Spark
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,024
Ni zaidi ya 300,000 mkuu.Haikua na matunzo mazur! Je nikitumia 5w-30 nini kitatokea???Milage na matunzo yake yako vipi. Kama ina kilomita zaidi ya 300,000 na haikuwa na matunzo mazuri huko nyuma basi tumia SAE 40 tu. Chini ya hapo bado nitakushauri utumie 10W-30 tu; in fact injini za 1G zilikuwa nzuri sana kuliko injini za magari madogo ya Toyota zilizofuata.
Sent using Jamii Forums mobile app