumika kwenye kupima zile sampuli za damu (damu salama) Kwa ajili ya kumuongezea mtu sababu zina "high specificity" nikimaanisha uwezo wake ni mkubwa wa kudetect ugonjwa ule wenyewe kabisa iwe HIV au homa ya ini Taipu B au C.

hizi machine sababu ni "advanced technology" hivyo ni gharama kiasi sasa hazipo nyingi hivyo zinatumika sehemu chache tu. Sasa ili kuendana na uhitaji, uharaka wa majibu nk ndo maana zile za Kwanza za SD bioline na unigold hutumika.

wajuzi watakuja kuongezea mkuu ...

Ngoja niangalie picha niambatishe uone.
Picha ya Kwanza zilizo tatu ndo "SD bioline for HIV testing"
hiyo ilio moja ndo "unigold for HIV testing"
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    13.3 KB · Views: 33
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    3.2 KB · Views: 26
mkuu
Navyofahamu mimi ,kipimo cha "SD bioline for HIV testing" na "unigold" hivi ni kama zile rapid test kit za malaria tu kama ushawahi ziona na hizi ni rapid tests ambazo majibu yake ni ndani ya dakika 20-30 hivi. Pia huitaji sampuli kidogo tu ya damu.

Kipimo cha PCR na ELISA ni vipimo ambavyo huhitaji muda , huitaji sampuli ya kutosha ambapo utatolewa damu kiasi na kuwekwa kwenye special container na kupelekwa MAABARA ili ikapimwe na machine ambazo mtu ndo ataprocess hiyo sampuli mpaka majibu yatakapotoka. Hivi sio rapid test ukilinganisha na hivyo vya kwanza japo hivyo ni UHAKIKA majibu yake hata upate mdudu within a week Ngoma inasoma.

ELISA mfano hutumika kwenye kupima zile sampuli za damu (damu salama) Kwa ajili ya kumuongezea mtu sababu zina "high specificity" nikimaanisha uwezo wake ni mkubwa wa kudetect ugonjwa ule wenyewe kabisa iwe HIV au homa ya ini Taipu B au C.

hizi machine sababu ni "advanced technology" hivyo ni gharama kiasi sasa hazipo nyingi hivyo zinatumika sehemu chache tu. Sasa ili kuendana na uhitaji, uharaka wa majibu nk ndo maana zile za Kwanza za SD bioline na unigold hutumika.

wajuzi watakuja kuongezea mkuu ...

Ngoja niangalie picha niambatishe uone.
Picha ya Kwanza zilizo tatu ndo "SD bioline for HIV testing"
hiyo ilio moja ndo "unigold for HIV testing"
Shukran mkuu
Je hivyo vya unigold, sd bioline vinatoa majibu sahihi kwa mtu mwenye positive kwa mda gan tangu aambukizwe?
 
mkuu
Navyofahamu mimi ,kipimo cha "SD bioline for HIV testing" na "unigold" hivi ni kama zile rapid test kit za malaria tu kama ushawahi ziona na hizi ni rapid tests ambazo majibu yake ni ndani ya dakika 20-30 hivi. Pia huitaji sampuli kidogo tu ya damu.

Kipimo cha PCR na ELISA ni vipimo ambavyo huhitaji muda , huitaji sampuli ya kutosha ambapo utatolewa damu kiasi na kuwekwa kwenye special container na kupelekwa MAABARA ili ikapimwe na machine ambazo mtu ndo ataprocess hiyo sampuli mpaka majibu yatakapotoka. Hivi sio rapid test ukilinganisha na hivyo vya kwanza japo hivyo ni UHAKIKA majibu yake hata upate mdudu within a week Ngoma inasoma.

ELISA mfano hutumika kwenye kupima zile sampuli za damu (damu salama) Kwa ajili ya kumuongezea mtu sababu zina "high specificity" nikimaanisha uwezo wake ni mkubwa wa kudetect ugonjwa ule wenyewe kabisa iwe HIV au homa ya ini Taipu B au C.

hizi machine sababu ni "advanced technology" hivyo ni gharama kiasi sasa hazipo nyingi hivyo zinatumika sehemu chache tu. Sasa ili kuendana na uhitaji, uharaka wa majibu nk ndo maana zile za Kwanza za SD bioline na unigold hutumika.

wajuzi watakuja kuongezea mkuu ...

Ngoja niangalie picha niambatishe uone.
Picha ya Kwanza zilizo tatu ndo "SD bioline for HIV testing"
hiyo ilio moja ndo "unigold for HIV testing"
Shukran mkuu
Je hivyo vya unigold, sd bioline vinatoa majibu sahihi kwa mtu mwenye positive kwa mda gan tangu aambukizwe?
 
Shukran mkuu
Je hivyo vya unigold, sd bioline vinatoa majibu sahihi kwa mtu mwenye positive kwa mda gan tangu aambukizwe?
Mkuu navyofahamu mimi

kuna kitu ambacho hua wanaita "window period" ni kile kipindi ambacho mtu anakua amepata HIV au ugonjwa wowote ule ila bado hajaonesha dalili yoyote ya kuumwa na hata ukimpima anakua na majibu "negative"

sasa upande wa HIV , mtu ambae amepata maambukizi , akiwa chini ya wiki 6 za mwanzo, kipimo huonesha mtu huyo ni "negative". mara nyingi kiasi cha antibodies specific for HIV ambazo mwili huwa umetengeneza baada ya kuvamiwa na bwana HIV huwa ni kidogo Sana kuweza kufanya vipimo hivyo vikaweza kusoma "positive".

