Niulize chochote kuhusu vipimo vya Maabara za Afya

Ni katika zoezi la uchomaji sindano hasa makalioni, nilikuwa nikisikia manesi wakisema usikaze makalio itakatikia ndani, ni yapi madhara yanayoweza jitokeza ikitokea hali hiyo. (Inaweza likawa swali la nje ya mada, kama una idea nalo nisaidie kufahamu)
kwahilo sina elimu nalo zaidi mkuu.
 
Mara nyingi nimekuwa nikiaminishwa na baadhi ya wataalamu wa afya kuwa kadri namba ya vijidudu vya malaria inapokuwa ndogo katika WBC ndivyo mgonjwa anavyotingwa zaidi (Hali mbaya) na kuchukua muda mrefu katika kuiondoa/kuitibu. Je, kuna ukweli wowote?
hapana ni kadri inavyokua kubwa mkuu.
 
Oya we jamaa ondoka dar watu wanaoishi interior wanakuhitaji wasomi mnakosea sana yani kujazana dar ety kutafuta kazi nakati huku interior kuna matatizo chungu nzima
yes wanatuhitaji ila nitaishi vipi kama hawataniajiri mkuu!?, sio kwamba sipendi mashambani ila nitakwenda kulingana na fursa vilevile, usisahau i have a life to live.. though niko on process kufanya hvo
 
hapana si illegal,iweje vya mimba viwe legal hv vingine viwe illegal? ukipata muda wewe kajinunulie zako
vya mimba vipo vimetengenezwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani vile vile.. self testing.. ni tofauti kabisa na vya UKIMWI
 
h.napenda kujua sasa hio mrdt ndii ipo vip kusuud nikifika nijue napimwa na hicho maaana kila ospital kaz kusema malaria wa3.mara 8 je ni vile vilivyopo zahanati hiz za serikal?

Sent using Jamii Forums mobile app
nadhan ndo hvyo hvyo mkuu,.. nmekutumia picha hapa chini.
download.jpg
 
Sawa mkuu!
Ila mRDT inaweza kukupa majibu kwamba ni one parasite infection au mixed infection, nadhani hapo ndo majibu ya malaria moja na mbili inaanzia.
Kwa mfano picha nilotuma hapo juu inaonesha mtu ana mixed infection ya falciparum na wengine
naam mkuu!. Hapo mrdt wametumia (1&2) kama symbols zinazomaanisha
1-plasmodium falciparum(pf)
2-plasm. ovale,malarie na vivax(pan)

kama kutakua na reaction katika 1 huwezi kureport 1 bali utareport POSITIVE pf ila kama kuna reaction kote 1&2 unareport POSITIVE PAN & PF.. na kama kuna reaction kwenye 2 unareport POSITIVE PAN. . na binafsi sijawahi kuona wanaoreport malaria 1 au 2 kulingana na majibu yaliyotolewa na mrdt,.. kuna mdau nadhani kashasema kua huwezi ku quantify kwa mrdt, ila ni qualitative kwa maana ya positive na negative tu.

ukichunguz majibu yanayoonesha kua malaria moja au mbili utagundua yameandikwa kwa mfumo wa 1mps/200wbcs n.k ambayo ni majibu ya kipimo cha malaria blood slide!.
 
Acha kumdanganya mwenzako.
Haviuzwi kwa raia na Vyote vimeandikwa ni Mali ya jamhuri haviuzwi.

Sheria inayoruhusu raia kujipima wenyewe ilipitishwa na bunge lililopita lakini nafikir imekwama ktk kuweka kanuni na sera za Utekelezaji.
Usifananishe HIV na Mimba.
Namdanganya kwahiyo mimi nimevitoa wapi au nimejitengenezea mwenyewe hivi nilivyo navyo?
 
Je mfano mtu anapoambiwa ana maambukizi ya fangasi kwenye mkojo je kuna uhusiano na fangasi kwenye damu na pia vipimo vinavyohusika kupima fangasi hapo ni kipi na ni sampuli gani hupimwa.
 
naam mkuu!. Hapo mrdt wametumia (1&2) kama symbols zinazomaanisha
1-plasmodium falciparum(pf)
2-plasm. ovale,malarie na vivax(pan)

kama kutakua na reaction katika 1 huwezi kureport 1 bali utareport POSITIVE pf ila kama kuna reaction kote 1&2 unareport POSITIVE PAN & PF.. na kama kuna reaction kwenye 2 unareport POSITIVE PAN. . na binafsi sijawahi kuona wanaoreport malaria 1 au 2 kulingana na majibu yaliyotolewa na mrdt,.. kuna mdau nadhani kashasema kua huwezi ku quantify kwa mrdt, ila ni qualitative kwa maana ya positive na negative tu.

ukichunguz majibu yanayoonesha kua malaria moja au mbili utagundua yameandikwa kwa mfumo wa 1mps/200wbcs n.k ambayo ni majibu ya kipimo cha malaria blood slide!.
Mkuu hongera kwa elimu uliyoamua kutupa bure

Ila mimi mkuu ninashida sana kwnye mwili wangu yapata miezi 10 sasa nina joto lisilo kwisha, ulimi unachemka, kizungu zungu kisichoisha, mikono na miguu inawaka moto, vitu vinayembea mwilini kma mdudu, nineshapima vipimo kama vyote kam

HIV
SUKARI
FIGO
INI/ HEPATATIS PANEL
UA
ECG/ NEUROPATHY
FULL BLOOD PICTURE
VDRL
BP
MRI BRAIN

Lakini vyote viko sawa sina shida yyte

Ila bdo maumivu nayasikia pale pale nimeshakula antiobitics nying lakin wapi

Sasa sijui hpo utanishauri nn mkuu cha kufanya tafadhali
 
Back
Top Bottom