Habari wadauUsishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler.
Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka huu baada ya kuitafuta kwa muda kidogo through part-time activities kwani hiyo siyo kazi yangu kuu.
Certification hiyo inahitaji siyo tu kufaulu mtihani wake, lakini pia uwe na uzoefu wa kutosha kwenye auto-repair shop.
Nimekamilisha experience hiyo inayotakiwa mwaka huu na kupata license yangu.
Kwa vile injini nyingi za petroli zinafanana katika utendaji, jisikie free kuniuliza swali lolote kuhusu matatizo ya injini ya gari yako model yoyote inayotumia mafuta ya petroli.
Siahidi kuwa majibu yangu yote yatakuwa ni sahihi, lakini sehemu kubwa itakuwa ni sahihi, na hata yale ambayo hayatakuwa sahihi yanaweza kukusadia kujua wapi pa kuanzia.
Nina Rav 4 kilitime yangu 1zz engine nimenotice manually kwa kuangalia kwenye oil dipstick kuwa oil inapungua plus, ukipiga race(acceleration) moshi mweupe unatoka kwenye tailpipe.
Hapa nafikiria kufanya overhaul japo sasa kila nikifanya research na nimpe fundi gani aifanye hiyo kazi naona kama haitakua long term solution, kuna mwenye ushauri mzuri zaidi ya kufanya overhaul. maana pia, nime google sana nimeona white smoke ni byproduct ya leakage ambayo inaweza ikawa inatokea kwenye head gasket au piston ring,
Hivyo basi kuna sehemu pia nimeona ukifanya overhaul ya full gasket, unaweza ukawa umetibu kwa kiasi kikubwa leakge ya oil. Pia nimeona ukitumua seal foams,kama plugs zime stuck inasaidia kutoa contamination na kurudisha performance ya gari.
All in all, gari yangu bado engine ina performy vizuri, na hakuna signal yoypte inayoonekana kwenye dashboard,. JE, nifanye nini sahihi ili nitatue taizo la oil consumption+white smoke.
Asanteni,