sasa Kati ya wiki 6 mpaka miezi 3 ,hapo ndo mwili unaanza kutengeza antibodies ambazo ni specific Kwa HIV either HIV type 1 ama HIV type 2 ama zote Kwa pamoja Kwa WINGI (kutegemeana na mwili wa kila mmoja wetu) na muda huu mtu akipimwa huweza kupatikana akawa "Positive"

sasa ili kujiridhisha kupata majibu ya uhakika kabisa kati ya pale penye "wiki 6- miezi 3", mtu huambiwa aje baada ya miezi mitatu sababu ndo siku za juu kabisa ambazo wataalamu wanaamini hata Yule ambae mwili wake unazalisha antibodies specific for HIV taratibu/polepole ,utakua sasa umezalisha kiasi cha kutosha Kwa kipimo cha HIV kuweza kusoma "positive"

Wajuzi watakuja pia kunirekebisha na kuweka Sawa.
 
Mkuu navyofahamu mimi

kuna kitu ambacho hua wanaita "window period" ni kile kipindi ambacho mtu anakua amepata HIV au ugonjwa wowote ule ila bado hajaonesha dalili yoyote ya kuumwa na hata ukimpima anakua na majibu "negative"

sasa upande wa HIV , mtu ambae amepata maambukizi , akiwa chini ya wiki 6 za mwanzo, kipimo huonesha mtu huyo ni "negative". mara nyingi kiasi cha antibodies specific for HIV ambazo mwili huwa umetengeneza baada ya kuvamiwa na bwana HIV huwa ni kidogo Sana kuweza kufanya vipimo hivyo vikaweza kusoma "positive".

sasa Kati ya wiki 6 mpaka miezi 3 ,hapo ndo mwili unaanza kutengeza antibodies ambazo ni specific Kwa HIV either HIV type 1 ama HIV type 2 ama zote Kwa pamoja Kwa WINGI (kutegemeana na mwili wa kila mmoja wetu) na muda huu mtu akipimwa huweza kupatikana akawa "Positive"

sasa ili kujiridhisha kupata majibu ya uhakika kabisa kati ya pale penye "wiki 6- miezi 3", mtu huambiwa aje baada ya miezi mitatu sababu ndo siku za juu kabisa ambazo wataalamu wanaamini hata Yule ambae mwili wake unazalisha antibodies specific for HIV taratibu/polepole ,utakua sasa umezalisha kiasi cha kutosha Kwa kipimo cha HIV kuweza kusoma "positive"

Wajuzi watakuja pia kunirekebisha na kuweka Sawa.
 
Mkuu navyofahamu mimi

kuna kitu ambacho hua wanaita "window period" ni kile kipindi ambacho mtu anakua amepata HIV au ugonjwa wowote ule ila bado hajaonesha dalili yoyote ya kuumwa na hata ukimpima anakua na majibu "negative"

sasa upande wa HIV , mtu ambae amepata maambukizi , akiwa chini ya wiki 6 za mwanzo, kipimo huonesha mtu huyo ni "negative". mara nyingi kiasi cha antibodies specific for HIV ambazo mwili huwa umetengeneza baada ya kuvamiwa na bwana HIV huwa ni kidogo Sana kuweza kufanya vipimo hivyo vikaweza kusoma "positive".

sasa Kati ya wiki 6 mpaka miezi 3 ,hapo ndo mwili unaanza kutengeza antibodies ambazo ni specific Kwa HIV either HIV type 1 ama HIV type 2 ama zote Kwa pamoja Kwa WINGI (kutegemeana na mwili wa kila mmoja wetu) na muda huu mtu akipimwa huweza kupatikana akawa "Positive"

sasa ili kujiridhisha kupata majibu ya uhakika kabisa kati ya pale penye "wiki 6- miezi 3", mtu huambiwa aje baada ya miezi mitatu sababu ndo siku za juu kabisa ambazo wataalamu wanaamini hata Yule ambae mwili wake unazalisha antibodies specific for HIV taratibu/polepole ,utakua sasa umezalisha kiasi cha kutosha Kwa kipimo cha HIV kuweza kusoma "positive"

Wajuzi watakuja pia kunirekebisha na kuweka Sawa.
naongezea mkuu...sikuizi vipimo vimeboreshwa vinaweza ku detect HIV antibodies kuanzia siku 21(wiki 3)
 
Naomba kufahamu TARATIBU za kuanzisha maabara ya vipimo kwa magonjwa ya binadamu
 
ndugu Fundisanifu umepotelea wapi au ndo ushakula shavu umetuacha wana kweli....
Mkuu ni sahihi kutumia SD bioline yenye mwezi mmoja tangu iwe expired?

Majibu yake ni ya kuaminika?

Nilienda maabara moja yenye heshima sana hapa moshi, nikapewa kipimo hicho

Nimekuja kugundua kua kime expire baada ya kua tayari nmepima

Niamini majibu yake? au niangalie namna ya kuludia vipimo!
 
Mkuu ni sahihi kutumia SD bioline yenye mwezi mmoja tangu iwe expired?

Majibu yake ni ya kuaminika?

Nilienda maabara moja yenye heshima sana hapa moshi, nikapewa kipimo hicho

Nimekuja kugundua kua kime expire baada ya kua tayari nmepima

Niamini majibu yake? au niangalie namna ya kuludia vipimo!
Angalia namna ya kurudia kupima. Tunasema kitu kikiExpire kimeEpire, nadharia sijui "chenye mwezi mmoja tangu kiExpire" ni nadharia kama nadharia....Lakini kikubwa ni kama imeExpire haifahi kwa matumizi.
 
Back
Top Bottom